Toa ujinga wako hapa. Mbeya jiji gani ambalo lina barabara moja tu kutoka Uyole hadi Mbalizi. FyuuuuuHawana Bajeti Wala hawajashindwa na pia siasa ndio hovyo xinaingilia..
Mji gani imepangwa hapa Tanzania?
Toa ujinga wako hapa. Mbeya jiji gani ambalo lina barabara moja tu kutoka Uyole hadi Mbalizi. Fyuuuuu
Toa ujinga wako hapa. Mbeya jiji gani ambalo lina barabara moja tu kutoka Uyole hadi Mbalizi. Fyuuuuu
Wewe taahira mkubwa usiyejielewa,Mbeya Haina Barabara za Mitaa?Toa ujinga wako hapa. Mbeya jiji gani ambalo lina barabara moja tu kutoka Uyole hadi Mbalizi. Fyuuuuu
Toa upumbavu hapa,mnalala kwenye mabanda ya nguruwe huko milimani harafu unaongea ushenzi wako..Nguruwe mnafuga nyie watu msiokuwa na mifugo. Usicheze na Jiji la pili hapa TZ. we endelea kujifunza uchawi huko Nkasi. Huna sifa ya kuishi kwenye majiji pendwa.
Ndio madhara ya kuishi milimani kama tumbiliUkiona unaota sana ndoto za mchana ujue karibu utakuwa chizi
Duh! ila wewe jamaa sasa wasukuma wameingiaje kwenye uzi wa jiji la Mbeya? na mambo ya ligi kuu yameingia vipi tena kwenye huu uzi wa Mbeya. Halafu tokea lini pale Mwanza pakawa na funza? Tulia basi kwanza unapoandika acha haraka.Wasukuma mmejaa mafunza miguuni ndo maana hata ligi kuu mnaisikia kwenye redio
Bado unakomaaa na picha ya mwaka 2000,nenda kapige tena sasa hivi
Duh! jamaa bado umekomaa tu na Mbeya yako mjomba, lakini wadau wameeleza mambo ya msingi sana ni jukumu la viongozi wa Mbeya kufanyia kazi changamoto zilizosemwa na wadau humu sio kuwatukana.halafu ni Mwanza ipi unailinganisha na Mbeya? kama ni hii ya Tanzania hapana lile jiji la wasukuma ni jiji kweli Kulinganisha Mwanza na Mbeya hapana! Mwanza ile inayojengwa daraja refu nchini km 3.2, daraja la juu la sgr km 1.4, soko kubwa pale City Center, stend 2 za maana sana, CBD yao ipo vizuri sana, idadi ya watu ni wengi kupelekea biashara kuwa kubwa. Serikali sio wendawazim kusema Mwanza ni jiji la pili tuwaheshimu! Mwanza sio ya kulinganisha na Mbeya, Tanga na Dodoma.Toa upumbavu hapa,mnalala kwenye mabanda ya nguruwe huko milimani harafu unaongea ushenzi wako..
Mwanza hakuna Mji ni uswazi Kila sehemu
Mbeya city yenu hiyoo hapooππππ
Wana Mbeya hizi ni nyumba au mabanda ya kuku
Mbeya mtu hawezi kuishi sehemu kama hii. Vibanda kama hivi ni vya mifugo.
Uki
Nenda Mwanza tembelea hii Mitaa, Bwiru press,capripoint,isamilo,kabuhoro,Nyasaka,ibanda, Nyegezi majengo,Kiseke,,Mwananchi, Nyamhongoro,,Shadi,hiyo ni baadhi tu halafu tuje tuongee vizuri kuhusu Mbeya na vumbi lenu,plus nyumba za tembe katika ya kijijini chenu
We jinga kweli ,nyie nyumbu si mlikuwa mnasema Mbeya Ina Barabara Moja tuu ya Highway mjini,hii haiko mjini?Kwani hapo kuna barabara ngapi zaidi ya moja.
Lini mtafika hap,[emoji116]We jinga kweli ,nyie nyumbu si mlikuwa mnasema Mbeya Ina Barabara Moja tuu ya Highway mjini,hii haiko mjini?
Mwanza hakuna funza, funza wapo kigoma, mbeya, katavi, na kageraWasukuma mmejaa mafunza miguuni ndo maana hata ligi kuu mnaisikia kwenye redio
Bad look kama Maghala ya nafaka ππLini mtafika hap,[emoji116]
[emoji1787][emoji1787]hii ukiipeleka mbeya ndo panakuwa masaki Yao View attachment 2659648
Hivi mbeya mjini ni sehemu gani ebu nikumbushe tena?We jinga kweli ,nyie nyumbu si mlikuwa mnasema Mbeya Ina Barabara Moja tuu ya Highway mjini,hii haiko mjini?