Mbagala Dar es Salaam ni chafu sana, inanuka

Mbagala Dar es Salaam ni chafu sana, inanuka

Nimesema Rangitatu na nikatoa tahadhari usiende mvua ikinyesha sasa Rangitatu nyingine ya Mbagala iko wapi! Kila mara zingatia simama, soma, tafakari kisha chukua hatua.
Vipi soko la buguruni na mabibo mvua zikinyesha?
 
Mabibo soko la ndizi?
Kuna siku nilipita mabibo jamani mahakama ya ndizi daa tope mpaka magotini uwii utazani shamba la mpunga halafu watu wapo comfortable kabisa [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Eneo la Mbagala lililomo kwenye wilaya ya Temeke ni eneo chafu sana sana, ili uweze kuelewa ninachokisema kabla haujanipinga ni vizuri utembelee eneo la Rangitatu nina uhakika hata hizo Rangitatu hautaziona kutokana na uchafu ulioko huko.

Mbagala ina barabara kuu ya Kilwa japo kote inaonekana safi ila ukifika Mbagala inatoweka kwa uchafu na unaiona tena ukiivuka Rangitatu! Mitaa yote ya Rangitatu ambalo ndilo eneo la biashara ni michafu na yenye vumbi na mashimo na ndiyo inayozalisha kura za ushindi wa ubunge kwa CCM huku wanyamwezi ardhi kama hiyo wanazalisha viazi vitamu.

Rangitatu kuna maduka yanauza nafaka ambazo humwagika na zikilowa huchacha na kusababisha harufu kali na joto linalotokana na pumba za mahindi zilizolowa, Mbagala ni chafu na inachangiwa zaidi na Serikali kuruhusu wamachinga kujazana barabarani wakifanya biashara na kukojoa hovyo kwani hakuna vyoo vya jiji licha ya jiji kukusanya kodi ya maendeleo na kutofanya usafi!

Tahadhari, usije Mbagala wakati wa mvua.
Kuna Demu nilipanga Kumtongoza na anaishi huko ila kwa huu Uzi natangaza Kusitisha rasmi hiyo azma ( nia ) na Asante sana kwa Taarifa Mkuu.

Ngoja nibakie tu Kutongoza wa Tabata japo nao hunipa mno Adhabu ya Kukariri Dawa za Magonjwa ya Zinaa ( Gonorrhea na Syphilis ) za Cipro, Flagyil na Doxy kutokana na Magonjwa haya kupendana Kunakotukuka nami.
 
Kuna siku nilipita mabibo jamani mahakama ya ndizi daa tope mpaka magotini uwii utazani shamba la mpunga halafu watu wapo comfortable kabisa [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Serikali ilitaka wahamisha kipindi cha marehemu, watu wakapiga kelele na yeye akasema waachwe
 
Mleta mada hujakosea mbagala (ofcoz na maeneo mengi tu ndani ya dar) ni machafu sana eg. Vngunguti, gongolamboto, mbagala, mabibo sokoni, tandika stereo, etc ni mengi sana
 
Kuna Demu nilipanga Kumtongoza na anaishi huko ila kwa huu Uzi natangaza Kusitisha rasmi hiyo azma ( nia ) na Asante sana kwa Taarifa Mkuu.

Ngoja nibakie tu Kutongoza wa Tabata japo nao hunipa mno Adhabu ya Kukariri Dawa za Magonjwa ya Zinaa ( Gonorrhea na Syphilis ) za Cipro, Flagyil na Doxy kutokana na Magonjwa haya kupendana Kunakotukuka nami.
Huyo demu wa kumtongoza labda ukamchukue Kinondoni uje umtongozee Mbagala, huku kuna ukame wa mademu wa pisikali.
 
Kwahiyo buguruni, mwananyamala, manzese na msasani hazitii dafu?
 
Sehemu kubwa ya Dar ni chafu haswa zile sehemu zenye mikusanyiko ya kibiashara...tazama Tegeta, Mbezi Mwisho, Manzese, Kkoo haswa mitaa ya Gerezani hadi Shaurimoyo, GongolaMboto, Mabibo, Ilala Boma/Karume, Buguruni, Vingunguti...
 
Sehemu kubwa ya Dar ni chafu haswa zile sehemu zenye mikusanyiko ya kibiashara...tazama Tegeta, Mbezi Mwisho, Manzese, Kkoo haswa mitaa ya Gerezani hadi Shaurimoyo, GongolaMboto, Mabibo, Ilala Boma/Karume, Buguruni, Vingunguti...
Sawa, ila Mbagala kunanuka kwani nafaka zinazumwagika kwenye maduka zikilowa zinatoa harufu kali, pamoja na mikojo ya wamachinga na bodaboda na takataka za vyakula vinavyouzwa kwenye magenge.
 
Eneo la Mbagala lililomo kwenye wilaya ya Temeke ni eneo chafu sana sana, ili uweze kuelewa ninachokisema kabla haujanipinga ni vizuri utembelee eneo la Rangitatu nina uhakika hata hizo Rangitatu hautaziona kutokana na uchafu ulioko huko.

Mbagala ina barabara kuu ya Kilwa japo kote inaonekana safi ila ukifika Mbagala inatoweka kwa uchafu na unaiona tena ukiivuka Rangitatu! Mitaa yote ya Rangitatu ambalo ndilo eneo la biashara ni michafu na yenye vumbi na mashimo na ndiyo inayozalisha kura za ushindi wa ubunge kwa CCM huku wanyamwezi ardhi kama hiyo wanazalisha viazi vitamu.

Rangitatu kuna maduka yanauza nafaka ambazo humwagika na zikilowa huchacha na kusababisha harufu kali na joto linalotokana na pumba za mahindi zilizolowa, Mbagala ni chafu na inachangiwa zaidi na Serikali kuruhusu wamachinga kujazana barabarani wakifanya biashara na kukojoa hovyo kwani hakuna vyoo vya jiji licha ya jiji kukusanya kodi ya maendeleo na kutofanya usafi!

Tahadhari, usije Mbagala wakati wa mvua.
Utatulipia gharama za kuja kufanya utalii huko rangi tano,au japo tupiamo tupicha picha twa hapo rangi tano,tuliopo huku kazuramimba tukuelewemoo🥱
 
Utatulipia gharama za kuja kufanya utalii huko rangi tano,au japo tupiamo tupicha picha twa hapo rangi tano,tuliopo huku kazuramimba tukuelewemoo🥱
Niko safarini ila nikiona sehemu chafu kama ya Mbagala nitaipiga picha nikutumie, ukiishi kwa kuamini picha shauri yako.
 
Back
Top Bottom