Msafirishaji
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 1,693
- 2,641
Tufanye 1-1Bora hata faulo ya kwanza aliyochezewa Said Dilunga ilikuwa 50/50! ila faulo ya okwi iliyozaa goli la pili, mwamuzi ametudanganya wanamichezo na pia wadau wa soka! Okwi alimfuata mwenyewe yule beki! Hakuna faulo ya aina duniani kote! Goli ni halali, ila ile faulo hapana!
Muamala FC kama kawa baada ya kubanwa first half.... Jamani Mikia FC mnaharibu ligi.
Point of correction.Bado mechi 6 tuwe bingwa!
Zungumzia ile penati tuliyobaniwaWaamuzi wa kiume walio wengi kwakweli uwezo wao wa kuchezesha mpira hasa wakati huu tunapoelekea mwisho wa msimu unakatisha kabisa tamaa! Leo kwenye hii mechi, mwamuzi kwa makusudi kabisa ametoa faulo mbili zenye utata na zilizoipa simba ushindi wa bure!
Mnawakatisha tamaa wachezaji na timu kwa ujumla! Haiwezekani Okwi amfuate beki mwenyewe halafu anajiangusha na mwamuzi anatoa faulo yenye utata! Kwa haya maamuzi yenu yenye utata, nina imani mtaishia kuchezesha mechi za simba tu!
Sio 6 mkuu? Embu angalia makabrasha vizuriPoint of correction.
Bado mechi tano simba awe bingwa
Utakufa wewe kwa Roho mbaya!!!Asante refaa
Kunywa maji mkuuMuamala FC kama kawa baada ya kubanwa first half.... Jamani Mikia FC mnaharibu ligi.
Kweli mkuu kumbe vyura kabaki na mechi 4Sio 6 mkuu? Embu angalia makabrasha vizuri
Mda wa red card, penalty na Dakika 10 nyongeza bado.
M-Pesa mtandao unasumbua.
Amka usingizini usome ubao wa matokeo yanavyosomeka...Mtateseka Sana[emoji23][emoji23]Jumapili na Prisons,leo mshakalia na Jumapili mnakalia
Nazan hao nao watakuwa simba wa jangwanWasipopata penalty wataongezewa dk 7,9 mpaka 10
Rudia tenaHakuna timu ligi kuu iliyoongezwa dakika 7 tofauti na Simba?
Namngojea mwana yanga ajiteteeRudia tenaView attachment 1087189
Yani unaeleta hii mifano unaonekana mpira ufuatilii vizr, EPL ndo ligi inayo angaliwa na watu wengi lakini kombe la dunia hakuna refa hata mmoja aliyechaguliwa kwenda kuchezesha.AFCON 2019 Full list of referees:
Mostafa Gharbal (Algeria), Helder Martinez (Angola), Joshua Bondo (Botswana), Pacifique Ndabihawenimana (Botswana), Aliom Aliom (Cameroon), Gehad Geresha, Mahmoud El-Banna, Amine Omar (Egypt), Bacary Gassama (Gambia), Daniel Laria (Ghana), Peter Waweru (Kenya), Mamadou Keita (Mali), Radwan Jaid, Nour ElDin El-Jaafari (Morocco), Jackson Bafaza (Namibia), Jean Jack Ngambo (DR Congo), Louis Hazikimana (Botswana), Megete N’Diaye (Senegal), Bernard Camille (Seychelles), Al-Fadel Mohamed Hussein (Sudan), Victor Miguel (South Africa), Sadek Al-Salmy, Youssef El-Sarairi, Haitham Kairat (Tunisia), Gianni Sikazowi (Zambia).
UPUUZI KWA WATU WAPUUZI
Hahah, kumbe mkuu Wanjiru anakuaga mweupe namna hii kwenye kubishana kwa hoja[emoji3]Hakuna timu ligi kuu iliyoongezwa dakika 7 tofauti na Simba?