James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Nakisikilizaga akiwepo kibwana dachi ndo kinanoga na yule Mkambala hana contents kichwani kabisaaaaaaaaaYan wanajithd kpnd cha asbh tu cha radio basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakisikilizaga akiwepo kibwana dachi ndo kinanoga na yule Mkambala hana contents kichwani kabisaaaaaaaaaYan wanajithd kpnd cha asbh tu cha radio basi
HahahaaaBora aiuze tu,a ukiangalia chanel 10 unajua kabisa kuna kitu hakiko sawa,either wafanyakazi hawalipwi mishahara au haina wafanyakazi at all,unaweza kuwa unatazama habari,mtangazaji anasema "ngoja tuungane na mwandishi wetu alieko mahakamani kwa taarifa zaidi" lkn cha ajabu inakuja habari ya nzige kushambulia shamba la mahindi Rukwa,na hali hii huwa sio siku moja ila ni Kila siku
Basi mi sikuzote najuaga channel 10 ni ya Mengi
Ha haha niache ukoKama unavyojuaga kuwa siku zote huwa nasafirisha gari langu toka Marekani hadi Tanzania.....
Hajambo sana tuMureee baby....
Bonge hajambo?
Tbcchannel Ten ni ya wachungaji matapeli muda wote sasa sijui watahamia wapi
Kweli kabisaBora aiuze tu,a ukiangalia chanel 10 unajua kabisa kuna kitu hakiko sawa,either wafanyakazi hawalipwi mishahara au haina wafanyakazi at all,unaweza kuwa unatazama habari,mtangazaji anasema "ngoja tuungane na mwandishi wetu alieko mahakamani kwa taarifa zaidi" lkn cha ajabu inakuja habari ya nzige kushambulia shamba la mahindi Rukwa,na hali hii huwa sio siku moja ila ni Kila siku
hakika msaga aumu umepinda...hahaaahaaBora aiuze tu,a ukiangalia chanel 10 unajua kabisa kuna kitu hakiko sawa,either wafanyakazi hawalipwi mishahara au haina wafanyakazi at all,unaweza kuwa unatazama habari,mtangazaji anasema "ngoja tuungane na mwandishi wetu alieko mahakamani kwa taarifa zaidi" lkn cha ajabu inakuja habari ya nzige kushambulia shamba la mahindi Rukwa,na hali hii huwa sio siku moja ila ni Kila siku
Akili finyu sana ambazo zimesababisha mpaka leo maeneo waliopo wengi wenye imani kama yako umasikini ukithiri sana.Bora bakheresa anunue aisee tupumzike na matapeli wa kikiristo .....wale manabii feke ndo palikuwa kimbio lao
hahaaahaa!Basi mi sikuzote najuaga channel 10 ni ya Mengi
haaahaaaa uwiiiKama unavyojuaga kuwa siku zote huwa nasafirisha gari langu toka Marekani hadi Tanzania.....
haaahaaaa uwiii
Hahahahaha umenichekesha sana mkuu.Bora aiuze tu,a ukiangalia chanel 10 unajua kabisa kuna kitu hakiko sawa,either wafanyakazi hawalipwi mishahara au haina wafanyakazi at all,unaweza kuwa unatazama habari,mtangazaji anasema "ngoja tuungane na mwandishi wetu alieko mahakamani kwa taarifa zaidi" lkn cha ajabu inakuja habari ya nzige kushambulia shamba la mahindi Rukwa,na hali hii huwa sio siku moja ila ni Kila siku
Iboreshwe na iwe FTA.
Kivipi?Mzee afanye fasta akachukue hako ka kituo ili watuletee English Premier League. Itaongeza hadhi ya king'amuzi changu
Tafadhali nipo nimeshawahi siti,niachie mwenyeweSawa ngoja niende kwenye hayo mazungumz me as Dr shika ..