Mbali na kuwa na washirika wengi wanaomuunga mkono Russia, kwa USA, Russia ni kama yuko peke yake!

Mbali na kuwa na washirika wengi wanaomuunga mkono Russia, kwa USA, Russia ni kama yuko peke yake!

Nsanzagee

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2023
Posts
2,209
Reaction score
4,769
Russia tangu ameingia vita vya kijeshi na ka nchi kadogo kanakoingia mara 8 kwa Russia, ametafuta ushirika na mataifa mengi na makubwa yenye uwezo mbalimbali kijeshi mpaka kafika Africa akajipatia SA

Marafiki ambao wamekukubaliana kuweka ushirikiano pamoja ili kumdhibiti USA ni, China, Iran, Korea Kasikazini, Cuba na sasa Vietnam. N.k

USA inaitizama tu Rassia jinsi inavyhangaika huku ikiendelea kupeleka kiasi cha siraha ndogo kule Ukraine na kumwacha Putin akilalama bila thubutu yoyote ya kuifanya USA

Hata hivyo, umasikini ni kitu kibaya sana, kinafedhehesha, kinakulazimisha ukajikombe kwa wenye uwezo, na hata hao unaowaona wanauwezo, kumbe nao wanaye mwenye uwezo kuwapita hata wakiunganika

USA ni uwezo, bila Uwezo angelikuwa keshapigwa na Putin kitambo kwa kitendo chake cha kuwasaidia Ukraine huku walikuwa wamepewa onyo kabla

Mbali na kuwa na washirika wengi sasa wanaomuunga mkono Russia, lakini hiyo haimpi imani ya kujitoshereza kwamba anao uwezo sasa wa kukabiliana na USA

USA ni dude kuubwa sana, kiasi kwamba linaweza kusimama lenyewe likayumbisha mataifa yote duniani
 
Russia anayo nafasi ya kuwa na economic dominance viwango cya akina us sasa sijuwi anakwama wapi.
Nadhani Rassia hesabu zake kazikosea, ila China ina mpango mahususi

Unapotaka kumshusha USA jijenge kwanza kwa kila nyanja na uwe na uchumi kiasi cha kumzidi yeye theni ukianzisha fujo, unauhakika wa kutembea na mmarekani hata miaka 20

Kushindana na kutaka kuishusha Marekani inayotoa misaada karibu Dunia nzima

Umewahi kujiuliza, USA akaacha tu kutoa misaada ya aina yoyote, Baada ya miaka 10 Dunia itakuweje
 
Russia anayo nafasi ya kuwa na economic dominance viwango cya akina us sasa sijuwi anakwama wapi.
“Russia anayo nafasi ya kuwa na economic dominance viwango vya akina US sasa sijuwi anakwama wapi?”

IMG_1262.jpeg
 
Nadhani Rassia hesabu zake kazikosea, ila China ina mpango mahususi

Unapotaka kumshusha USA jijenge kwanza kwa kila nyanja na uwe na uchumi kiasi cha kumzidi yeye theni ukianzisha fujo, unauhakika wa kutembea na mmarekani hata miaka 20

Kushindana na kutaka kuishusha Marekani inayotoa misaada karibu Dunia nzima

Umewahi kujiuliza, USA akaacha tu kutoa misaada ya aina yoyote, Baada ya miaka 10 Dunia itakuweje
Wataalamu nguli - tena toka inner circle ya US - wanakiri wazi kuwa Putin alijipanga vilivyo, US naye alijipanga ila alipigwa chenga 2014.
Dunia ya sasa imechangamka, inachezwa michezo ya watu wazima na ya kibabe - zaidi ya zama za vita baridi.
Washirika wa US wanajulikana long time, ila Russia anacheza michezo matata na bila makelele mengi. Je unahisi kituo kinachofuata baada ya Vietnam ni kipi?
 
“Russia anayo nafasi ya kuwa na economic dominance viwango vya akina US sasa sijuwi anakwama wapi?”

View attachment 3022166
Russia pamoja na kuwa na raslimali lukuki kuishinda Marekani na kando ya ukweli kwamba ndio nchi ya kwanza duniani kwa kumiliki raslimali nyingi za asili lakini kwa bahati mbaya hazijaweza kumsaidia ili uchumi wake uwe wa kwanza kwa ukubwa duniani.

Hii inatokana na sababu za kihistoria. Russia toka vita vya kwanza vya dunia walipoanzisha mfumo wa uchumi wa kikomunisti ndipo walipojiloga rasmi.

Baada ya njia zote za kiuchumi kumilikiwa na serikali katili ya kikomunisti wananchi walibaki kuwa watazamaji huku wananchi wakiwa hawajui kabisa maswala ya biashara na watu walibaki kuwa wakulima wadogo wadogo au waajiriwa wa serikali na mashirika yake.

Matokeo yake ndio tunaona leo Russia hamna makampuni makubwa makubwa yanayoweza kuajiri watu wengi na kulipa kodi serikalini, Russia imebaki tu kuwa Banana Republic.
 
Russia pamoja na kuwa na raslimali lukuki kuishinda Marekani na kando ya ukweli kwamba ndio nchi ya kwanza duniani kwa kumiliki raslimali nyingi za asili lakini kwa bahati mbaya hazijaweza kumsaidia ili uchumi wake uwe wa kwanza kwa ukubwa duniani.

Hii inatokana na sababu za kihistoria. Russia toka vita vya kwanza vya dunia walipoanzisha mfumo wa uchumi wa kikomunisti ndipo walipojiloga rasmi.

Baada ya njia zote za kiuchumi kumilikiwa na serikali katili ya kikomunisti wananchi walibaki kuwa watazamaji huku wananchi wakiwa hawajui kabisa maswala ya biashara na watu walibaki kuwa wakulima wadogo wadogo au waajiriwa wa serikali na mashirika yake.

Matokeo yake ndio tunaona leo Russia hamna makampuni makubwa makubwa yanayoweza kuajiri watu wengi na kulipa kodi serikalini, Russia imebaki tu kuwa Banana Republic.
Wanajitegemea kama taifa au hawajitegemei!?
Wananchi wanapata mahitaji ya msingi, elimu, afya, ajira!?
 
unadhani kama si uwezo mkubwa alionao URUSI huyo USA asingempiga PUTIN mpaka sasa???
Mbona huku tulipigana na Uganda lakini hakumpiga yeyote?

Hata hivyo Puti n kwa alivyoyatisha mataifa ya ulaya na USA kwamba yakijaribu tu kujihusisha na vita dhidi yake atayasambaratisha!

Nauliza, Putin hapigwi na Nato?

Sasa yeye ajaribu tu kurusha hato puto kwa NATO aone
 
Mbona huku tulipigana na Uganda lakini hakumpiga yeyote?

Hata hivyo Puti n kwa alivyoyatisha mataifa ya ulaya na USA kwamba yakijaribu tu kujihusisha na vita dhidi yake atayasambaratisha!

Nauliza, Putin hapigwi na Nato?

Sasa yeye ajaribu tu kurusha hato puto kwa NATO aone
nilichouliza na ulichojibu tofauti...
 
“Russia anayo nafasi ya kuwa na economic dominance viwango vya akina US sasa sijuwi anakwama wapi?”

View attachment 3022166
Naona viatu vinavyo pwaya.
Point yangu ilikuwa ni, Russia anayo mali asili nyingi kama si zote, Russia anazo rasilimali watu, yahani vichwa wanye uwezo wa ku transform hizo resources kwa chochote dunia inachokitaka alafu akaiuzia dunia na kujenga uchumi wake. Badala yake kawekeza kwenye ugonvi tu.
 
Russia tangu ameingia vita vya kijeshi na ka nchi kadogo kanakoingia mara 8 kwa Russia, ametafuta ushirika na mataifa mengi na makubwa yenye uwezo mbalimbali kijeshi mpaka kafika Africa akajipatia SA

Marafiki ambao wamekukubaliana kuweka ushirikiano pamoja ili kumdhibiti USA ni, China, Iran, Korea Kasikazini, Cuba, N.k

USA inaitizama tu Rassia jinsi inavyhangaika huku ikiendelea kupeleka kiasi cha siraha ndogo kule Ukraine na kumwacha Putin akilalama bila thubutu yoyote ya kuifanya USA

Hata hivyo, umasikini ni kitu kibaya sana, kinafedhehesha, kinakulazimisha ukajikombe kwa wenye uwezo, na hata hao unaowaona wanauwezo, kumbe nao wanaye mwenye uwezo kuwapita hata wakiunganika

USA ni uwezo, bila Uwezo angelikuwa keshapigwa na Putin kitambo kwa kitendo chake cha kuwasaidia Ukraine huku walikuwa wamepewa onyo kabla

Mbali na kuwa na washirika wengi sasa wanaomuunga mkono Russia, lakini hiyo haimpi imani ya kujitoshereza kwamba anao uwezo sasa wa kukabiliana na USA

USA ni dude kuubwa sana, kiasi kwamba linaweza kusimama lenyewe likayumbisha mataifa yote duniani
Uzuri urusi ana utu,,,,,,angeamua kufanya kama Israel ilichofanya kule gaza hio nchi angekua kaimaliza mapema na ndo maana wanatakiwa wawepo superpower kama hawa kidogo wana utu, sio wale wazee wa taifa teule .....hizi vita 2 zimeonyesha nani anamtumikia Mungu na nani anamtumikia shetani
 
Back
Top Bottom