Mbali na kuwa Rais, Magufuli alikuwa nani katika nchi hii? Tumechoka sasa

Mbali na kuwa Rais, Magufuli alikuwa nani katika nchi hii? Tumechoka sasa

Kipindi cha nyuma nilikua nampenda na namkubali JPM kwa utendaji wake kazi lakini kwa sasa naona kama vile nikisikia hata jina lake napata kichefuchefu sasa maana imekua too much

katika hali isiyo ya kawaida mimi nashangaa na ninasikitika sana, nimejiuliza sana Hayati JPM alikua na kipawa cha namna gani hiki? sasaivi baadhi mambo hayaendi kwasababu yake, hata marais wengine wastaafu sasahivi hawaheshimiki kabisa kisa JPM

Rais wa sasa anapata wakati mgumu sana kueleweka kwa watanzania, kila anachokifanya watu wanabeza wanataka afanye kama alivyokua anafanya JPM,

Nashangaa sana Rais akitengua uteuzi wowote aliokuwa ameteua JPM watu wanaongea sana, wanafadhaika sana hawataki yani Rais Samia atoe mtu yyte aliyeachwa na JPM,

Jana baada ya utenguzi wa mawaziri wa JPM watu wanalalamika sana, koment nyingi za wananchi wa kawaida mitandaoni wanamlilia JPM, yaani watu wanaona yoyote yule aliyeachwa na JPM hastahili kutenguliwa,

Imefika hatua hadi watu wanamchukia Samia kisa tu ameenda tofauti na baadhi ya mambo ya JPM

Huu sio ustaarabu kwanza mimi ningekua ni Rais Samia, natengua baraza lote navunja hata na bunge tunaanza upya uchaguzi na mambo yangu ninayoyajua mimi , maana nimeona kuwa mstaarabu kwa watu ambao hawajastaarabika ni kama kupaka rangi upepo,

nakushauri Rais bora ufanye mambo yako kivyako kwa mujibu wa katiba asiyekubaliana na wewe afanye mapinduzi akupindue na dunia nzima ijue,
JPM tulimpenda kama Rais wetu lakini sasa tumechoka na huu upuuzi kila kitu JPM kila Kitu JPM Laiti kama mimi ndio ningekua ni Rais wa sasa kwa moyo wangu jinsi ulivyo ningevunja baraza la mawaziri nikaanza upya kabisa na mambo yangu mapya,

Sasa hivi Tuko na Rais mwingine hatuwezi kuongozwa na aliyeishazikwa, Tuwe wastaarabu watu wapuuzi dizaini ya polepole na askofu kibwetere hawafai hata kukanyaga kwenye ardhi ya bunge la nchii hii ndio wanapandikiza chuki dhidi ya serikali ya sasa,

Yaani bado tu hujatambua kuwa nchi hii Rais akiwa Muislamu ni shida?! Niambie Rais gani Muislam hakusemwa vibaya? Mzee Mwinyi kawatoa watu wanavaa viraka na mlo mmoja kwa siku akaweka miundombinu ya utafutaji na kufufua uchumi na watu maisha yakaboreka lakini alisemwa vibaya hadi kuchorwa vikatuni. Anasifiwa Nyerere aliyeua uchumi. Mzee wetu wa Msoga licha ya kuikuza sekta binafsi na kutoa ajira huku akipandisha mshahara kila mwaka alisemwa vibaya. JPM alikuwa na mapungufu kibao na mifano ipo mingi lakini anasifiwa hadi leo. Mama anafanya kazi nzuri lakini utendaji wake unakwamishwa na uharibifu mkubwa uliofanywa na Mwendazake na kundi lake.
 
Ulikuwa unampenda na kumkubali utendaji kazi wake akiwa hai lakini unaskia kichefuchefu baada ya kufa? Hii kali ya mwaka!😂
Ni kosa gani amelifanya akiwa ameshafariki? Au wewe ni mnufaika wa hizi teuzi mpya labda?!
Nimecheka sana,labda ana mimba na itakuwa mtoto wa kiume😂😂😂
 
JPM ndio aliharibu kila kitu, Samia anajaribu kurekebisha nae yamemshinda. Kwani hao waliopo si ndio aliwaacha huyo JPM. Hao ma V8, na huyo anaefufua watu, JPM alitiharibia hii nchi.

Samia angepaswa kuvunja balaza lote la mawaziri, kuanza na PM na hao wengine. Aunde balaza lake, hao mikia wa J awapige chini.
Chagadema mkubwa wewe
 
Jendawazimu la chattle lile halikuwa na chochote zaidi ya umalaya na wizi na kuonea watu, ukabila etc. Ukiataka kuamini lilikua la hovyo angalia mkewe anavyonawiri sasa baada ya lenyewe kufa, mama wawatu kawa kijanaaaaaaa
 
Jendawazimu la chattle lile halikuwa na chochote zaidi ya umalaya na wizi na kuonea watu, ukabila etc. Ukiataka kuamini lilikua la hovyo angalia mkewe anavyonawiri sasa baada ya lenyewe kufa, mama wawatu kawa kijanaaaaaaa
Kabisa mkuu
 
2925143_download_3.jpeg
mjlol.png
 

Kipindi cha nyuma nilikua nampenda na namkubali JPM kwa utendaji wake kazi lakini kwa sasa naona kama vile nikisikia hata jina lake napata kichefuchefu sasa maana imekua too much

katika hali isiyo ya kawaida mimi nashangaa na ninasikitika sana, nimejiuliza sana Hayati JPM alikua na kipawa cha namna gani hiki? sasaivi baadhi mambo hayaendi kwasababu yake, hata marais wengine wastaafu sasahivi hawaheshimiki kabisa kisa JPM

Rais wa sasa anapata wakati mgumu sana kueleweka kwa watanzania, kila anachokifanya watu wanabeza wanataka afanye kama alivyokua anafanya JPM

Nashangaa sana Rais akitengua uteuzi wowote aliokuwa ameteua JPM watu wanaongea sana, wanafadhaika sana hawataki yani Rais Samia atoe mtu yyte aliyeachwa na JPM

Jana baada ya utenguzi wa mawaziri wa JPM watu wanalalamika sana, koment nyingi za wananchi wa kawaida mitandaoni wanamlilia JPM, yaani watu wanaona yoyote yule aliyeachwa na JPM hastahili kutenguliwa

Imefika hatua hadi watu wanamchukia Samia kisa tu ameenda tofauti na baadhi ya mambo ya JPM

Huu sio ustaarabu kwanza mimi ningekua ni Rais Samia, natengua baraza lote navunja hata na bunge tunaanza upya uchaguzi na mambo yangu ninayoyajua mimi , maana nimeona kuwa mstaarabu kwa watu ambao hawajastaarabika ni kama kupaka rangi upepo,

nakushauri Rais bora ufanye mambo yako kivyako kwa mujibu wa katiba asiyekubaliana na wewe afanye mapinduzi akupindue na dunia nzima ijue

JPM tulimpenda kama Rais wetu lakini sasa tumechoka na huu upuuzi kila kitu JPM kila Kitu JPM Laiti kama mimi ndio ningekua ni Rais wa sasa kwa moyo wangu jinsi ulivyo ningevunja baraza la mawaziri nikaanza upya kabisa na mambo yangu mapya

Sasa hivi Tuko na Rais mwingine hatuwezi kuongozwa na aliyeishazikwa, Tuwe wastaarabu watu wapuuzi dizaini ya polepole na askofu kibwetere hawafai hata kukanyaga kwenye ardhi ya bunge la nchii hii ndio wanapandikiza chuki dhidi ya serikali ya sasa

View attachment 1935664
View attachment 1935725
Pale Magogoni hakuna Rais pale, kuna mvaa ushungi tu.
 
kwanza mimi ningekua ni Rais Samia, natengua baraza lote navunja hata na bunge tunaanza upya uchaguzi na mambo yangu ninayoyajua mimi
Kumbuka mama Samia nae alikua ktk serikali ya JPM na hao Watendaji alikua anafanya nao kazi hicho unachokitaka kisingewezekana
 
Hahahah, nimependa reaction ya watanzania. Kweli zama hizi ni zama za utandawazi.

Watanzania ni werevu Sana.
Mama kazi anayo.
Kwa Kalemani, ameonyesha biff.

Sasa matokeo ya biff, hua nimatumizi ya nguvu kuzima Resistance. Ajiandae kuitwa Dictator Muda si mrefu.

Make naona anatoa watu wenye akili Sana na wenye uelewa mpana. Kakurwa, Pole pole, Kalemani, .,.eh!!? Kabudi kabaki eh!?
Kalemani amejitoa mwenyewe analeta swaga maelekezo kutoka juu zama hizi.
 
Mlatino Zeshalo
Issue ya demokrasia ni sawa JPM aliharibu, lakini kwenye mambo mengine JPM aliisimamisha nchi, nidhamu ilirudi makazini, sasa hivi doctor anamfumua mtu nyuzi kisa kakosa elf kumi?
 
Ulikuwa unampenda na kumkubali utendaji kazi wake akiwa hai lakini unaskia kichefuchefu baada ya kufa? Hii kali ya mwaka!😂
Ni kosa gani amelifanya akiwa ameshafariki? Au wewe ni mnufaika wa hizi teuzi mpya labda?!
 
Back
Top Bottom