Mbatia ni silaha ya mwisho ya CCM katika Uchaguzi wa Oktoba 2020


Vipaumbele vyao ni kupambana na upinzani kuliko kupambana na shida zetu sababu wao wanasaza Kodi zetu, wengine tu au kusafiri tu ni shida.Utafikiri tuliwachagua wakapambane na upinzani.
Kupambana na ufisadi, upigaji,ajira,njaa, kilimo,wameshindwa wamewekeza kupambana na upinzani utadhani na propaganda tu
 
Kipindi kile cha JK chadema walikuwa wanajimwambafy huku wakiidhihaki serikali eti ni dhaifu na kwamba Mkulu alikuwa na chekacheka

Wakiitwa kwenye lile jumba jeupe wanaenda wakitoka full kupotosha..Utawasikia tuna haki ya hiki au kile Mara oh sisi ndo tunafanya siasa kuliko vyama vyote lakini huwasikii wakisema wajibu wao kwa Taifa zaidi ya kusema ..hawa lazima tuwang'oe Mara safari hii patachimbika.......

Leo serikali iko imara inachapa kazi wanalialia tena halafu kila anayehama kutoka kwao eti amenunuliwa ila akihamia kwao kama yule mwenyekiti wa kanda fulani et ni shujaa

Sikilizeni fanyeni tathimini na mbadilike
 

Kwa Mbatia ccm wamekula hasara ya kujitakia.
 
Nadhani Mbatia anataka kustaafu siasa na kiinua mgongo cha uhakika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara.
 
Kwanini unasema hivyo, sijakupata hapo!!!!!

Mbatia hana ushawishi wowote kwa umma, ccm wanadhani au wanatamani Mbatia awe na ushawishi ili wamtumie kupunguza makali ya cdm. Lakini kiukweli Mbatia hana uwezo wowote wa kuwaokoa ccm zaidi ya kuwalia hela zao.
 
Shida ya wanasiasa wa bongo njaa nyingi hawajali hata long term effects zitakazotokana na maamuzi yao Leo they are after money only.
CHADEMA NA ACT kuna wanasiasa kadhaa ambao ni Wanaelewa maana ya upinzani katika maendeleo. Wanaelewa kuwa hakuna Nchi inaweza kuendelea kwa mfumo wa mawazo na hoja za chama kimoja. Dunia nzima hakuna, labda zitumike nguvu kama za China na Urusi. Hawa wanaoamini katika itikadi ya ushindani ndio ambao hawana Bei yoyoye kutoma chama tawala, au chama Nunuliwa kama NCCR, TLP, UDP, na CUF. CHADEMA ina kundi la wanamageuzi ambao ushindani katika siasa na demokrasia siyo tu itikadi bali ni imani. Hawawezi kuuza imani hii, maana pesa haziwezi kuzika Fikra za Mtu. Atateseka sana. Mandela alikuwa na imani. Walijaribu kumnunua, kumwua, wakamfunga; lakini imani yake ilibaki palepale. CHADEMA na ACT inao watu hao. Hata wakikosa Ubunge, watabaki wakipambana kama wanaharakati ili kuleta maendeleo na demokrasia yenye ushindani. Si lazima ndani ya miaka hii mitano. Bali Daima Milele. Tanzania Upinzani Halali Hautakufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikia mbatia kahaidiwa kupewa majimbo 20 Na ccm.Haahaa duh.Chadema Na ACT komaeni nyie ndo tunawatambua kama wapinzani wakweli
 

..pia miaka inavyozidi kwenda ccm wanaishiwa vijana wenye akili na mvuto.

..vijana walioko ccm sasa hivi hawana mvuto, na wanaamini ktk kutumia mabavu kuliko ushawishi.

..unyama na uhayawani wanaowafanyia wapinzani muda si mrefu wataanza kufanyiana wenyewe kwa wenyewe ndani ya ccm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…