Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kila mfungwa ni mwiziHiyo si hali ngumu ya maisha, ni roho chafu ya ubinafsi!!!
Kwa taharifa yako mbagala wanakula sana nyama ya kuku lakini ni utumbo,vichwa na miguu ya kukuLeo kuna familia zitakula nyama Mbagala.
Tushasahau lile tukio la Moro kwa jinsi walivyoungua tokana na tenki la petroli kulipuka?Polisi wafanye nini sasa hapo na mzigo una bima,acha roho ya korosho wacha wajiokotee cement
[emoji23][emoji23][emoji23]Unajiandikia tu utasema hapo ulipo umekalia “kipande cha nyama ngumu”
Jukwaa zima unakata kata viuno kuandika kila uzi habari za Chadema hata pasipohusika.
Kumbe na cement inalipukaTushasahau lile tukio la Moro kwa jinsi walivyoungua tokana na tenki la petroli kulipuka?
Unafki huu daaah....[emoji35]
🤣🤣🤣🤣nImekumbuka siku gari lililosheheni vileo lilipoanguka na wanakijiji wakaanza kula ulabu polisi waliofika wakakuta mtaa mzima watu wamelewa.
Lori halina sehemu inayohifadhi petroli, dissel au mafuta ambapo ukijichanganya kuvuta sigara haliwezi kulipuka?Kumbe na cement inalipuka
Wote watakaoonekana kwenye video inapaswa wakamatweHii ndio Taarifa inayozunguka mitandaoni kwa sasa, ambapo baada ya lori hilo kubwa kupata ajali wananchi wa eneo hilo badala ya kuokoa majeruhi wamejisombea mifuko ya cement, huku wengine wakirejea tena na tena bila kipingamizi chochote.
Chanzo : Millard Ayo TV
MYTAKE : Hivi ndio vitu ambavyo Polisi wanapaswa kuvishughulikia badala ya kupambana kuzuia Jogging za BAWACHA
Malori yote hutumia diesel,diesel hailipuki kama petrol,acha watu wajiokotee cementLori halina sehemu inayohifadhi petroli, dissel au mafuta ambapo ukijichanganya kuvuta sigara haliwezi kulipuka?
Au namuelezea Mtu asiyejielewa?
Sawa MamaMalori yote hutumia diesel,diesel hailipuki kama petrol,acha watu wajiokotee cement
Unatetea wizi etiMalori yote hutumia diesel,diesel hailipuki kama petrol,acha watu wajiokotee cement
Ukikosa hoja unaanza matusi,mimi ni sawa na baba yako,au mpaka siku unikute chumbani na mama yako tumevaa matauloSawa Mama
Tofautisha wizi na kuokotaWatanzania wizi wizi na tabia za ajabu