Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kama ataenda hakuna ubaya aende tuuuPutin maji yamezid unga, usione ajabu alitoka huko akaenda Afghanistan ili mladi apate uungwaji mkono.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ataenda hakuna ubaya aende tuuuPutin maji yamezid unga, usione ajabu alitoka huko akaenda Afghanistan ili mladi apate uungwaji mkono.
PUT IN sio KAGAME na RUSSIA sio ZIMBABWEIran jamaa wawe wa kabila 12 wamejipenyeza sana mle na wana mawakala wao ndani ya Iran, hivyo wakitaka kufanya yao ni sekunde tu Putin anasahaulika au hata kumpandikizia gonjwa litakalommaliza taratibu ili isionekane kaondoka tu kwa ugonjwa.
Anyway lakini huenda wayahudi hawanashida naye, japo babu wa USA juzi kafanya ziara huko hatujui yaliyopo sirini.
Nlikua natafte neno lakutia hapo kwahuyo jamaaaPia kumbuka "dua la kuku halimpati mwewe"
RUSSIA labda amsaidie kuzidi ziimarisha tuuuHivi nini kitatokea kama Russia atamsaidia Iran [emoji1130] kuunda nyuklia?
Kuna watu bado munaamini kwamba seprtember 11 lilikua shambulio la bahati mbaya poleni sanaNi kweli Mkuu Refer Osama Bin Laden na mashambulizi ya World Trade Centre mwaka 2001. Angetaka angemwondoa hata George Bush (Rais wa Marekani wa Kipindi hicho), ilibidi Bush afichwe kwenye Handaki kwa muda.
Matumizi ya L na R yanawapashida sana vijanaKama Urusi Ana nguvu, 1. Angeshamaliza kila kitu Ukraine, unajua mpaka sasa anaangaika tu. 2. Kama kamshindwa Ukraine, atamueza Israel alievamiwa na mataifa 7 zaidi ya mara 2, wakashindwa? Tena Siraha za hayo mataifa 7 zilipewa na USSR zikiwa pia ndege zenye marubani wa Kirusi ambapo Israel alizibutua zote. 3. Ukiona nchi inafanya urafiki na Syria, Iran, Afghanistan, Korea ya Kasikazini, Libya, Mali, Africa ya Kati, Myanmar, Silylanka, mataifa ambayo yameshaferi yanachofanya tu ni hasira za kuikomoa dunia ujue Urusi nae tayari ni Feria State ( Pariar State). Urusi ameshaferi jombaa, yaani Mrusi aende akafanye maisha Afghanistan, si upumbavu huo.
Mbabe wa Ujasusi pia...PutinM,babe wa kivita .....putin
Kiboko ya waonevuRais wa DUNIA.
LONG LIVE PUTIN [emoji1377]
Hapana ndo anatoroka hivyo,maji ya shingo.Putin maji yamezid unga, usione ajabu alitoka huko akaenda Afghanistan ili mladi apate uungwaji mkono.
Inaweza kuwa bonge la move.Kwamba mwamba Putin achome mafuta mpaka Kabul kuonana na wataleban halafu akitoka huko aende tena Mogadishu kwa akina alshababu
Vifaa vya kazi,kwa matumizi ya FSB Spetsnaz..Kuna midege yao kama mitano ivi ile mikubwa sjui ilibeba nn taari yamefika Tehran week iliopita kwa maandalizi
kwani mkuu hujui kuwa KGB ipo chini ya Mossad?Mossad wanaofanya shughuli zao Iran wote watajipa likizo kinyume na hvyo watakula za kichwa bila huruma maana Kwa muda wazaidi ya wiki Russians watakuwa wapo tehran counter intelligence ni ya Russians tupu
West ni kitisho kwa nchi za ulimwengu wa tatu,sio kwa Might Russia.Shauri yake lakini, yaani anavyowakera west halafu anajidai anazurura naye.
Hebu fikiria wazo langu la kijinga TU.Shauri yake lakini, yaani anavyowakera west halafu anajidai anazurura naye.
Unazungumzia Israel kwa Urusi?Iran jamaa wawe wa kabila 12 wamejipenyeza sana mle na wana mawakala wao ndani ya Iran, hivyo wakitaka kufanya yao ni sekunde tu Putin anasahaulika au hata kumpandikizia gonjwa litakalommaliza taratibu ili isionekane kaondoka tu kwa ugonjwa.
Anyway lakini huenda wayahudi hawanashida naye, japo babu wa USA juzi kafanya ziara huko hatujui yaliyopo sirini.
Aisee!kwani mkuu hujui kuwa KGB ipo chini ya Mossad?