Mbabe Putin kuitembelea Iran July 19

Mbabe Putin kuitembelea Iran July 19

Iran jamaa wawe wa kabila 12 wamejipenyeza sana mle na wana mawakala wao ndani ya Iran, hivyo wakitaka kufanya yao ni sekunde tu Putin anasahaulika au hata kumpandikizia gonjwa litakalommaliza taratibu ili isionekane kaondoka tu kwa ugonjwa.

Anyway lakini huenda wayahudi hawanashida naye, japo babu wa USA juzi kafanya ziara huko hatujui yaliyopo sirini.
Yaani wewe mbuza uyajue yote hayo alafu Russian Intelligence Agencies washindwe?
 
Katika Watu ambao duniani Putin anawaogopa ni hao MOSSAD, maana wapo mpaka Urusi kwenye Serikali yake. Kama ujui Russia ina jimbo (Oblast), inaitwa Jewish Oblast lipo mashariki mwa Russia karibu na Jiji la Vladivostok au karibu na mpaka na North Korea. Pia katika list ya Matajiri 10 wa Urusi, 4 ni Wayaudi kwa asili. Ndio maana Putin 1. Amuui Zelensiky wa Ukraine, maana ni myaudi anaogopa watamfeka pale pale Moscow, 2. Putin, Aliomba msamaha haraka pale Waziri wake Lavrov alipomlaumu Zelensiky wa Ukraine kwamba ana msimamo sana kama Hittler akiwafananisha Wayahudi na Hittler. Ogopa sana wayahudi, Wapo kila sehemu, ndio maana Iran wanaichezea watakavyo.
Wewe bila shaka utakuwa mmoja wa waamini wa taifa teule.
Wale ni watu kama wewe mkuu acha kuwaramba na kuwaabdu wewe muafrika mweusi.

Where's your sense of worth and self respect?
 
Katika hali ya kuihakikishia Dunia kuwa mambo ni shwari nyumbani Moscow,rais mbabe na mmiliki wa mkanda mweusi wa judo Vladimir Putin anatarajiwa kuitembele nchi ya Iran tarehe july 19

Kwa sasa Kremlin ishaweka wazi kuwa haijisumbui wala kujikomba Ulaya kwa akina Macron bali watakwenda na wanaowaelewa
Umemaanisha kesho Jumanne au?
 
M
Iran jamaa wawe wa kabila 12 wamejipenyeza sana mle na wana mawakala wao ndani ya Iran, hivyo wakitaka kufanya yao ni sekunde tu Putin anasahaulika au hata kumpandikizia gonjwa litakalommaliza taratibu ili isionekane kaondoka tu kwa ugonjwa.

Anyway lakini huenda wayahudi hawanashida naye, japo babu wa USA juzi kafanya ziara huko hatujui yaliyopo sirini.
Putin akifa itakuwa ni kwa sababu za kiasili. Hamna namna huyu mwamba anaweza kuondoka kwa shughuli za kijasusi.
 
Kelele za US week nzima akilia kwenye media afu itaisha hakuna chochote kitakachotokea. Iran anafukuzia sana hilo deal ndomana yuko karibu sana na Russia. Ila nahisi anazo nyuklia tayari kwa jeuri aliyonayo ni lazima ana nukes zinampa kiburi
Kwa nn US na jamaa zake hawamvamii Iran kama walivyomvamia Iraq kwa kuhis anazo?
 
Hivi unafahamu historia ya Putin kwenye ujasusi? hivi inaifaham iliyokuwaShirika la kijasusi la Soviet yaani Komittet Gatzudastvenoy Bezopasnost (KGB)? Putin ni Senior kama siyo Sufurior wa ujasusi hili hata NSA, CIA, FBI, M16, M15, GRU, Red Hand wa ufaransa wanamfaham, Putin amefanya ujasusi ktk nyanja mbalimbali na nchi mbalimbali duniani eg USA, UK, Germany (hapa kaishi kama nyumbani) hadi Australia, Austria-Hungary n.k huyu binadam anaeitwa Putin anawajua western kuliko wao wanavyojijua.
Kumbuka middle east mifumo mingi ya usalama asili yake ni USSR na ndicho kipindi ambacho Putin amefanya kazi sana ktk ujana wake wote. Hivyo akienda middle east anakwenda Kwa wanafunzi wake.
Plus Bagamoyo, Tanzania in 1970's
 
Israel amewai kuziangusha ndege za Russia katika vita na Egypt huko Sinai, Urusi hakufanya chochote (Nyakati za Golda Meir). Israel anabutua kila siku mizinga na silaha za Warusi wanazopewa Syria na hamfanyi chochote. Dege la Urusi liliangushwa na makombora ya Syria baada ya ndege vita za Israel kujificha nyuma ya ndege ya Urusi, Urusi hakufanya chochote. Putin kaomba msamaha kwa Israel kwa kadhia ya Lavrov. Israel sio Ukraine unaeangaika nae na kuua raia tu ueleweki lengo lako nini. Watoto wa Yakobo hawana maneno Mengi, ukiwatishia Nyuklia wao wenzio wameshahama huko kwenye hiyo Nyuklia, wanakubutulia na kukuyeyushia jiwe la sayari ndogo moja(asteroid), linadondosha jivu lenye moto (burning sulphur) juu ya mji wote wa Moscow, alafu unaulizwa kama umeipenda show au tuongeze. Kaa mbali na Watoto wa Yakobo, utawaonea wakiwa kwako au wakiwa nchi nyingine, lakini wakiwa pale Canaan (Jerusalem) ata mje 150, hamuwang'oi. Ndio maana waarabu wanajiungamanisha na Mkataba wa Abraham Accord ili waelewane na Israel, wanajua hawawawezi. Je wewe mmatumbi na Urusi yako mtajiungamanisha na nini au na ile michuma chuma inayofeli kule Ukraine?.
Mnai overrated sn Israel kwani hzo ndege kuangushwa ndio nn? mbona USA ndege zake zimeangushwa Hadi na wasomali achilia Iran
 
Back
Top Bottom