Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Umeuliza majibuHahaha mbona unaonyesha karatasi na kalamu, au hapo ni baada ya computer kugoma?
Kama ubongo wamechukua unadhani macho watakuachia ?Duu! Watu mnapamba habari.Mkuu mbona kama watu mlikuwa mnaokoteza tu.
We jamaa na Lucas mwashambwa ni kama pipa na mfunikoMjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi, leo ameongoza Kampeni Kabambe ya Kusajili wanachama wapya kwa njia ya kisasa ya Mtandao (Chadema digital)
Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu .
Leo sitaki kuweka porojo wakati ushahidi umejaa tele , Jionee mwenyewe
View attachment 2841757View attachment 2841758View attachment 2841759View attachment 2841760View attachment 2841761View attachment 2841763View attachment 2841764View attachment 2841765View attachment 2841766View attachment 2841767
huyo mvuta bangi hn akiili hafu chadema viongozi wake wote ni form four failure yaani vilaza watupuMjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi, leo ameongoza Kampeni Kabambe ya Kusajili wanachama wapya kwa njia ya kisasa ya Mtandao (Chadema digital)
Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu .
Leo sitaki kuweka porojo wakati ushahidi umejaa tele , Jionee mwenyewe
View attachment 2841757View attachment 2841758View attachment 2841759View attachment 2841760View attachment 2841761View attachment 2841763View attachment 2841764View attachment 2841765View attachment 2841766View attachment 2841767
Wakati wao wanaficha a mafichoni ngoja sisi tuendelee na kazi ya Ukombozi kimya kimyaMjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi, leo ameongoza Kampeni Kabambe ya Kusajili wanachama wapya kwa njia ya kisasa ya Mtandao (Chadema digital)
Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu .
Leo sitaki kuweka porojo wakati ushahidi umejaa tele , Jionee mwenyewe
View attachment 2841757View attachment 2841758View attachment 2841759View attachment 2841760View attachment 2841761View attachment 2841763View attachment 2841764View attachment 2841765View attachment 2841766View attachment 2841767
Sawa hao wasomi wameifanyia nini Tanzania zaidi ya wizi na ufujaji wa mali za umma na Makundi ya Wasiojulikana?huyo mvuta bangi hn akiili hafu chadema viongozi wake wote ni form four failure yaani vilaza watupu
Tulia mshindi wa Bunge la Dunia Dhidi ya Somalia na Senegal?๐คฃ๐คฃ๐คฃWananchi hawana Muda na uandikishaji, kwakifupi Dr. TULIA amesha miliki Mbeya.
Kunifananisha na huyo chawa ni kunidhalilisha , uliwahi kuona uzi wa Mwashambwa ulioambatanishwa na ushahidi wa picha ?We jamaa na Lucas mwashambwa ni kama pipa na mfuniko
viongozi wote wa Chadema ni form failure wote kuanzia yule Dj mpaka yule mwizi wa magariMjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi, leo ameongoza Kampeni Kabambe ya Kusajili wanachama wapya kwa njia ya kisasa ya Mtandao (Chadema digital)
Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu .
Leo sitaki kuweka porojo wakati ushahidi umejaa tele , Jionee mwenyewe
View attachment 2841757View attachment 2841758View attachment 2841759View attachment 2841760View attachment 2841761View attachment 2841763View attachment 2841764View attachment 2841765View attachment 2841766View attachment 2841767
Sasa unalia au unalalamika ?huyo mvuta bangi hn akiili hafu chadema viongozi wake wote ni form four failure yaani vilaza watupu
Unalia nini ?viongozi wote wa Chadema ni form failure wote kuanzia yule Dj mpaka yule mwizi wa magari
Vikorombwezo vyenu..........dabo impakti vandameKunifananisha na huyo chawa ni kunidhalilisha , uliwahi kuona uzi wa Mwashambwa ulioambatanishwa na ushahidi wa picha ?
Mtu wa juzi chawa mnamfananishaje na mimi wa Zamani , nitukaneni matusi mengine jamani siyo hayo
Computer zachemka!!!! Kila kitu nyie ni deal tu!!!Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi, leo ameongoza Kampeni Kabambe ya Kusajili wanachama wapya kwa njia ya kisasa ya Mtandao (Chadema digital)
Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu .
Leo sitaki kuweka porojo wakati ushahidi umejaa tele , Jionee mwenyewe
View attachment 2841757View attachment 2841758View attachment 2841759View attachment 2841760View attachment 2841761View attachment 2841763View attachment 2841764View attachment 2841765View attachment 2841766View attachment 2841767
endelea kunidhalilishaVikorombwezo vyenu..........dabo impakti vandame
Kompyuta zimechemsha blaza tunasubiri zipoeSugu kidigitali mnatumia kalamu na karatasi๐๐๐๐๐
Chadema mmeishiwa kwa kweli