Mbasha: Aliyemuoa Flora nampelekea ujumbe huu

Mbasha: Aliyemuoa Flora nampelekea ujumbe huu

Ema Mmbasha pole sana kwa kuvunjwa moyo Na uliyempenda. Najua inavyouma! Ila kaza moyo kaa kimya huku ukiomba Mungu. Wako watu walilia baada ya kukataliwa lakini kumbe Mungu aliwasave mengi. Wewe ni Handsome wasichana Masingle, divorced, broken heart wako Lukuki. Utajipatia Na utasahau Maumivu yako. Let her free with her new Life. Start afresh utasimama tena. Usiache kuomba na Utumishi wako kwa Mungu uendelee.
 
Sometimes sio kila swali unaloulizwa na media ujibu sio mtihani ule useme utafeli. Sasa angalia kajibu nini hapo? Si ulofa tu huo.
Asingejibu pia ingekuwa story, binadamu hatuna jema..bora kajibuangenyamaza pia tungesem anamlilia florah.
 
Na anatafuta kiki sasa hivi, kupitia huyo huyo aliyemfanya afahamike.

Flora amesaidia kuwapa wanawake michuma matumaini, na kuonyesha wasisubirie waliowazidi bali waangalie walio na umri mdogo. Wapate unono moto moto, wa umri karibu sawa na wazee wajikalie hukooo.

Dogo dogo mchangamke, mdekezwe.
 
Na anatafuta kiki sasa hivi, kupitia huyo huyo aliyemfanya afahamike.

Flora amesaidia kuwapa wanawake michuma matumaini, na kuonyesha wasisubirie waliowazidi bali waangalie walio na umri mdogo. Wapate unono moto moto, wa umri karibu sawa na wazee wajikalie hukooo.

Dogo dogo mchangamke, mdekezwe.
Waoaji hakuna cku hizi,nani anataka kubemendwa?wa age yetu tuwaachie kina nani?tuoe vibibi.haiwezekani
 
ila jamani kuachwa au kucheatiwa ndani ya ndoa hiii ni zaidi ya ngumu kumeza
 
Yeye wakati anamuoa Flora alipelekewa ujumbe na nani?

Aache kutapa tapa avumilie maana kuchapiwa siri ya ndani.
 
Mbasha,.... Tatizo uliamini kuwa bwana yuleee na Flora wako kuwa wameokoka lakini kumbe wokovu wao uko Puani.

Wokovu wa Pua/ 'nose' namaanisha "Wanabana sauti na kuomba Kwa sauti ilihali mioyoni mwao ni makaburi yaliyojaa mifupa na damu za watu waliowauawa ambao hawakuwa na hatia kabisa ya kuuliwa""

Pole sana, kuwa miongoni mwa waliouliwa na bwana yuleee na Flora mzinzi na kahaba"

Dini na wanadini wa karne hizi ni vipanga tu.
 
Duh flora kawaaibisha hadi wanakwaya wenzake aliokuwa akiimba kabla ya kuolewa na mbasha kwaya ya bugando mlokole huyo wa kisasa
 
tena hatuchagui mwanaume pesayako tu twende .
Aiseeeeeeeh, basi tena sitakaa nitoe pesa bora niikose hiyo 'v'

Au bora tufanye exchange of goods by/with goods kama kwenye historia ya form one!
 
Na anatafuta kiki sasa hivi, kupitia huyo huyo aliyemfanya afahamike.

Flora amesaidia kuwapa wanawake michuma matumaini, na kuonyesha wasisubirie waliowazidi bali waangalie walio na umri mdogo. Wapate unono moto moto, wa umri karibu sawa na wazee wajikalie hukooo.

Dogo dogo mchangamke, mdekezwe.
Nipe nafasi hiyo
 
Back
Top Bottom