Mbeya: Balozi Mpya wa Marekani Nchini Tanzania amtembelea Joseph Mbilinyi

Wazilankende mna mambo sanaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114]
 
Mkuu unateseka ukiwa wapi?
 
Ikulu ya Pentagon? Wewe chawa wa Mbowe kuna mambo mengine unaweza kuingia tu google ukafahamu.
 
Mazingira mazuri ya demokrasia na amani chini ya Mama Samia yamesaidia Sugu kupata huo ugeni. Ni jambo la kawaida sana mtu kutembelewa na ugeni kama huo. HAKUNA KITU CHA KUSHANGAA HAPO
 
Kwa ninavyowajua Chadema, Sugu anaweza kutumika kuhujumu mambo flani flani nchini na akajisifu kwa kutumiwa na waamerika ...

Mmarekani hawezi kua na agenda ya kumnufaisha mtu wa dunia ya tatu(take it from me)

..wapinzani wa Tz hawana nguvu na ushawishi wa kuweza kutumika kuhujumu nchi yetu.

..mabeberu wakitaka kutuhujumu watawatumia Ccm na serikali yao ambao wamehodhi madaraka na mifumo yote ya kiutawala na kidola hapa nchini.

..mpaka sasa hivi tumehujumiwa ktk mambo wangapi? Je, kuna hata moja ambalo lina mkono wa watu wa upinzani?

..kuna mpinzani ameshiriki kuuza migodi yetu? Kuna mpinzani ameuza mbuga zetu? Kuna mpinzani ameuza bandari? Kila hujuma dhidi ya nchi yetu imewezeshwa na Ccm.
 
Sometime huwa unaandika point ila kwa mafumbo, Umesema hatuna dereva makini ni wajibu wetu kuchagua dereva makini.
Ngoja chawa wa bi mkubwa waje sasa.
 
Unaweza,ukawa sahihi lkn ikiwa,balozi aliomba ruhusa ya kumtembela sugu na wao wakakataa lazima ingeripotiwa,lkn pia wangeulizwa kwnn, kuna muda hata wao wanaruhusu mambo yafanyike ili kuziba mambo mengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…