Vipi soko la buguruni na mabibo mvua zikinyesha?Nimesema Rangitatu na nikatoa tahadhari usiende mvua ikinyesha sasa Rangitatu nyingine ya Mbagala iko wapi! Kila mara zingatia simama, soma, tafakari kisha chukua hatua.
Kuna siku nilipita mabibo jamani mahakama ya ndizi daa tope mpaka magotini uwii utazani shamba la mpunga halafu watu wapo comfortable kabisa [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Mabibo soko la ndizi?
Wala hujakoseaUsafi ni tabia.
Siku hiyo nilichoka daaMvua zikianza lazima uvae gum boots au uingie peku maana matope ni zaidi ya futi 1
Kuna Demu nilipanga Kumtongoza na anaishi huko ila kwa huu Uzi natangaza Kusitisha rasmi hiyo azma ( nia ) na Asante sana kwa Taarifa Mkuu.Eneo la Mbagala lililomo kwenye wilaya ya Temeke ni eneo chafu sana sana, ili uweze kuelewa ninachokisema kabla haujanipinga ni vizuri utembelee eneo la Rangitatu nina uhakika hata hizo Rangitatu hautaziona kutokana na uchafu ulioko huko.
Mbagala ina barabara kuu ya Kilwa japo kote inaonekana safi ila ukifika Mbagala inatoweka kwa uchafu na unaiona tena ukiivuka Rangitatu! Mitaa yote ya Rangitatu ambalo ndilo eneo la biashara ni michafu na yenye vumbi na mashimo na ndiyo inayozalisha kura za ushindi wa ubunge kwa CCM huku wanyamwezi ardhi kama hiyo wanazalisha viazi vitamu.
Rangitatu kuna maduka yanauza nafaka ambazo humwagika na zikilowa huchacha na kusababisha harufu kali na joto linalotokana na pumba za mahindi zilizolowa, Mbagala ni chafu na inachangiwa zaidi na Serikali kuruhusu wamachinga kujazana barabarani wakifanya biashara na kukojoa hovyo kwani hakuna vyoo vya jiji licha ya jiji kukusanya kodi ya maendeleo na kutofanya usafi!
Tahadhari, usije Mbagala wakati wa mvua.
Serikali ilitaka wahamisha kipindi cha marehemu, watu wakapiga kelele na yeye akasema waachweKuna siku nilipita mabibo jamani mahakama ya ndizi daa tope mpaka magotini uwii utazani shamba la mpunga halafu watu wapo comfortable kabisa [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Huyo demu wa kumtongoza labda ukamchukue Kinondoni uje umtongozee Mbagala, huku kuna ukame wa mademu wa pisikali.Kuna Demu nilipanga Kumtongoza na anaishi huko ila kwa huu Uzi natangaza Kusitisha rasmi hiyo azma ( nia ) na Asante sana kwa Taarifa Mkuu.
Ngoja nibakie tu Kutongoza wa Tabata japo nao hunipa mno Adhabu ya Kukariri Dawa za Magonjwa ya Zinaa ( Gonorrhea na Syphilis ) za Cipro, Flagyil na Doxy kutokana na Magonjwa haya kupendana Kunakotukuka nami.
Sawa, ila Mbagala kunanuka kwani nafaka zinazumwagika kwenye maduka zikilowa zinatoa harufu kali, pamoja na mikojo ya wamachinga na bodaboda na takataka za vyakula vinavyouzwa kwenye magenge.Sehemu kubwa ya Dar ni chafu haswa zile sehemu zenye mikusanyiko ya kibiashara...tazama Tegeta, Mbezi Mwisho, Manzese, Kkoo haswa mitaa ya Gerezani hadi Shaurimoyo, GongolaMboto, Mabibo, Ilala Boma/Karume, Buguruni, Vingunguti...
comment yako nimeihifadhi nitakukumbusha kipindi cha uchaguziOoh! Sawa,kumradhi nilichanganya. Barabara hiyo ipo kwenye bajeti tayari mbona braza!!! Muda simrefu itarekebishwa
Yaani soko lile jamani halafu watu wanakula kabisa bila wasiwasi ,bora wangeomba wawaboreshee lakini sio vile daa.Serikali ilitaka wahamisha kipindi cha marehemu, watu wakapiga kelele na yeye akasema waachwe
Ila CCM chafu zaidi.Bongo yote chafu
Utatulipia gharama za kuja kufanya utalii huko rangi tano,au japo tupiamo tupicha picha twa hapo rangi tano,tuliopo huku kazuramimba tukuelewemoo🥱Eneo la Mbagala lililomo kwenye wilaya ya Temeke ni eneo chafu sana sana, ili uweze kuelewa ninachokisema kabla haujanipinga ni vizuri utembelee eneo la Rangitatu nina uhakika hata hizo Rangitatu hautaziona kutokana na uchafu ulioko huko.
Mbagala ina barabara kuu ya Kilwa japo kote inaonekana safi ila ukifika Mbagala inatoweka kwa uchafu na unaiona tena ukiivuka Rangitatu! Mitaa yote ya Rangitatu ambalo ndilo eneo la biashara ni michafu na yenye vumbi na mashimo na ndiyo inayozalisha kura za ushindi wa ubunge kwa CCM huku wanyamwezi ardhi kama hiyo wanazalisha viazi vitamu.
Rangitatu kuna maduka yanauza nafaka ambazo humwagika na zikilowa huchacha na kusababisha harufu kali na joto linalotokana na pumba za mahindi zilizolowa, Mbagala ni chafu na inachangiwa zaidi na Serikali kuruhusu wamachinga kujazana barabarani wakifanya biashara na kukojoa hovyo kwani hakuna vyoo vya jiji licha ya jiji kukusanya kodi ya maendeleo na kutofanya usafi!
Tahadhari, usije Mbagala wakati wa mvua.
Tuombe uzima Ndugu yangu, nimelazimika tena kupitia barabara hiyo leo asubuhi na mapema.comment yako nimeihifadhi nitakukumbusha kipindi cha uchaguzi
Niko safarini ila nikiona sehemu chafu kama ya Mbagala nitaipiga picha nikutumie, ukiishi kwa kuamini picha shauri yako.Utatulipia gharama za kuja kufanya utalii huko rangi tano,au japo tupiamo tupicha picha twa hapo rangi tano,tuliopo huku kazuramimba tukuelewemoo🥱