Mbasha: Aliyemuoa Flora nampelekea ujumbe huu


cocochanel, hapo nilipobold umemaanisha nini?
 
Mbasha kaa silent brother, kuongea Mengi unaonesha Udhaifu wako.
Najua inauma tena sana ila kubaliana na hali halisi.
 
mwambieni Akae kimya Asitake nizungumze, Nikimpiga asilalamike In Gwajima's voice
 
Maswal ya hivi huwa yanalenga kuzusha kitu fulan ambacho muulizaji anakuwa ameshakihisi,labda tuambie unahisi anapewa nn[emoji3][emoji3]
[emoji38][emoji38] sijui ndio maana nimeuliza
Hivi huyo Flora ana chura ?
 
Huyu jamaa anavyojibu maswali inaonekana katulia. Tumtakie kila la heri. Maharusi wapya pia tuwatakie kila la heri. Mengine yote tuchukulie yamepita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…