, Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu .
ππ, Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu.
Kwamba wananchi wanataka kutembea na majeneza ?Wananchi hawana Muda na uandikishaji, kwakifupi Dr. TULIA amesha miliki Mbeya.
viongozi wote wa Chadema ni form failure wote kuanzia yule Dj mpaka yule mwizi wa magariSasa unalia au unalalamika ?
Hata wewee ni miongoni mwa vilazaKwamba wananchi wanataka kutembea na majeneza ?
Wamechanganyikiwa vibaya sana !hakuna KULALA
Baada ya computer kuchemsha zikarejeshwa stooHii siyo kazi haba.
Huu ndio msingi imara ukitumiwa vizuri na chama
Iwe kazi endelevu, itazaa matunda bora.
Lakini sijaona kompyuta hapo, sasa sijui Erythro naye kaingiwa na wadudu gani kichwani siku hizi!
Nadhani anasahau kwamba wengine siye siyo watani wake; lakini anaamua tu kuturundika kwenye kapu moja!
Huyu mpuuzi anachofanya ni kupaka mafuta habari zake, yn hapo tukimwambia aonyeshe hizo computer zilizochemka hana uwezo wa kuzionyesha mana hazipo.Hahaha mbona unaonyesha karatasi na kalamu, au hapo ni baada ya computer kugoma?
Mmeandikisha watu wangapi mpaka computer zichemke.?Kompyuta zimechemsha blaza tunasubiri zipoe
Hii nilishawahi kumuambia, akubali akatae huo ndio ukweliWe jamaa na Lucas mwashambwa ni kama pipa na mfuniko
Hakuna cha computer za mtumba wala nn, ht wangetumia simu haiwezi kuchemka kisa kusajili watu 1000+ huyo mpuuzi ni kawaida yake kuongeza mbwembwe kwenye habari zake mana ndipo chakula chake anapopataComputer zachemka!!!! Kila kitu nyie ni deal tu!!!
Mwenyekiti anajenga magorofa kwa Ruzuku lakini kwenye vifaa vya kazinanunua computer za mitumba!!
Ila wachaga aisee
Bilionea anashindwa kununua computer zenye viwango mpaka zinazidiwa nguvu na data za watu 1000 πBilioneaπ π
Photo Ops
Lazima kinuke mkuu, ww unadhani kuandikisha watu kwa kalamu na karatasi ni kazi ndogo πKimenuka !
Eh bc kazi ipo π mliandikisha watu wangapi mpaka kusababisha computer kufa.?Baada ya computer kuchemsha zikarejeshwa stoo
Itabidi waliogundua computer wapelekwe jela mana chadema wamewaumbua kwa ugunduzi wao wa kifaa kisichoweza kuhifadhi taarifa za watu zaidi ya 1000 bila kuchemkaBaada ya computer kuchemsha zikarejeshwa stoo
Wamejitahidi,nikadhani ni wa std 7 km chama kile ambapo sifa ya muhimu ni kujua kusoma na kuandika kwa lugha ya kiswahili mkuu.huyo mvuta bangi hn akiili hafu chadema viongozi wake wote ni form four failure yaani vilaza watupu
Unagawa kadi bila Katiba na ilaniMjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi, leo ameongoza Kampeni Kabambe ya Kusajili wanachama wapya kwa njia ya kisasa ya Mtandao (Chadema digital)
Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu .
Leo sitaki kuweka porojo wakati ushahidi umejaa tele , Jionee mwenyewe
View attachment 2841757View attachment 2841758View attachment 2841759View attachment 2841760View attachment 2841761View attachment 2841763View attachment 2841764View attachment 2841765View attachment 2841766View attachment 2841767
Kivipi mkuu..??Kwamba wananchi wanataka kutembea na majeneza ?
Chama hakina pesa..Hakuna cha computer za mtumba wala nn, ht wangetumia simu haiwezi kuchemka kisa kusajili watu 1000+ huyo mpuuzi ni kawaida yake kuongeza mbwembwe kwenye habari zake mana ndipo chakula chake anapopata
Bilionea anashindwa kununua computer zenye viwango mpaka zinazidiwa nguvu na data za watu 1000 π
Lazima kinuke mkuu, ww unadhani kuandikisha watu kwa kalamu na karatasi ni kazi ndogo π
Eh bc kazi ipo π mliandikisha watu wangapi mpaka kusababisha computer kufa.?