Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,175
- 2,294
Uliwahi kujiuliza ni kwanini kila anaehama chama pinzani kwa sasa hivi anajiunga na NCCR- Mageuzi? Hiyo sio bahati mbaya bali ni mbinu mathubuti ya CCM kununua viongozi wa upinzani na na kuwasukumia NCCR- Mageuzi (upinzani).
Malengo makuu ya mbinu hizi ni:
Ikumbukwe kuwa baada ya ACT- Wazalendo kuimarika kwa kusomba wanachama wengi, imekuwa mwiba kwa CCM kama ilivyo CHADEMA. Hivyo CCM imelazimika kuviangukia baadhi ya vyama vya upinzani ili visiungane. Mpaka leo vyama vilivyokubali ombi hilo na kuunda umoja na CCM ni:
Huu ni wakati muafaka kwa Mbatia kujiuliza, italipa kweli njia anayoichukua kwa long term? Yupo tayari kukiua chama baada ya uchaguzi?
Malengo makuu ya mbinu hizi ni:
- Kuhakikisha NCCR- Mageuzi haiungani na vyama pinzani katika uchaguzi 2020
- Kuhakikisha NCCR- Mageuzi inasaidiwa kila hali kuweka wagombea yale maeneo ambayo CCM ni hoi kwa wapinzani
- Kuuvunja nguvu upinzani kwa kuvuruga mipango yao ya awali ya kuunganisha wapinzani wote kuitoa CCM
- Kuwapata viongozi wa upinzani wakihamia NCCR na kueleza kwa wananchi mabaya ya upinzani hasa ACT.
Ikumbukwe kuwa baada ya ACT- Wazalendo kuimarika kwa kusomba wanachama wengi, imekuwa mwiba kwa CCM kama ilivyo CHADEMA. Hivyo CCM imelazimika kuviangukia baadhi ya vyama vya upinzani ili visiungane. Mpaka leo vyama vilivyokubali ombi hilo na kuunda umoja na CCM ni:
- NCCR- Mageuzi
- Chama cha Mrema (Katangaza hadharani kutoweka mgombea Urais na kumuunga mkono Magufuli)
- CUF
- Chama cha CHEYO
Huu ni wakati muafaka kwa Mbatia kujiuliza, italipa kweli njia anayoichukua kwa long term? Yupo tayari kukiua chama baada ya uchaguzi?