Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Hawana Bajeti Wala hawajashindwa na pia siasa ndio hovyo xinaingilia..

Mji gani imepangwa hapa Tanzania?
Toa ujinga wako hapa. Mbeya jiji gani ambalo lina barabara moja tu kutoka Uyole hadi Mbalizi. Fyuuuuu
 
Toa ujinga wako hapa. Mbeya jiji gani ambalo lina barabara moja tu kutoka Uyole hadi Mbalizi. Fyuuuuu
Toa ujinga wako hapa. Mbeya jiji gani ambalo lina barabara moja tu kutoka Uyole hadi Mbalizi. Fyuuuuu
Toa ujinga wako hapa. Mbeya jiji gani ambalo lina barabara moja tu kutoka Uyole hadi Mbalizi. Fyuuuuu
Wewe taahira mkubwa usiyejielewa,Mbeya Haina Barabara za Mitaa?

Pili ulitaka Mbeya iwe na Barabara ngapi ikiwa ni Linier Sattlement Pattern kulingana na Jiografia?

Mwisho Barabara ya Chunya,Tukuyu ziko matakoni kwako sio Mbeya au?
 
Nguruwe mnafuga nyie watu msiokuwa na mifugo. Usicheze na Jiji la pili hapa TZ. we endelea kujifunza uchawi huko Nkasi. Huna sifa ya kuishi kwenye majiji pendwa.
Toa upumbavu hapa,mnalala kwenye mabanda ya nguruwe huko milimani harafu unaongea ushenzi wako..

Mwanza hakuna Mji ni uswazi Kila sehemu
 
Wasukuma mmejaa mafunza miguuni ndo maana hata ligi kuu mnaisikia kwenye redio
Duh! ila wewe jamaa sasa wasukuma wameingiaje kwenye uzi wa jiji la Mbeya? na mambo ya ligi kuu yameingia vipi tena kwenye huu uzi wa Mbeya. Halafu tokea lini pale Mwanza pakawa na funza? Tulia basi kwanza unapoandika acha haraka.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Toa upumbavu hapa,mnalala kwenye mabanda ya nguruwe huko milimani harafu unaongea ushenzi wako..

Mwanza hakuna Mji ni uswazi Kila sehemu
Duh! jamaa bado umekomaa tu na Mbeya yako mjomba, lakini wadau wameeleza mambo ya msingi sana ni jukumu la viongozi wa Mbeya kufanyia kazi changamoto zilizosemwa na wadau humu sio kuwatukana.halafu ni Mwanza ipi unailinganisha na Mbeya? kama ni hii ya Tanzania hapana lile jiji la wasukuma ni jiji kweli Kulinganisha Mwanza na Mbeya hapana! Mwanza ile inayojengwa daraja refu nchini km 3.2, daraja la juu la sgr km 1.4, soko kubwa pale City Center, stend 2 za maana sana, CBD yao ipo vizuri sana, idadi ya watu ni wengi kupelekea biashara kuwa kubwa. Serikali sio wendawazim kusema Mwanza ni jiji la pili tuwaheshimu! Mwanza sio ya kulinganisha na Mbeya, Tanga na Dodoma.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Screenshot_20230616-140248.png
 
Mbeya mtu hawezi kuishi sehemu kama hii. Vibanda kama hivi ni vya mifugo.
Uki

Mbeya mtu hawezi kuishi sehemu kama hii. Vibanda kama hivi ni vya mifugo.

View attachment 2659142
Nenda Mwanza tembelea hii Mitaa, Bwiru press,capripoint,isamilo,kabuhoro,Nyasaka,ibanda, Nyegezi majengo,Kiseke,,Mwananchi, Nyamhongoro,,Shadi,hiyo ni baadhi tu halafu tuje tuongee vizuri kuhusu Mbeya na vumbi lenu,plus nyumba za tembe katika ya kijijini chenu
 
Back
Top Bottom