masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Cmu zote ukiona mkeo yuko karibu na wachungaji jua kashaliwa mda,flora kicheche mda tuko yuko frm 1 ameanza kupenda dushe mda mi nlijua 2 mbasha katolewa kafara.
J5 ntakua mwanza hii habari ntaipata vizuri kwa mjomba wke mmoja hivi cz ni mshkaji wng kitaa
Akisikia Mchungaji lusekelo mzee wa upako lazima aropoke kanisani kwake ili azidi kumpunguzia wateja gwajima maana wachungaji ni full kushindana. Sema masai dada nimesikitika kusikia una boifrendi maana nilikuwa nakuvizia kimya kimya
hahahah jamani kuwa mchepuko ila usinirekodi njia kuu ikaniacha
maana michepuko siku hizi ni kurekodiana tu
kwakweli nakubali kuwa mchepuko, tukiongea tunaongea kiujanja ujanja sana baadh ya maneno huyasemi km mbasha tu ili hata mmoja akimrekodi mwenzie ushahidi ukosekane
okeeyyy inabidi tukutane kwetu pazuri baadae
kabla hatujaanza uchepukaji faham wazi sipo tayari kumuacha mpenzi wangu
Mkuu thebold nasubiria kwa shauku hilo jiwe la3, hakika kwenye hili saga tutafaham mengi.
Ubarikiwe sana.
Sent from my iPhone using JamiiForums app.
Hahahahahah! Ntajitahidi
Na jamaa anajua hasa kununua watu! Ipo siku nikaa fresh ntashusha mambo yake huyu jamaa, anavitu vingi sana evil watu hawavijui
Masai Dada punguza hasira,ungekua hakimu wa hiyo kesi ubgemfunga miaka yotehastahili msamaha hata kidogo due to the following:
1:ANADHARAU SANA HASA PALE ALIPOSEMA sijakupigia tupige story bali nimekupigia kuomba msamaha which means hata kumbaka alimwambia hivyo hivyo vua kufuli BEND OVER!!! .lakini pia ni wazi kwamba hata nyuma ya pazia hana uhusiano mzuri na shemejie
2:ANATUMIA VIJIHELA VIDOGO KAMA FIMBO.hivi huyu angekua kama kina mengi ingekuaje????watoto wa shule si wangekoma.,pili je wale wanaosaidiwa??sasa mtu kutoa elf 15 ndo anaongea kama risala yaani kaitaja kama mara 3...inaelekea ni mchezo wake kuhonga na kula PAPUCHI ZA WATU HOVYO
3:ANAMYANYASA MKE WAKE BI FLORA.ni dhahiri kwamba ana mnyanyasa ni kama kumwambia mkeo uliemuoa kijijini bila mimi hata kuoga usingejua, jambo ambalo ni la kusikitisha
4:HASTAHILI TENA KUWA NYUMA YA KAZI ZA FLORA.hata kama huyu bwana hatasamehewa kuwa nyuma ya kazi za flora ni uzalilishaji wa ibada ya nyimbo,na hakuna atakaeweza kubarikiwa tena na kazi zake LABDA MCHUNGAJI MAXMILLAN ALIEKUTWA AKICHEZEWA NA WADADA UCHI
5:JAMAA NI MBULULA.kwa nini???kwa sababu watu huchepuka ndani au nje ya ndoa kwa makubaliano lakini si kubaka nimemuona katika tasnia ya uchepukaji ndo anaivamia yawezekana alikua muaminifu hana skills za kuchepuka
6;HIYO NI SAUTI YA MBASHA.mwenye wimbo wake aweke link kuna wimbo flani aliimba na mkewe wa kuabudu kiasi kwamba sauti yake inasikika vyema
mwisho;HATA KAMA KATIKA HIYO SAUTI HAKUSEMA NI KWELI ALIBAKA,JE NI JAMBO GANI BAYA ALIFANYA?????tuangalie ndugu kutokunyima haki kwa wote???maana wabakaji wasipo adhibiwa kesho atabakwa mtoto wako na kupewa VVU at the age of 14
mimi nina habari ya muinjilist wangu nikiifikiriaga kanisan Siendagi
kwa kifupi
muinjilist alikua anachepuka huo mchepuko ukamloga hadi mkewe
as i speak mkewe yupo ndani kama zezeta huyo nu muinjilist wangu kanisa nililokulia
bora nioleewe na
Kiranga maana hili ni janga
ni emmis Kiranga ukimuona msalimie
Aibu tu hii. Kama ni kweli atakuwa amejila kwa maneno yake mwenyewe. Kabla ya kutoka public alitakiwa amwone mwanasheria amshauri cha kuongea.
Hawa manabii wa uwongo mda c mrefu wataumbuka huyo nabii ananyege kma fisi maji,zile kesi zke za kutembea na wake z wa2 naona kahonga mahakama.bt ile ya mchaga imemshinda na nyumba imeenda
Hii ishu toka mwanzo niliwaambia ni changa la macho tu hapa hakuna kesi ya ubakaji labda uzinifu...Tena wakichunguza zaidi unaweza kuta hicho kitoto kina miaka ata zaidi ya ishirini..