Mbaroni kwa kumkamata, kumshambulia na kusambaza picha za utupu za waliyemfumania

Mkuu una uhakika walipeana talaka......au waliachana kimasihara.
Walifunga ndoa ya kimila, , walishatengana, mwanaume alienda kumnyang'anya mwanamke watoto , wakawa wanaishi kwa dada yake ambaye ni mmoja wa watuhumiwa.
Baada ya hapo mwanaume alitaka mwanamke arudi kijijini alikomtoa ndio chanzo Cha ugomvi na kumtumia msg za vitisho Kama ataendelea kuishi maeneo hayo atamfanyia kitu kibaya.
 
Asante mkuu, hao wafumaniaji akina Buchadi ni Wahaya? naomba tu kujua mkuu maana kuna viashiria.
 
Mimi nashangaa watu wanaotetea kuwa ni adhabu sahihi kwa kutembea na mke wa mtu. Hivi mimi nikute mwanamme mwingine na mke wangu eti nifanye ujinga wa kupambana naye? Sijui labda katika mazingira adimu sana eg labda mwanaume ni rafiki yangu sana na nimemfumania akiwa nyumbani kwangu. Vinginevyo kama ni mazingira mengine, sijui guest house whatever, nitakachofanya ni kuachana na mke wangu tu basi. Hakuna mwanamme atakayekwenda kumlazimisha mke wa mtu atembee naye kwa nguvu. Kosa ni la mwanamke.
 
Hii story hainogi bila picha za utupu za hao waliofumaniwa, kwa kifupi siamini story yako.
 
Nilisikiliza maelezo ya yao. Kusema ukweli yule mama hana kosa lolote. Huyo mwanaume ndiye anaonekana alimwacha akidhani anamkomoa kumbe sivyo. Alipogundua ndipo alipopanga kufanya huu unyama. Na kuonyesha kuwa alikuwa na lengo baya ni jinsi walivyowapiga, kuwatembeza nusu uchi, na kuwapiga picha. Wanatakiwa wapewe adhabu kali kabisa kwani walichofanya unyama.
 
Nani asubiri jaji
 
Lkn sio poa.
Jamaa wamempiga sana.
Hakukuwa na haja kwa sabb wao wanajua nn wanafanya.
Lkn mwanamke ni mzuri.
 
Wanabody wameacha mada wanalilia video,wakina Abdala kichwa wazi wameshasimama wanangoja waone tukio kwenye video live.
 
Yaani kaka yangu anakwenda kufumania, ananialika, na mimi huyo nyagu nyagu patata patata shoto kulia shoto kulia... Hapana kwa kweli. Angekodi tu makomandoo mimi nooooo...
 
Acha wakanyee ndoo familia nzima
kwa ufupi walitembezewa kichapo na kuzungushwa mtaa mzima,ila huyu mwanamke walikwisha achana toka mwezi wa nne kwa mujibu wa millardi ayo tv,ila wamezaa watoto2,si real fumanizi.
 
Hizi story za kufumania zimenipita nasikia sikia tu sielewi kitu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…