UP TO DATE
JF-Expert Member
- Apr 20, 2021
- 740
- 903
Kwa maeneo Lori lilipopata hiyo ajali, nilijua tu lazima cement ziibiwe haziwezi kuachwa,ni tabia mbaya Sana lakini inachagizwa na Mambo mengi ,wengi hapo ni wale wa tabaka la tatu na wanajua Sana tu kuwa wanachofanya ni ujinga,tabia ya wizi ina mizizi mirefu tu kwani walishazoeshwa kwahiyo inaonekana sawa tu...