Ona kazi yake sasaJuzi tumeongezea Mbili kwa miradi ambayo hata Haina umuhimu wa kukopa fedha,
Jamani tunaopofanya maamuzi ya kukopa tukope kwa ajili ya miradi itayotuondoa katika utegemezi na sio Kwa lengo la kukopa tu ili kujenga mahusiano mazuri na hizo taasisi za kifedha, tutabakia maskini kwa muda mrefu sana.
Suala la msingi kwenye hoja ya Mbatia na watanzania kwa ujumla, siyo ukubwa au udogo wa deni, kama utakua makini na kuwa neutral kuwaelewa, hata lingefika Tr 100. Hoja kubwa hapa tulidanganywa kwamba tunatumia pesa zetu za ndani (HATUKOPI KWA MABEBERU). Kwanini tulidanganywa??Deni la Trilioni 71 ni kidogo sana kwa nchi kama Tanzania cha muhimu pesa hizo zimetumikaje. Marekani mtu mmoja anamiliki hadi Trilioni 400.
Umaskini wetu unasababisha kuona deni la Trilioni 71 kuwa kubwa sana wakati siyo. Tanzania tuna rasilimali rukuki tukiacha ubabaishaji, wizi na ujanja ujanja tutapiga hatua kubwa.
Wachaga wanawatesa sanaHivi vichama vinavyoongozwa na wachagga tabu tupu.
Vyama vimekuwa vitega uchumi binafsi, wanajumbatia vyama ili wapate title za kuvimbia mjini
- TLP ( Mrema )
- CDM ( Mbowe )
- NCCR ( Mbatia )
Hakuna chama kingine tangu tupate uhuru Kimeongoza zaidi ya ccmMbatia unasemaaaa
Serikali iombe radhi tuu
Unatania au ni dharau kwa walipa kodi?
Wewe ni mshirika wao
Kuna watu wanahitaji kuwajibishwa
Leo wanasema bashite asihojiwe how why
Takukuru sijui pccb msiwafanye watu wajinga
bashite sabaya mnyeti kingwa nani sijui biswalo dotto bushi nani sijui mpango mji sijui nani hawa wote hawapashwi kuwa mtaani period! Wana la kujibu
Dona Kantre inadaiwa ?
Mwenyekiti wa NCCR, Mageuzi Mh. Mbatia amehoji inakuwaje leo tunaambiwa deni la taifa limefika tsh 71 trilioni? Kwa miradi gani mbona hatuioni?
Mbatia amedai mbona serikali ilikuwa inatuambia haikopi ila inatumia fedha zetu za ndani?
Mbatia ameitaka serikali iombe radhi wananchi kwa kutubebesha mzigo wa deni bila kutujulisha mapema.
Source: Clouds tv!
Hakujua deni la taifa lilikuwa kiasi ganiAlikua wapi kuhoji muda wote huo
Watazilipa kwa vipi?Tuombwe radhi alafu tulipe ? Unaonaje kama waliosababisha haya kama wengine bado wapo ndio walipe percent kubwa ?
Hivi Mbatiya bado ni Mbunge?
Mwenyekiti wa NCCR, Mageuzi Mh. Mbatia amehoji inakuwaje leo tunaambiwa deni la taifa limefika tsh 71 trilioni? Kwa miradi gani mbona hatuioni?
Mbatia amedai mbona serikali ilikuwa inatuambia haikopi ila inatumia fedha zetu za ndani?
Mbatia ameitaka serikali iombe radhi wananchi kwa kutubebesha mzigo wa deni bila kutujulisha mapema.
Source: Clouds tv!
Hata China?Serikali ya awamu ya 5, kwa zaidi ya 70%, iliendesha mambo yake kwa hila, hadaa na uwongo.
Serikali zote Duniani zinazominya uhuru wa habari huwa zinaendeshwa kwa kuwahadaa wananchi.
Alikuwa mbunge wakati wa KikweteHivi Mbatiya bado ni Mbunge?
MloHadi Mbatia kafufuka..ama kweli
AiseeHakujua deni la taifa lilikuwa kiasi gani
Hapo ni ccm anayoongoza nchi
Mwenyekiti wa NCCR, Mageuzi Mh. Mbatia amehoji inakuwaje leo tunaambiwa deni la taifa limefika tsh 71 trilioni? Kwa miradi gani mbona hatuioni?
Mbatia amedai mbona serikali ilikuwa inatuambia haikopi ila inatumia fedha zetu za ndani?
Mbatia ameitaka serikali iombe radhi wananchi kwa kutubebesha mzigo wa deni bila kutujulisha mapema.
Source: Clouds tv!
Mnafiki Sana mbatiaAlikua wapi kuhoji muda wote huo