Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Kuna yule popoma sugu aliyeishia la saba ni kufanya uhuni tu

Huyu tulia naye nilimwona mtu wa maana naye ameungana na mafisadi ya kiarabu kuuza nchi

Watu wa mbeya waache kuchagua clowns , sugu is a typical clown [emoji1782],
huyu spika ni chawa wa namba moja. Huwezi kuwa na mwakilishi chawa ukategemea maajabu. Mambo ya mbeya ni ya hovyo mno ,
Kuna shida nyingi sana . Kuna barabara inabidi msubiliane yapite malori then zipite gari zenu ndogo ,
Juzi kati nlikuwa tunduma tulikaa mbalizi karibu lisaa tukisubiri malori yamalizike kisha twende sisi,
Ajabu hizi shida na kero zote mwakilishi chawa wala hana habari na hajui, kazi yake ni kuhamasisha na ku support mikataba ya hovyo.
 
Umepiga kwenye mshono[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni ujinfa, frame za nini?
 
Tuanze kwanza we ni kwenu wapi bukoba maeneo gani? Afu why mbeya ilihari kwenu ni masikin huko kagera?
 
Kwahiyo Mkuu umeamua kumbishia tu mleta uzi? Sisi watu wa Mbeya tukubali tu ukweli hata kama unauma. Asilimia 95 ya aliyosema mleta uzi ni sahihi.
 
Tuanze kwanza we ni kwenu wapi bukoba maeneo gani? Afu why mbeya ilihari kwenu ni masikin huko kagera?
Bukoba imetoka wap we mtu....mtu akiiponda Mbeya ni wa Bukoba?

But anyway hata hio bukoba iko more organized kuliko hiyo Mbeya japo nayo miundombinu yake ni duni hasa stendi....naona wameanza ujenzi wa stendi mpya juzi tu hapa


Kuhusu Umaskin kagera inachangia pato dogo kwa taifa kuliko population yake...ndo maana inaonekana maskini...




Lakin Averagely hakuna mkoa wenye vijiji vyenye makazi Bora kama kama kagera labda Kilimanjaro...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…