Mbarawa: Daraja la Tanzanite halilipiwi kwa sababu limejengwa kwa fedha za Serikali

Acheni kujitoa akili. Daraja la Kigamboni limejengwa kwa michango ya wafanayakazi tu (nssf) lazima hela zao zirudi. Tanzanite limejengwa kwa kodi za wananchi kwanini lilipiwe?!
Halafu kuwa na adabu sio wote wakaao Kigamboni ni walalahoi!
Okay
 
Kumbukeni hii habari ni ya February mwaka huu.
 
Kwanini wasitafute mkopo nafuu wailipe NSSF halafu serikali iendelee Kulipia Pasi kuhusisha wananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…