Tetesi: Mazungumzo yaanza Bakhressa kuinunua Channel Ten

Tetesi: Mazungumzo yaanza Bakhressa kuinunua Channel Ten

kabudi sheria

New Member
Joined
Mar 23, 2018
Posts
1
Reaction score
14
Wadau, Katika Hali ya kutaka kuinusuru kampuni ya Africa Media Group ambayo ipo hoi kiuchumi. Mmiliki wa Azamtv na makampuni ya SSB, Salim Bakhera ameanza rasmi mazungumzo mazito na mmiliki wa Channel ten, Ndugu Rostam Azizi kwa lengo la kuinunua kampuni Hiyo.

Inadaiwa pia kwamba Reginald Mengi pia alikuwa akiimendea Channel ten. Mengi nitawajuza zaidi kadiri mazungumzo yanavyoendelea.


Get the facts right, mmiliki wa Channel Ten ni Shabbir Abji, yule mwenye New Africa Hotel na washirika wake akiwemo Tanil Somaiya na sio Rostam Aziz, Rostam yeye anamiliki New Habari ambayo nayo iko hoi!.

Mmiliki wa kwanza wa Channel Ten ikiitwa DTV alikuwa Shabir Dewji na mdogo wake Murtaza Dewji, wakaiuza kwa Mtaliano Franco Tramonatana akaibadili kuwa Channel Ten ndipo akataka kuiuza na mnunuzi wa mwanzo alikuwa ni Mzee Reginald Mengi, TCRA wakazuia kwa hoja kuwa tayari anamiliki vituo vitatu vya TV, ITV, EATV NA Capital TV, Vituo 3 vya Redio, Radio One, EARadio na Capital FM, na magazeti zaidi ya 10, The Guardian, Nipashe, The Financial Times, Kulikoni, Lete Raha, Alasiri, ambayo yako chini ya kampuni ya The Guardian Limited, pia kuna magazeti chini ya kampuni ya Media Solution na shirika la habari la PST, hivyo akakataliwa, ndipo Shabbir Abdji aliyekuwa anamiliki kituo cha CTN akainunua na kuinganisha.

Hivyo Mengi hawezi tena kutaka kuinunua unless TCRA wamebadili kanuni.

P
 
Bora aiuze tu,a ukiangalia chanel 10 unajua kabisa kuna kitu hakiko sawa,either wafanyakazi hawalipwi mishahara au haina wafanyakazi at all,unaweza kuwa unatazama habari,mtangazaji anasema "ngoja tuungane na mwandishi wetu alieko mahakamani kwa taarifa zaidi" lkn cha ajabu inakuja habari ya nzige kushambulia shamba la mahindi Rukwa,na hali hii huwa sio siku moja ila ni Kila siku
 
Bora aiuze tu,a ukiangalia chanel 10 unajua kabisa kuna kitu hakiko sawa,either wafanyakazi hawalipwi mishahara au haina wafanyakazi at all,unaweza kuwa unatazama habari,mtangazaji anasema "ngoja tuungane na mwandishi wetu alieko mahakamani kwa taarifa zaidi" lkn cha ajabu inakuja habari ya nzige kushambulia shamba la mahindi Rukwa,na hali hii huwa sio siku moja ila ni Kila siku
Hahaha
 
Bora aiuze tu,a ukiangalia chanel 10 unajua kabisa kuna kitu hakiko sawa,either wafanyakazi hawalipwi mishahara au haina wafanyakazi at all,unaweza kuwa unatazama habari,mtangazaji anasema "ngoja tuungane na mwandishi wetu alieko mahakamani kwa taarifa zaidi" lkn cha ajabu inakuja habari ya nzige kushambulia shamba la mahindi Rukwa,na hali hii huwa sio siku moja ila ni Kila siku
Ha ha ha ha eti habari ya nzige...!
 
Waongee vizuri na mkuu wa mkoa ata wasaidai

Kimsingi chanel ten imezidiwa.yaani huwa wanatoa taarifa zilizopitwa na wakati.habari za juzi unaziona leo
 
Bora aiuze tu,a ukiangalia chanel 10 unajua kabisa kuna kitu hakiko sawa,either wafanyakazi hawalipwi mishahara au haina wafanyakazi at all,unaweza kuwa unatazama habari,mtangazaji anasema "ngoja tuungane na mwandishi wetu alieko mahakamani kwa taarifa zaidi" lkn cha ajabu inakuja habari ya nzige kushambulia shamba la mahindi Rukwa,na hali hii huwa sio siku moja ila ni Kila siku
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
aiseee"" so rostam na mihela Yke yote ile "" means ameshindwa kuiendesha hiyo kampuni""?
 
Bora aiuze tu,a ukiangalia chanel 10 unajua kabisa kuna kitu hakiko sawa,either wafanyakazi hawalipwi mishahara au haina wafanyakazi at all,unaweza kuwa unatazama habari,mtangazaji anasema "ngoja tuungane na mwandishi wetu alieko mahakamani kwa taarifa zaidi" lkn cha ajabu inakuja habari ya nzige kushambulia shamba la mahindi Rukwa,na hali hii huwa sio siku moja ila ni Kila siku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wadau, Katika Hali ya kutaka kuinusuru kampuni ya Africa Media Group ambayo ipo hoi kiuchumi. Mmilikiwa Azamtv na makampuni ya Ssb Salim Bakhera ameanza rasmi mazungumzo mazito na mmiliki wa Channelten Ndugu Rostam Azizi kwa lengo la kuinunua kampuni Hiyo.
Inadaiwa pia kwamba Reginald Mengi pia alikuwa akiimendea Channelten.
Mengi nitawajuza zaidi kadiri mazungumzo yanavyoendelea

RC ' Matege Misifa wa Kukurupuka ' ambaye ni ' Shabiki ' yao mkubwa Yeye hataki kuinunua? Na mbona kipindi hiki cha matatizo haungani nao?
 
Bora aiuze tu,a ukiangalia chanel 10 unajua kabisa kuna kitu hakiko sawa,either wafanyakazi hawalipwi mishahara au haina wafanyakazi at all,unaweza kuwa unatazama habari,mtangazaji anasema "ngoja tuungane na mwandishi wetu alieko mahakamani kwa taarifa zaidi" lkn cha ajabu inakuja habari ya nzige kushambulia shamba la mahindi Rukwa,na hali hii huwa sio siku moja ila ni Kila siku
😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom