Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

Status
Not open for further replies.
Cmu zote ukiona mkeo yuko karibu na wachungaji jua kashaliwa mda,flora kicheche mda tuko yuko frm 1 ameanza kupenda dushe mda mi nlijua 2 mbasha katolewa kafara.

J5 ntakua mwanza hii habari ntaipata vizuri kwa mjomba wke mmoja hivi cz ni mshkaji wng kitaa

mimi nina habari ya muinjilist wangu nikiifikiriaga kanisan Siendagi

kwa kifupi
muinjilist alikua anachepuka huo mchepuko ukamloga hadi mkewe
as i speak mkewe yupo ndani kama zezeta huyo nu muinjilist wangu kanisa nililokulia

bora nioleewe na
Kiranga maana hili ni janga

ni emmis Kiranga ukimuona msalimie
 
Last edited by a moderator:
Akisikia Mchungaji lusekelo mzee wa upako lazima aropoke kanisani kwake ili azidi kumpunguzia wateja gwajima maana wachungaji ni full kushindana. Sema masai dada nimesikitika kusikia una boifrendi maana nilikuwa nakuvizia kimya kimya

hahahah jamani kuwa mchepuko ila usinirekodi njia kuu ikaniacha

maana michepuko siku hizi ni kurekodiana tu
 
Last edited by a moderator:
hahahah jamani kuwa mchepuko ila usinirekodi njia kuu ikaniacha

maana michepuko siku hizi ni kurekodiana tu

kwakweli nakubali kuwa mchepuko, tukiongea tunaongea kiujanja ujanja sana baadh ya maneno huyasemi km mbasha tu ili hata mmoja akimrekodi mwenzie ushahidi ukosekane
 
kwakweli nakubali kuwa mchepuko, tukiongea tunaongea kiujanja ujanja sana baadh ya maneno huyasemi km mbasha tu ili hata mmoja akimrekodi mwenzie ushahidi ukosekane

kabla hatujaanza uchepukaji faham wazi sipo tayari kumuacha mpenzi wangu
 
Hahahahahah! Ntajitahidi

Mkuu thebold nasubiria kwa shauku hilo jiwe la3, hakika kwenye hili saga tutafaham mengi.

Ubarikiwe sana.


Sent from my iPhone using JamiiForums app.
 
Last edited by a moderator:
Huyo mbasha inaonekana alikuwa na anachepuka na shemeji yake toka kitambo ila binti akalipwa kumchafua mbasha
 
Na jamaa anajua hasa kununua watu! Ipo siku nikaa fresh ntashusha mambo yake huyu jamaa, anavitu vingi sana evil watu hawavijui

Hawa manabii wa uwongo mda c mrefu wataumbuka huyo nabii ananyege kma fisi maji,zile kesi zke za kutembea na wake z wa2 naona kahonga mahakama.bt ile ya mchaga imemshinda na nyumba imeenda
 
hastahili msamaha hata kidogo due to the following:
1:ANADHARAU SANA HASA PALE ALIPOSEMA sijakupigia tupige story bali nimekupigia kuomba msamaha which means hata kumbaka alimwambia hivyo hivyo vua kufuli BEND OVER!!! .lakini pia ni wazi kwamba hata nyuma ya pazia hana uhusiano mzuri na shemejie
2:ANATUMIA VIJIHELA VIDOGO KAMA FIMBO.hivi huyu angekua kama kina mengi ingekuaje????watoto wa shule si wangekoma.,pili je wale wanaosaidiwa??sasa mtu kutoa elf 15 ndo anaongea kama risala yaani kaitaja kama mara 3...inaelekea ni mchezo wake kuhonga na kula PAPUCHI ZA WATU HOVYO
3:ANAMYANYASA MKE WAKE BI FLORA.ni dhahiri kwamba ana mnyanyasa ni kama kumwambia mkeo uliemuoa kijijini bila mimi hata kuoga usingejua, jambo ambalo ni la kusikitisha
4:HASTAHILI TENA KUWA NYUMA YA KAZI ZA FLORA.hata kama huyu bwana hatasamehewa kuwa nyuma ya kazi za flora ni uzalilishaji wa ibada ya nyimbo,na hakuna atakaeweza kubarikiwa tena na kazi zake LABDA MCHUNGAJI MAXMILLAN ALIEKUTWA AKICHEZEWA NA WADADA UCHI
5:JAMAA NI MBULULA.kwa nini???kwa sababu watu huchepuka ndani au nje ya ndoa kwa makubaliano lakini si kubaka nimemuona katika tasnia ya uchepukaji ndo anaivamia yawezekana alikua muaminifu hana skills za kuchepuka
6;HIYO NI SAUTI YA MBASHA.mwenye wimbo wake aweke link kuna wimbo flani aliimba na mkewe wa kuabudu kiasi kwamba sauti yake inasikika vyema

mwisho;HATA KAMA KATIKA HIYO SAUTI HAKUSEMA NI KWELI ALIBAKA,JE NI JAMBO GANI BAYA ALIFANYA?????tuangalie ndugu kutokunyima haki kwa wote???maana wabakaji wasipo adhibiwa kesho atabakwa mtoto wako na kupewa VVU at the age of 14
Masai Dada punguza hasira,ungekua hakimu wa hiyo kesi ubgemfunga miaka yote


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Aibu tu hii. Kama ni kweli atakuwa amejila kwa maneno yake mwenyewe. Kabla ya kutoka public alitakiwa amwone mwanasheria amshauri cha kuongea.
 
mimi nina habari ya muinjilist wangu nikiifikiriaga kanisan Siendagi

kwa kifupi
muinjilist alikua anachepuka huo mchepuko ukamloga hadi mkewe
as i speak mkewe yupo ndani kama zezeta huyo nu muinjilist wangu kanisa nililokulia

bora nioleewe na
Kiranga maana hili ni janga

ni emmis Kiranga ukimuona msalimie

Hiyo kweli hawa manabii wanapenda papuchi balaa ila jamaa ajitokeze then apate dhamana awaumbue 2 flora na gwajima wke
 
Last edited by a moderator:
Aibu tu hii. Kama ni kweli atakuwa amejila kwa maneno yake mwenyewe. Kabla ya kutoka public alitakiwa amwone mwanasheria amshauri cha kuongea.

Bro mbasha bdo hajapata wajanja wampe mbinu mbona hiyo kesi ina dhamana tu,ajitokeze akipata dhamana amuumbue huyo gwajima hadharani,huyo bibie mama huruma kitambo tu
 
[QUO TE=tedo;9689220]Ni hatari....Duuh jamaa soon atachezea mvua( 60/2 )....[/QUOTE]

Mkuu point of correction ni 90/3



In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
Hii ishu toka mwanzo niliwaambia ni changa la macho tu hapa hakuna kesi ya ubakaji labda uzinifu...Tena wakichunguza zaidi unaweza kuta hicho kitoto kina miaka ata zaidi ya ishirini..
 
Hawa manabii wa uwongo mda c mrefu wataumbuka huyo nabii ananyege kma fisi maji,zile kesi zke za kutembea na wake z wa2 naona kahonga mahakama.bt ile ya mchaga imemshinda na nyumba imeenda

Yani awa walikuwa wanakazana hotelini,wakishamaliza kupigana miti wanaingia church...Gwajima anashika mic kuhubiri akimaliza anamwachia frola mic apige pambio...manina ndio maana uko makanisa ya ovyo badala ya kuenda kupata baraka,mnaishia kujazwa mikosi tu.
 
Hii ishu toka mwanzo niliwaambia ni changa la macho tu hapa hakuna kesi ya ubakaji labda uzinifu...Tena wakichunguza zaidi unaweza kuta hicho kitoto kina miaka ata zaidi ya ishirini..

Matumbo huyo binti nimemuona kitambo atakua kati 18 au 20 ila flora na wadogo zake micharuko kitambo 2,mimi nlijua n mchezo hpo ila mbasha nae ajipange vizuri toka lini m2 kabakwa anapelekwa kwa mchungaji
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom