Mkwaju Ngedere
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 1,046
- 874
aiseee"" so rostam na mihela Yke yote ile "" means ameshindwa kuiendesha hiyo kampuni""?
NEW LIFE IN MALYASIA & THAILAND !!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aiseee"" so rostam na mihela Yke yote ile "" means ameshindwa kuiendesha hiyo kampuni""?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] aisee!Afadhali sasa biashara ifanyike ili Watangazaji na Waandishi wao waache kuja ' Kugongea ' chai, chakula na maji ya kunywa huku katika Vibanda vyetu vya Mama Ntilie ambako ' Walalahoi ' wengi akiwemo GENTAMYCINE ndiyo viwanja vyetu vya kujidai. Na kuna Mtangazaji wao mmoja ( jina kapuni ) ukimkaribisha tu Kula usidhani labda ataonja kidogo na ' Kuuchuna ' bali mtaenda nae sawa hadi Sahani inakuwa nyeupe na mnanawa pamoja maji na kuanza kuangaliana huku ' minyoo ' ya kutokushiba ikianza kuchanja mbuga matumboni mwenu.
Very true.Nadhani sababu ziko wazi sana kwa sasa, nitajaribu kuziweka hapa.
1/Umiliki wa chombo cha habari kwa sasa ni jambo la hatari kimaisha na kibiashara kwa mmiliki mwenyewe.
(Watawala wanaweza kumuandama mmiliki katika maisha yake yake ya kila siku kutokana tu na habari wasioipenda kurushwa katika kituo chake. Mzee Mengi analijua sana hili).
2/Biashara ya matangazo imedorora sana kwenye vituo vingi.
(Makampuni mengi makubwa ya kibiashara yamedorora sana kwa sasa, hayaoni tena umuhimu wa kuendelea kutumia pesa nyingi kufanya promotion za biashara zao kwao nguvu ya manunuzi kwa watanzania umeshuka kwa zaidi ya 50% ukilinganisha na hapo kabla).
3/Hakuna tena uwezekano wa chombo cha habari kwa sasa kuweza kutengeneza Brand yenye nguvu kupitia habari na mijadala huru ili kujenga Huge Capital Bundle width viewer ili uwe ndio mlango wa kuvuta matangazo ya biashara yenye pesa nyingi.
4/Gharama za uendeshaji ni kubwa mno kwa sasa kwa vyombo vya habari. (Kodi imekuwa msumari wa moto, makato ya TCRA nk vinawaumiza wamiliki).
5/Vyombo vya habari vimekuwa vingi mno, na watazamaji wamepungua sana, wako busy na mitandao zaidi.
Very true.Nadhani sababu ziko wazi sana kwa sasa, nitajaribu kuziweka hapa.
1/Umiliki wa chombo cha habari kwa sasa ni jambo la hatari kimaisha na kibiashara kwa mmiliki mwenyewe.
(Watawala wanaweza kumuandama mmiliki katika maisha yake yake ya kila siku kutokana tu na habari wasioipenda kurushwa katika kituo chake. Mzee Mengi analijua sana hili).
2/Biashara ya matangazo imedorora sana kwenye vituo vingi.
(Makampuni mengi makubwa ya kibiashara yamedorora sana kwa sasa, hayaoni tena umuhimu wa kuendelea kutumia pesa nyingi kufanya promotion za biashara zao kwao nguvu ya manunuzi kwa watanzania umeshuka kwa zaidi ya 50% ukilinganisha na hapo kabla).
3/Hakuna tena uwezekano wa chombo cha habari kwa sasa kuweza kutengeneza Brand yenye nguvu kupitia habari na mijadala huru ili kujenga Huge Capital Bundle width viewer ili uwe ndio mlango wa kuvuta matangazo ya biashara yenye pesa nyingi.
4/Gharama za uendeshaji ni kubwa mno kwa sasa kwa vyombo vya habari. (Kodi imekuwa msumari wa moto, makato ya TCRA nk vinawaumiza wamiliki).
5/Vyombo vya habari vimekuwa vingi mno, na watazamaji wamepungua sana, wako busy na mitandao zaidi.
Umeambiwa siyo ya Rostam!aiseee"" so rostam na mihela Yke yote ile "" means ameshindwa kuiendesha hiyo kampuni""?
ahhghh kumbe basiii sikuwa nimeelewa vyema...asanteUmeambiwa siyo ya Rostam!
Acha utoto, huyo mjinga mwenzio alivokwambia ni ya Rostam nawe ukaamini?Yule si alimfadhili mamvi akasubiri gawiwo pale mh atakaposhinda urais...ungekuta leo amebinafsishiwa hata mbuga ya serengeti ili kufidia pesa alizotumia!!!.
Kupaka rangi ndio kipindi bora kabisa cha redio muda wa asubuhi, hasa anapokuwepo Kawau na Kibwana Dachi, tatizo ni radio yenyewe tu5 (mitambo (.Yan wanajithd kpnd cha asbh tu cha radio basi
Kipindi kinaitwa MORNING MAGICKupaka rangi ndio kipindi bora kabisa cha redio muda wa asubuhi, hasa anapokuwepo Kawau na Kibwana Dachi, tatizo ni radio yenyewe tu5 (mitambo (.
Vv
Mkuu, Shehe Shariff Majini nae ni tapeli wa Kikristo?Bora bakheresa anunue aisee tupumzike na matapeli wa kikiristo .....wale manabii feke ndo palikuwa kimbio lao
Ili waendelee kujazana Muslims hatari kwel?Wadau, Katika Hali ya kutaka kuinusuru kampuni ya Africa Media Group ambayo ipo hoi kiuchumi. Mmiliki wa Azamtv na makampuni ya SSB, Salim Bakhera ameanza rasmi mazungumzo mazito na mmiliki wa Channel ten, Ndugu Rostam Azizi kwa lengo la kuinunua kampuni Hiyo.
Inadaiwa pia kwamba Reginald Mengi pia alikuwa akiimendea Channel ten. Mengi nitawajuza zaidi kadiri mazungumzo yanavyoendelea.
Kamanda naona umepanic baada ya kutajwa jina mamvi!!Acha utoto, huyo mjinga mwenzio alivokwambia ni ya Rostam nawe ukaamini?
fafanua italetaje premier legueMzee afanye fasta akachukue hako ka kituo ili watuletee English Premier League. Itaongeza hadhi ya king'amuzi changu
Itafanywa chaneli extended kwa ajiri ya michezo rasmi na EPL itajuishwa humo humofafanua italetaje premier legue