Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Yani ni kweli mkuu kuna mdau huko juu katoa point nzuri sana yani ronaldo na messi ni bola wakastaaf misimu hii ijayo wastaaf kiheshima wanapoelekea ni dhihaka watakuja kustaaf kwa aibu
Kweli na pep alimtaka aende pale cityYah, but! Messi bado ana kiwango bora kumzidi ronaldo, na hata mchezaji yeyote wa sasa. sema tu ile timu imejaa ubinafsi/utoto. Kila mtu hujiona star pale, na wengine kumbania passes n.k. Lau kama angelikua city wangefaidi sana uwepo wake, yeye ndie playmaker, mtoaji assists, penalt anatoa kwa wenzie bila kinyongo, in short jamaa angelikua anawanywesha tu wenzie magoli.
Luckily Messi n Mbappe wamecheza msimu mmoja pamoja pale ufaransaMessi ni playmaker, finisher, assist machine, kiongozi uwanjani.
Qualities ambazo huwezi zipata zote kwa mbappe
Messi alinyimwa kimo which make so special bro utilize his other gift.
Kama ilivyo kwenye basket Steph curry Yuko kama Messi.
Kanyimwa height ya NBA players but he is fvcking scary on the court. Guarded by two or more players.
Mkimwacha tu ni kitu na box.
Na yeye hajali, yeye anajali kutupia hesabu mtafanya wenye na anajua kuwachezesha wenzake.
Hii ni kama Messi.
Mbappe ni mainstream media player Hana chochote special na ataflop soon
Kwani Argentina haikuwa na timu work?, kwa nini haikuchukua worldcup?.Tatizo wengine wameshakaririshwa na baadhi ya wasiojua nini maana ya mpira! Eti old is gold, na ukiwabana wanakuja na kigezo cha world cup, wakati ile ni team work. Wachezaji wakiamua kuvimba na kutojituma uwanjani hata uwe star wa namna gani huchomoi.
Anakuja mtu eti messi hafiki kwa Cr7, mara messi hafiki kwa gaucho 🤣🤣🤣 ukibisha unaambiwa wana world cup,
Kwa performance hakuna anaemfikia messi, playmaker, assist, kuuchezea mpira, tuzo za ballon d'Or n.k n.k n.k
Yani nikiambiwa nichague wachezaji wawili bora kuwahi kutokea nitachagua MESSI NA DIEGO MARADONA
Kama ulielewa nilichomaanisha nilikwambia Lewandowsk si striker wa aina yao ni mtu ambaye yupo juu kuliko hao wote including Mbappe ila hata siku moja Haaland na Jesus hawawezi kuwa juu ya Mbappe iwe ni kwa data uwanjani hata mafanikio tu Mbappe yupo mbali sanaSasa wewe umesema tuongee kwa fact ? Fact zenyewe sizioni na wala hauna reference.
Hivi kabisa unamfanisha Lewandoski na Mbabe kweli kabisa ,manake umesema tuongee kwa fact,ila tukisema tulete fact Lewandoski yupo juu zaidi ya Mbape.
Kuhusu Hallaand na Mbape tupo hapa na baada ya msimu kuisha tutafutae na kumbuka Hallaand anacheza ktk lig li ngumu na yenye ushindani mkubwa na bado atampiga gape Mbape. Jesus kidogo Arsenal haina quality player kama wa Man City na PSG,ila Jesus ukimweka PSG Mbape unamkataa.
Wewe PSG inaongoza 4 bila nusu fainali UEFA ,inaenda ugenini inapigwa 6 moja na Barca. Fainali wamecheza na Bayern ya kawaida sana (haina Ruben wala Ribery,Philip Lahm),game walitawala ila utoto mwingi mpaka wakapigwa.
Asante kwa kuniweka sawa mkuu vipi dogo Haaland amewahi kubeba hii?
Sasa ataflop soon huo ndio uchawi wenyewe kwahiyo unakubali dogo kwa sasa ni Moto maana hata assist unazosemea messi hutengeneza msimu uliopita dogo kaongoza yeyeMessi ni playmaker, finisher, assist machine, kiongozi uwanjani.
Qualities ambazo huwezi zipata zote kwa mbappe
Messi alinyimwa kimo which make so special bro utilize his other gift.
Kama ilivyo kwenye basket Steph curry Yuko kama Messi.
Kanyimwa height ya NBA players but he is fvcking scary on the court. Guarded by two or more players.
Mkimwacha tu ni kitu na box.
Na yeye hajali, yeye anajali kutupia hesabu mtafanya wenye na anajua kuwachezesha wenzake.
Hii ni kama Messi.
Mbappe ni mainstream media player Hana chochote special na ataflop soon
Unaonaje ukanipa ban mkuu ya kufuatilia mpiraHujui mpira na haufuatilii
hutakiwi kuongelea mpira
wewe ni laana kwenye soka
Astaafu sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Khaaaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wee huu mwaka hauishiii
Lazima ni...ku
Siju hizi hureply comment zangu?Khaaaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwann? Mbna sijaona comment yako ambayo napaswa ku reply, labda huni tag.Siju hizi hureply comment zangu?
Ahaaaaa ....... au umenimute.Kwann? Mbna sijaona comment yako ambayo napaswa ku reply, labda huni tag.
Wala hata, nikiona napaswa ku reply, bas nitafanya hivyo, lol.Ahaaaaa ....... au umenimute.
Tusifanyiane hivyo huu ni mpira tu 😀😀Wala hata, nikiona napaswa ku reply, bas nitafanya hivyo, lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Messi anayo medeli kwani ujui hiloUnashindwa kuelewa kuwa mbappe ana medali ya
kombe la dunia ambalo messi hana.
Messi ni bora zaidi ya hawa wote wewe ni ambie nini hasa ambacho hao unao wataja wanamzidi messi?Mkitumia kigezo cha ballon dor kusema mchezaji flani ni bora, kwahyo mnataka kuniambia Messi ni bora kuliko Ronaldinho, Maladona, Ronaldo dilma, Pelle, galincha, Zidane!?
Mkitumia kigezo cha ballon dor kusema mchezaji flani ni bora, kwahyo mnataka kuniambia Messi ni bora kuliko Ronaldinho, Maladona, Ronaldo dilma, Pelle, galincha, Zidane!?
Kwani Argentina haikuwa na timu work?, kwa nini haikuchukua worldcup?.