Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Sijaipata badoHujajpata?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaipata badoHujajpata?
Uzi gani huo mkuuIliwekwa kwenye uzi mmoja hivi majuzi....
Kabisa unamwaacha anaenda zake salama. Wanawake ni wengi kuliko wanaume kwa nini kumgombania huyo mmoja? Hebu ona shida ambayo mwanamke huyo aliyoisababishia hiyo familia. Ndugu watatu wako ndani kisa mwanamke mmoja tu. Angemuacha haya yote yasingaliwakuta.Na huyo kigoli akichepuka unasubiri tena muhula mwingine?
Siyo kwamba inatakiwa kujitathmini kwanini na wa pili anachepuka?Kabisa unamwaacha anaenda zake salama. Wanawake ni wengi kuliko wanaume kwa nini kumgombania huyo mmoja? Hebu ona shida ambayo mwanamke huyo aliyoisababishia hiyo familia. Ndugu watatu wako ndani kisa mwanamke mmoja tu. Angemuacha haya yote yasingaliwakuta.
Nakutumia PMSijaipata bado
Mku7 naomba na mimi unitumieNakutumia PM
Hapana, usihangaike na tamaa za mwanamke. Mwanamke akiamua anaweza kaa maisha yake yote bila kuingiliwa na mwanaume. Hata wanasaikolojia kama Dr Waminian wanasema: Mwanaume hatulii mpaka atulizwe na mwanamke, ila mwanamke hatulizwi mpaka aamue kutulia mwenyewe.Siyo kwamba inatakiwa kujitathmini kwanini na wa pili anachepuka?
Mkuu niwekee na mimi itakuwa ziara ya kujifunzaNakutumia PM
au uskute ni ile ya muddy acha utauwa.Hiyo video nahitafuta sana siipati
Hawakuwafumania hao wote waliokamatwa ni mwanaume na ndugu zake ndio walifanya kitendo hicho, huyo dada namfahamu vizuri waliaashaachana na huyo mwanaume zaidi ya miezi mitatu, na kila mmoja kuwa na maisha yake, kinachowauma ndugu ni huyo dada alitolewa kijijini walitegemea baada ya kuachwa angeyumba, matokeo yake amezidi kupendeza.Hiyo video nahitafuta sana siipati
Utaendelea "kuhitafuta" mpaka mwisho wa mwaka huu. Ukishituka utajikuta hakuna jambo lolote la maana ulilofanya kwa ajili ya maisha yako zaidi ya "kuhitafuta" hiyo videoHiyo video nahitafuta sana siipati
ipo Millard ayo blogHiyo video nahitafuta sana siipati
Millard ayo Tv utaionaNami pia nataka hiyo video tafadhali
Yani wananchi sijui wakoje , mtu anaingia na kufanya fujo kwa kusingizia kuwa kamfumania alafu wapo tu si mwenyekiti wa mtaa au kitongoji yani watu wanaweza kufanya mauaji alafu watu wapo tu... kitendo cha kupiga , kufunga kamba na kuwatembeza watu njiani wakiwa uchi hii sio sheria , ukimfumania mtu vyombo vya sheria vipo kwanini uchukue maamuzi ya kupiga wakati hauna hayo mamlaka, na sisi wananchi tunaangalia tu lakini tujue kuwa tunaruhusiwa kuingilia kati sio kuangalia na kushangilia tu...Hawakuwafumania hao wote waliokamatwa ni mwanaume na ndugu zake ndio walifanya kitendo hicho, huyo dada namfahamu vizuri waliaashaachana na huyo mwanaume zaidi ya miezi mitatu, na kila mmoja kuwa na maisha yake, kinachowauma ndugu ni huyo dada alitolewa kijijini walitegemea baada ya kuachwa angeyumba, matokeo yake amezidi kupendeza.
Na akapata mwanaume mwingine akawa anaishi nae, hao ndugu baaa ya kupajua alipokuwa anaishi wakapanga mpango huo wa kumvamia kwenye nyumba aliyokuwa anaishi na mume mpya lengo kumzalilisha na kumkomoa tu .
Waliwavua na nguo na kuwapiga wenyewe acha wakenyee ndoo kwanza akili ziwakae sawa
Huyu hajaweka video ya hao watu wakipigwa na hawezi kuweke hiyo video.Millard ayo Tv utaiona
hiyo sio sheria ndugu ,utakuja juta buree wewe na familia yako ....kumbe ukimkamata 'mngoni' wako muuwe kabisaa, ukimpa kipigo na kumuacha haya ndiyo yatakayo kukuta!