Mbabe Putin kuitembelea Iran July 19

Mbabe Putin kuitembelea Iran July 19

Iran jamaa wawe wa kabila 12 wamejipenyeza sana mle na wana mawakala wao ndani ya Iran, hivyo wakitaka kufanya yao ni sekunde tu Putin anasahaulika au hata kumpandikizia gonjwa litakalommaliza taratibu ili isionekane kaondoka tu kwa ugonjwa.

Anyway lakini huenda wayahudi hawanashida naye, japo babu wa USA juzi kafanya ziara huko hatujui yaliyopo sirini.
PUT IN sio KAGAME na RUSSIA sio ZIMBABWE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Urusi Ana nguvu, 1. Angeshamaliza kila kitu Ukraine, unajua mpaka sasa anaangaika tu. 2. Kama kamshindwa Ukraine, atamueza Israel alievamiwa na mataifa 7 zaidi ya mara 2, wakashindwa? Tena Siraha za hayo mataifa 7 zilipewa na USSR zikiwa pia ndege zenye marubani wa Kirusi ambapo Israel alizibutua zote. 3. Ukiona nchi inafanya urafiki na Syria, Iran, Afghanistan, Korea ya Kasikazini, Libya, Mali, Africa ya Kati, Myanmar, Silylanka, mataifa ambayo yameshaferi yanachofanya tu ni hasira za kuikomoa dunia ujue Urusi nae tayari ni Feria State ( Pariar State). Urusi ameshaferi jombaa, yaani Mrusi aende akafanye maisha Afghanistan, si upumbavu huo.
Matumizi ya L na R yanawapashida sana vijana
Ila pole kwahayo madubwasha ulotutaipia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba mwamba Putin achome mafuta mpaka Kabul kuonana na wataleban halafu akitoka huko aende tena Mogadishu kwa akina alshababu
Inaweza kuwa bonge la move.
Unajua mziki wa Watalaban?
Unaujua mziki wa wasomali?
Namaanisha mziki wao kwa wamarekani.
Akitoka Afghanistan anatua Vietnam.
Unaujua mziki wa wavietnam nadhani.
Hawa watu watatu watalaban,wasomali na wavietnam wakimwagwa Ukraine NATO watahamia Afrika.
😃😃😃😃.
 
Nchi za ulaya zinaanza kushtukia makosa yao ya kusikiliza propaganda

Swiss authorities have refused a NATO request to admit military and civilians wounded in Ukraine for treatment, local media write
 
Mossad wanaofanya shughuli zao Iran wote watajipa likizo kinyume na hvyo watakula za kichwa bila huruma maana Kwa muda wazaidi ya wiki Russians watakuwa wapo tehran counter intelligence ni ya Russians tupu
kwani mkuu hujui kuwa KGB ipo chini ya Mossad?
 
Shauri yake lakini, yaani anavyowakera west halafu anajidai anazurura naye.
Hebu fikiria wazo langu la kijinga TU.
Kwa mfano USA wafanikiwe kulipua ndege aliyomo Putin.
Unadhani Russia wakitaka watashindwa kupiga moja kwa moja White house?
Au mahala popote alipo Rais wa USA?
Au unadhani wakiamua kupiga ikulu zote za NATO watashindwa?
 
Iran jamaa wawe wa kabila 12 wamejipenyeza sana mle na wana mawakala wao ndani ya Iran, hivyo wakitaka kufanya yao ni sekunde tu Putin anasahaulika au hata kumpandikizia gonjwa litakalommaliza taratibu ili isionekane kaondoka tu kwa ugonjwa.

Anyway lakini huenda wayahudi hawanashida naye, japo babu wa USA juzi kafanya ziara huko hatujui yaliyopo sirini.
Unazungumzia Israel kwa Urusi?
Naona Kuna kitu hukifahamu.
Urusi ndio imejaza majasusi wake ndani ya Israel.
Ila kwa kua hujui ngoja nikuache.
Israel na Urusi ni Baba na mtoto wake.
 
Back
Top Bottom