MB za Vodacom kuwahi kuisha

MB za Vodacom kuwahi kuisha

Internet is not a fad dude! Ni lazima utumie internet ipasavyo as long as una uwezo wa kununua bando la Internet kila linapoisha!

Ili kuthibitisha kwamba internet inapaswa kutumiwa to the maximum na kulingana na gharama zake kuwa kubwa watu wanafunga fibers kwenye majumba yao.
Sasa mfano wewe una laptop, iPad na Smartphone alafu matumizi yako ya data kwa mwezi ni 1 GB seriously?

My brother hau stream chochote mtandaoni? Hauandiki barua zako za kawaida na pepe haraka mtandaoni?
Hauchezi hata ka kamari? Jamani hata huchezi online games?

Aaaah utakuwa unaniangusha sana
mkuu nahisi hatutoelewana but nmekubali na nmetubu na kunyanyua mikono juu kuwa nimewatoa watu kwenye mada ila mkuu kwa watumiaji wa internet naweza na mm nikawemo japo kwa ⅛ tu.
 
Tigo ndo zinaisha haraka. Voda mnawasingizia.

Kama unaangalia videos elewa kuwa kwasababu kasi ya voda ni kubwa player yako inashusha higher quality video mfano 720p. Ukiwa unatumia TTCL ambayo wote tunafahamu kasi yake ni ndogo then the same video itaonyeshwa kwa 360p ili kupunguza kustuck stuck.

Kwahyo kwa Voda utakuwa umetumia karibu mara 2 ya MB ulzotumia ukiangalia kwa TTCL video hiyo hiyo kwasababu kwny voda umeiangalia katika quality kubwa zaidi ambayo ni effect ya voda kuwa na kasi.
 
kuna wale kukumaji wakuhamasisha mgomo.wangekuwa wanahamamsisha kuwagomea voda na tigo.ningewaunga mkono na mguu.
 
Mnaolaumu voda hizo mb hamzitumii kwenye kazi.. Ni kwa ajiri ya insta, fb, whatsapp na kudownload movies.. Kama zingekuwa productive na zinaingiza chochote huwezi lalamika na best option inabaki kuwa voda.

Hapa mimi nina line za mitandao yote ila hakuna unaoifikia voda, kuanzia speed, stability na coverage, kuna siku saa 6 usiku voda internet ilikata nikasema ngoja niunge halotel, lile bundle hata browser halikuweza kufungua.. Sasa ndo hizo bundle za bei nafuu mnazozitaka..

Kifupi gharama za voda ni kubwa kwa mtu wa kipato cha kuunga unga, mimi natumia kasi internet ya 50k napata 30gb mchana na 30gb usiku.. Kwa kazi zangu natoboa mwezi vizuri tu na movies/series nadownload vizuri tu.
 
Muwe makini wakati mnanunua Je huwa wanawaandikia Mb au MB ??,ni sawa wale wanaouza viwanja alafu wanaandka futi kwa haraka haraka ukazani ni Mita..
Huenda huwa mnauziwa wakiwa wameandka Mb..
 
Tunaomba serikali iliangalie suala hili kwa karibu zaidi,

TCRA kama vile wameshindwa kuisimamia ipasavyo,

tunaomba mamlaka zingine za serikali za uchunguzi kama Takukuru, TISS zitusaidie,.
 
Voda wapuuzi sana mm line yenyew nimeweka kwenda brenda nimesaga na juice nimekunywa
Umetisha mama. Nilijua mimi niliye isaga line ya voda nikasokota fegi nikavuta nimetisha kumbe wewe umetisha zaidi.
 
naikubali sana Voda iko spidi kinyama, may be kwakua wana vifurushi ghali so workload imeshuka

nikiwa na kazi serious ya online (skype-ing au team-viewing) naweka Voda

vinginevyo matumizi simple ya kawaida, ni Halotel
 
Mimi nilitumiwa msg kuwa muda wa kifurushi umeisha wakati bado kuna kama masaa 3 ndo muda uishe.
 
Back
Top Bottom