Mbagala: Lori lililobeba saruji laanguka, Wananchi wajibebea mifuko ya saruji

Ukikosa hoja unaanza matusi,mimi ni sawa na baba yako,au mpaka siku unikute chumbani na mama yako tumevaa mataulo
Bado huna hoja sababu nawe umerusisha jino kwa jino.


Lakini nikuombe msamaha sikudhamiria kukutukana bali ni makosa ya uandishi tu.
 

Hata wakipambana watasemwa tuuu,, binadamu ndivo tulivyoo.
 

Co tu hali ngumu ya maisha,,,waafrika kwa ujumla co watu waaminifu since kitambo, but siyo wote.
 
Duh hatujifunzi kutokana na makosa ya Morogoro, kiukweli ile ilinipa funzo hata lianguke gari la chocolates ntakimbia vibaya🤫
 
Lori halina sehemu inayohifadhi petroli, dissel au mafuta ambapo ukijichanganya kuvuta sigara haliwezi kulipuka?

Au namuelezea Mtu asiyejielewa?
umeliona hilo gari au unaongea tu kisa ni haki yako kikatiba
 
Mambo yamehadilika sanaa
Zamani watu walikuwa waangalia hali ya mtu na jinsi ya kumsaidia.
Lakin siku hizi kila mtu apambane mwenywe .
Watu wanaondoka na saruji bila hata kujua hali ya mtu (dreva wa lori?)
Kweli maisha yanabadilika kwa speed sanaaa
 
Your browser is not able to display this video.
 
Afrika nzima hakuna sehemu roli likaanguka ns bidhaa watu wasiokote ,so kwa mila zetu huo sio wizi

Kumbe mila na siyo imani yako inayokuzuia!!! 🤣


Fanya ufanyavyo, fuata ufatavyo lakini tambuaa huo ni wizi mjombaa
 
[emoji1241][emoji119]
 

Polisi walinda CCM iendelee kutawala si walinda mali za watu.

Kwani?



Si kuwa wako naye kama ilivyo kwa Ben na Azory?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…