Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😅
Kama ubongo wamechukua unadhani macho watakuachia ?
🙏🙏Kunifananisha na huyo chawa ni kunidhalilisha , uliwahi kuona uzi wa Mwashambwa ulioambatanishwa na ushahidi wa picha ?
Mtu wa juzi chawa mnamfananishaje na mimi wa Zamani , nitukaneni matusi mengine jamani siyo hayo
Karibu sana mkuu , tutakusajili popote ulipoAhsante kwa taarifa...