Mbali na kura za UN kupinga uvamizi wa wayahudi huko Gaza, Israel hajali, Kwani hii nchi ya Wayahudi inanguvu kiasi gani?

Mbali na kura za UN kupinga uvamizi wa wayahudi huko Gaza, Israel hajali, Kwani hii nchi ya Wayahudi inanguvu kiasi gani?

Bora asitishe maana inaweza kutokea bahati mbaya akatwanga na makombora magaidi ambao wapo na mateka na wote wakafa, sasa hapo atakuwa ameoata faida gani.
Hii ni project ya kuua waislamu weusi wote Sudan ili wabaki waarabu.
 
Kura za UN kwa Urusi kuvamia na kuharibu nchi ya Ukraine zilipita hivyo hivyo na za Janjaweed waarabu kuua wabantu weusi huko Darfur ziliendaje sijui.
 
Back
Top Bottom