Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
Hivi kumbe lilifungwa ...nikajua mimi nimeremoviwaHata mie naitafuta. Kufungwa kwa Jukwaa la Kikubwa kumezorotesha sana mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kumbe lilifungwa ...nikajua mimi nimeremoviwaHata mie naitafuta. Kufungwa kwa Jukwaa la Kikubwa kumezorotesha sana mambo
Walifunga ndoa ya kimila, , walishatengana, mwanaume alienda kumnyang'anya mwanamke watoto , wakawa wanaishi kwa dada yake ambaye ni mmoja wa watuhumiwa.Mkuu una uhakika walipeana talaka......au waliachana kimasihara.
Asante mkuu, hao wafumaniaji akina Buchadi ni Wahaya? naomba tu kujua mkuu maana kuna viashiria.Hawakuwafumania hao wote waliokamatwa ni mwanaume na ndugu zake ndio walifanya kitendo hicho, huyo dada namfahamu vizuri waliaashaachana na huyo mwanaume zaidi ya miezi mitatu, na kila mmoja kuwa na maisha yake, kinachowauma ndugu ni huyo dada alitolewa kijijini walitegemea baada ya kuachwa angeyumba, matokeo yake amezidi kupendeza.
Na akapata mwanaume mwingine akawa anaishi nae, hao ndugu baaa ya kupajua alipokuwa anaishi wakapanga mpango huo wa kumvamia kwenye nyumba aliyokuwa anaishi na mume mpya lengo kumzalilisha na kumkomoa tu .
Waliwavua na nguo na kuwapiga wenyewe acha wakenyee ndoo kwanza akili ziwakae sawa
Ndio wahaya.Asante mkuu, hao wafumaniaji akina Buchadi ni Wahaya? naomba tu kujua mkuu maana kuna viashiria.
Mimi nashangaa watu wanaotetea kuwa ni adhabu sahihi kwa kutembea na mke wa mtu. Hivi mimi nikute mwanamme mwingine na mke wangu eti nifanye ujinga wa kupambana naye? Sijui labda katika mazingira adimu sana eg labda mwanaume ni rafiki yangu sana na nimemfumania akiwa nyumbani kwangu. Vinginevyo kama ni mazingira mengine, sijui guest house whatever, nitakachofanya ni kuachana na mke wangu tu basi. Hakuna mwanamme atakayekwenda kumlazimisha mke wa mtu atembee naye kwa nguvu. Kosa ni la mwanamke.Walifunga ndoa ya kimila, , walishatengana, mwanaume alienda kumnyang'anya mwanamke watoto , wakawa wanaishi kwa dada yake ambaye ni mmoja wa watuhumiwa.
Baada ya hapo mwanaume alitaka mwanamke arudi kijijini alikomtoa ndio chanzo Cha ugomvi na kumtumia msg za vitisho Kama ataendelea kuishi maeneo hayo atamfanyia kitu kibaya.
Hii story hainogi bila picha za utupu za hao waliofumaniwa, kwa kifupi siamini story yako.Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu sita kwa tuhuma za kuwashambulia na kuwarekodi video za utupu watu wawili wanaodaiwa kufumaniwa na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii.
Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo, Jumanne Muliro amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Singiba Buchadi (42) ambaye ni fundi umeme na mfanyabiashara Dephina Buchadi (42).
Kamanda Muliro amewataja wengine kuwa ni Doratea Mathayo (39), Wilbard Teobard (55), Albert Buchadi (30), Valenzi Silvester (40).
Amesema kuwa watuhumiwa hao wote ni wakazi wa Kongowe Wilaya ya Mkuranga.
“Vitendo vya kikatili walivyovifanya watuhumiwa hawa ni pamoja na kutoa adhabu wakati wao si mahakimu wala majaji, vitendo hivi havikubaliki kisheria katika nchi inayofuata mfumo wa utawala wa sheria na kwa sababu hizo watafikishwa mahakamani haraka iwezekanavyo,”alisema Muliro.
Nilisikiliza maelezo ya yao. Kusema ukweli yule mama hana kosa lolote. Huyo mwanaume ndiye anaonekana alimwacha akidhani anamkomoa kumbe sivyo. Alipogundua ndipo alipopanga kufanya huu unyama. Na kuonyesha kuwa alikuwa na lengo baya ni jinsi walivyowapiga, kuwatembeza nusu uchi, na kuwapiga picha. Wanatakiwa wapewe adhabu kali kabisa kwani walichofanya unyama.Hawakuwafumania hao wote waliokamatwa ni mwanaume na ndugu zake ndio walifanya kitendo hicho, huyo dada namfahamu vizuri waliaashaachana na huyo mwanaume zaidi ya miezi mitatu, na kila mmoja kuwa na maisha yake, kinachowauma ndugu ni huyo dada alitolewa kijijini walitegemea baada ya kuachwa angeyumba, matokeo yake amezidi kupendeza.
Na akapata mwanaume mwingine akawa anaishi nae, hao ndugu baaa ya kupajua alipokuwa anaishi wakapanga mpango huo wa kumvamia kwenye nyumba aliyokuwa anaishi na mume mpya lengo kumzalilisha na kumkomoa tu .
Waliwavua na nguo na kuwapiga wenyewe acha wakenyee ndoo kwanza akili ziwakae sawa
Limefungwa kutokana na sheria ya mtandaoHivi kumbe lilifungwa ...nikajua mimi nimeremoviwa
Nani asubiri jajiJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu sita kwa tuhuma za kuwashambulia na kuwarekodi video za utupu watu wawili wanaodaiwa kufumaniwa na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii.
Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo, Jumanne Muliro amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Singiba Buchadi (42) ambaye ni fundi umeme na mfanyabiashara Dephina Buchadi (42).
Kamanda Muliro amewataja wengine kuwa ni Doratea Mathayo (39), Wilbard Teobard (55), Albert Buchadi (30), Valenzi Silvester (40).
Amesema kuwa watuhumiwa hao wote ni wakazi wa Kongowe Wilaya ya Mkuranga.
“Vitendo vya kikatili walivyovifanya watuhumiwa hawa ni pamoja na kutoa adhabu wakati wao si mahakimu wala majaji, vitendo hivi havikubaliki kisheria katika nchi inayofuata mfumo wa utawala wa sheria na kwa sababu hizo watafikishwa mahakamani haraka iwezekanavyo,”alisema Muliro.
Yaani kaka yangu anakwenda kufumania, ananialika, na mimi huyo nyagu nyagu patata patata shoto kulia shoto kulia... Hapana kwa kweli. Angekodi tu makomandoo mimi nooooo...Kabisa unamwaacha anaenda zake salama. Wanawake ni wengi kuliko wanaume kwa nini kumgombania huyo mmoja? Hebu ona shida ambayo mwanamke huyo aliyoisababishia hiyo familia. Ndugu watatu wako ndani kisa mwanamke mmoja tu. Angemuacha haya yote yasingaliwakuta.
kwa ufupi walitembezewa kichapo na kuzungushwa mtaa mzima,ila huyu mwanamke walikwisha achana toka mwezi wa nne kwa mujibu wa millardi ayo tv,ila wamezaa watoto2,si real fumanizi.Acha wakanyee ndoo familia nzima
Nenda millard ayo tvHii story hainogi bila picha za utupu za hao waliofumaniwa, kwa kifupi siamini story yako.
"Utalala kwangu na vitu vingine vitafuata"Huyu yeye hakupigwa wala nini...ila..!!!
View attachment 1887252
Nakutumia PM