Mazungumzo ya amani vita vya Ukraine yanaonyesha jinsi gani dunia imejaa unafiki sana

Trump analipa fadhila kwa Putin kwa kumsaidia uchaguzi
 

Trump yupo sahihi sana, hawa wazungu wa ulaya walikaa kikao maarufu Berlin Conference kuigawa Afrika bila ya wawakilishi wa Afrika
 
Ooh ukraine anapigana pekee yake hasaidiwi sijui nini urusi katepeta pumbaavuuu pro NATO wa majimatitu na ikungulyabashashi wanapita humu kimyaaa
 
Yule babu anakili kumbe. Anatumia msamiati wa ubaya ubwela
 
Wa Ukraine wa Buza na Chanika, kama nawaona. Kumtegenea mtu atakuangusha tu. πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Russia amesaini mikataba na marekani kuondoka vikosi vyote vya marekani kwenye nchi zilizojiunga na NATO baada ya 1990 na marekani amekubali.
 
Nyie msiobadili viongozi mnawashinda nini hao waingereza kama hata vyoo vya shule tu mnashindwa kujenga..πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
W
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€, siku hizi wanajenga! Choo kikikamilika utaona misafara ya mawaziri kwa ajili ya uzinduzi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…