Mbabe Putin kuitembelea Iran July 19

Yaani wewe mbuza uyajue yote hayo alafu Russian Intelligence Agencies washindwe?
 
Wewe bila shaka utakuwa mmoja wa waamini wa taifa teule.
Wale ni watu kama wewe mkuu acha kuwaramba na kuwaabdu wewe muafrika mweusi.

Where's your sense of worth and self respect?
 
Umemaanisha kesho Jumanne au?
 
M
Putin akifa itakuwa ni kwa sababu za kiasili. Hamna namna huyu mwamba anaweza kuondoka kwa shughuli za kijasusi.
 
Kelele za US week nzima akilia kwenye media afu itaisha hakuna chochote kitakachotokea. Iran anafukuzia sana hilo deal ndomana yuko karibu sana na Russia. Ila nahisi anazo nyuklia tayari kwa jeuri aliyonayo ni lazima ana nukes zinampa kiburi
Kwa nn US na jamaa zake hawamvamii Iran kama walivyomvamia Iraq kwa kuhis anazo?
 
Plus Bagamoyo, Tanzania in 1970's
 
Mnai overrated sn Israel kwani hzo ndege kuangushwa ndio nn? mbona USA ndege zake zimeangushwa Hadi na wasomali achilia Iran
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…