Mbaroni kwa kumkamata, kumshambulia na kusambaza picha za utupu za waliyemfumania

Ndo ile clip iliyowekwa humu jamaa wakitoa kibano kwa njemba iliyofumaniwa na mke wa mtu? halafu huyo njemba kafunguliwa hadi biashara na mke wa huyo mzee wa nzengo.....polisi waachane na kesi za kujitakia kama hizi, huyo njemba alijua kabisa huyo ni mke wa mtu na aliwataja majina, mama Brian na baba Brian kwa hiyo alikuwa amejipanga kwa lolote litakalotokea, kifupi alijilipua......sioni mantiki ya kuwasumbua hao wafumaniaji kwa kutoa kibano heavy.....ingekuwa ni sheria ya wayahudi hapo ni kupigwa mawe hadi kufa. Wanaume tufikirie mara mbili mbili kabla hatujaamua kuingia kwenye himaya ya mwanaume mwenzio, nafikiri hata kwa wanyama kama Simba tunaishuhudia hii......kwa wale ambao hawakuambiwa ukweli inaweza kuwa tofauti, maana mtu anaweza kujitetea kwamba alikuwa hajui.
 
Ndo hiyo ila naitafuta
 
Watu wazima ovyo waache Wanywe mvinyo kwenye kikombe chenye ghadhabu ya jamhuri wengi wa watanzania ni type ya hawa wajinga kunichukulia sheria mkononi
 
Kongowe ipo wilaya ya Temeke, ingawa nyingine ipo wilaya ya Kibaha
 
Mama anajitetea eti walishaachana toka mwezi wa pili namshangaa sana huyo mama kama waliachana na alikua mumewe kwann hakushirikisha ndugu..

Kwa kuwa wamerekodiwa basi watu wanawaonea huruma ila najua kuna kitu huyo mama anaficha haiwezekan familia nzima ikusanyane kwenda kufumania kama wanajua ushaachana na ndugu yao...

Inaonekana huyo dogo marioo ndio chanzo cha yote
 
Mwenye video anitumie PM jamani. Yaani nimeona tu mahojiano ya waliopigwa. Inasikitisha dada wa watu aliumizwa sana.Halafu anaonekana ni mpambanaji huyu dada. Hope sasa ataishi na watoto wake wawili.
Kwa hiyo mmeshaanza kuteteana? Unzinzi wake umeleta shida kwa ndugu wengine wa mumewe. Hapo ndo inabidi wanaume tuwe makini, mwanamke akianza kuchepuka huyo siyo wa kwako tena. Muache aende zake wewe subiria mhura wa wanafunzi kuhitimu masomo nenda kachague kigoli mmoja weka ndani.
 
Na huyo kigoli akichepuka unasubiri tena muhula mwingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…