ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Achana na Mbeya wewe komaa kwenye mabanda huko Mwanza hata Barabara hakunaEndelea kujisemesha eti mji gani umepangwa vizuri hapa Tanzania, hizi ni kauli za kujifariji miji mingi tu ipo vizuri na imepangwa vizuri kuliko hicho kituko cha mbeya.
Wivu π€ͺπ ,mazizi yamejaa Mwanza na Mbeya ambako watu wamezaana hovyo kama Mapanya.Background naona mazizi ya mbuzi, bado mnasafari, nendeni mkajifunze hata hapo Singida.
We nae unaongea upuuzi,huyo Nyerere na Wakoloni walikuwa waanatumia salary zao kupanga Miji?ni uzembe wala wasijitetee, ni uzembe toka juu na kukosa maono,
Nyerere alipanga miji mingi - ubungo, national housing blocks nji nzima,
angalia wakoloni walipata wapi bajeti ?
ni utahira mnakimbilia kusema bajeti miji inaharibika. maeneo mazuri yamebaki yale aliyoanzisha mkoloni na NYERERE basi. endeleeni kusema bajeti
Nataka kuwasaidia mtoke huko kwenye mliko mtazani mnaishi karne ya nne, nataka msogee kuwa mji wa kisasa utuvutie na sisi kuweka kambi hapo.Achana na Mbeya wewe komaa kwenye mabanda huko Mwanza hata Barabara hakuna
Nikuulize wewe,kwani kigeso gani kilitumika kulipa hadhi ya Jiji Mwanza mwaka 2005?Jiji ni nini naomba utusaidie na kigezo gani kilitumika kuipa mbeya hadhi ya jiji naomba unisaidie hapa kwanza.
Watu ndio uchumi na pia ni kielelezo fursa na huduma bora za kijamii, Kwanini Mwanza na Dar ina watu wengi?Wivu π€ͺπ ,mazizi yamejaa Mwanza na Mbeya ambako watu wamezaana hovyo kama Mapanya.
πππ π Ona huyu nguruwe,miaka 10 Bado mnarusha vipicha vya daraja tuu nothing elseNataka kuwasaidia mtoke huko kwenye mliko mtazani mnaishi karne ya nne, nataka msogee kuwa mji wa kisasa utuvutie na sisi kuweka kambi hapo.
Kama watu ndio uchumi Kwa nini mnaongoza Kwa umaskini? π€ͺπ€ͺWatu ndio uchumi na pia ni kielelezo fursa na huduma bora za kijamii, Kwanini Mwanza na Dar ina watu wengi?
Mwanza imepewa hadhi 1999 na 2000 ikasimikwa rasmi kipindi hicho ulikuwa unajikojolea kitandani.Nikuulize wewe,kwani kigeso gani kilitumika kulipa hadhi ya Jiji Mwanza mwaka 2005?
Dual carriage ndio mnaanza kuiona mwakani na bado unajiona mjanja wa mbeya.πππ π Ona huyu nguruwe,miaka 10 Bado mnarusha vipicha vya daraja tuu nothing else
Mbeya tuna miradi mikubwa ya Barabara ambazo Mwanza hamtakaa muwe nazo
Kwa kipi hasa mlikuwa nacho?Mwanza imepewa hadhi 1999 na 2000 ikasimikwa rasmi kipindi hicho ulikuwa unajikojolea kitandani.
Nyie mnayo? Si mnaitwa jiji nyie? Kila sehemu Kuna nuka shombo pale Mwanza ππDual carriage ndio mnaanza kuiona mwakani na bado unajiona mjanja wa mbeya.
Huwa sipendi kuongea sana na waka sikulaumu tatizo ni udumavu wa akili na mwili kwenye mikoa yenuKama watu ndio uchumi Kwa nini mnaongoza Kwa umaskini? π€ͺπ€ͺ
GDP ndio chakula? Utakula GDP wewe? πππHuwa sipendi kuongea sana na waka sikulaumu tatizo ni udumavu wa akili na mwili kwenye mikoa yenu
View attachment 2658233
Hadhi ya jiji imepewa na jemedari mkapa sio kisiasa tulikuwa tunaongoza kwa kila kitu ukitoa barabara tu, we kaa ukishindana na jiji kubwa na lenye kuvutia kama Mwanza, wewe size yako ni Nzega na NamtumboKwa kipi hasa mlikuwa nacho?
Leta report kuwa mwanza imepelekewa chakula cha bei rahisi nitoke humu JF.GDP ndio chakula? Utakula GDP wewe? πππ
Mwaka Jana mumeletewa chakula Cha njaa Kwa nini hukula GDP? π€ͺπ€ͺ
Kila kitu kipi nyie manyumbu? Limji la hovyo huwezi jua wapi ni Kwa matajiri wapi Kwa maskini,hakuna Barabara,makazi duni,watu maskini na Magonjwa ya Kansa yametamalaki..Hadhi ya jiji imepewa na jemedari mkapa sio kisiasa tulikuwa tunaongoza kwa kila kitu ukitoa barabara tu, we kaa ukishindana na jiji kubwa na lenye kuvutia kama Mwanza, wewe size yako ni Nzega na Namtumbo
GDP ndio chakula? Utakula GDP wewe? πππ
Mwaka Jana mumeletewa chakula Cha njaa Kwa nini hukula GDP? π€ͺπ€ͺ
Toa ujinga hapa,Rudi kwenye jukwaa letu kule zipo za kutosha,hata saizi ingia kwenye tovuti ya Serikali utaona ambavyo mko vulnerable na njaa.Leta report kuwa mwanza imepelekewa chakula cha bei rahisi nitoke humu JF.
Nenda kaishi kama utaiweza, Mwanza watu wanaishi wasio na udumavu wa akili na Mwili.Kila kitu kipi nyie manyumbu? Limji la hovyo huwezi jua wapi ni Kwa matajiri wapi Kwa maskini,hakuna Barabara,makazi duni,watu maskini na Magonjwa ya Kansa yametamalaki..
Mwanza ni Mji wa maskini