Yan unavyo argue tu unazipa nguvu hoja za mleta mada, yan wewe ni kioo halisi cha backwardness ya Kijiji cha MbeyaHapo hakuna jipya uliloandika sana sana uko uninformed ,Mbeya Ina Master Plan yake ambayo ilizinduliwa na Waziri na pia Kuna kujenga upya maeneo ambayo halijengwa kama Slums and so any new developments inafanywa Kupitia hiyo..
Mojawapo ya uongo ni kusema eti Mbeya hakujengwi Nyumba za Kisasa ππ
Watu wachokozi dahπBiggest slum in world....
Mbeyslum city [emoji116][emoji116]View attachment 2684297
Hakuna jiji paleMbeya sio jiji,
ni kijiji kilichochangamka.
Mbeya ni kubwa kuliko Zanzibar pia ina watu wengi kuliko Zanzibar, lakini Zanzibar ni nchi, kwa hiyo usishangae, Mbeya ina jengo la ghorofa 5 Zanzibar haina, lakini Zanzibar ni nchi, Mbeya ina uwanja mkubwawa ndege kuliko wa Zanzibar lakini Zanzibar ni nchi, uchumi wa Mbeya ni mkubwa kuliko wa Zanzibar lakini Zanzibar ni nchi labda wametuzidi kwa kuwa na akina Jussa wengi.
Leteni picha mnakoishi na mitaaaAti nini? Leta Port na beach nzuri kama hii hapa [emoji116]View attachment 2661376View attachment 2661377View attachment 2661378View attachment 2661379View attachment 2661380View attachment 2661381View attachment 2661382View attachment 2661383View attachment 2661384View attachment 2661385
Kuna yule popoma sugu aliyeishia la saba ni kufanya uhuni tu
Huyu tulia naye nilimwona mtu wa maana naye ameungana na mafisadi ya kiarabu kuuza nchi
Arusha kuna uzuri wake tu hata dodoma ijengwe hadi iweje...View attachment 2689605Dodoma imepiga Chini kuanzia Arusha Hadi Mwanza
Uzuri wa Mazingira sio sawa na Ukubwa wa Uchumi wa Jiji.Arusha kuna uzuri wake tu hata dodoma ijengwe hadi iweje...View attachment 2689605View attachment 2689606View attachment 2689607
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ili iwaje?Leteni picha mnakoishi na mitaaa
Itakua miaka 50 ijayo sio sasaUzuri wa Mazingira sio sawa na Ukubwa wa Uchumi wa Jiji.
Dom is the next something after Dar.
Miaka ijayo kulinganisha na Jiji gani ukitoa Dar?
Hapo mbeya hakuna jiji kuna jalala la mji.Miaka ijayo kulinganisha na Jiji gani ukitoa Dar?
Ni jiji lisilokuwa na organized CBD.Nakubaliana nawe. Mimi ni mzaliwa wa Mbeya nafanya kazi mkoa mwingine,having said so my entire clan wanaishi Mbeya. Natembelea sana Dar na Arusha, na Mwanza to some extent. Mbeya bado sana kuitwa Jiji. To me hali imezidi kuwa mbaya, the city is growing backwards. Katikati ya mji ingewekwa sheria ya kuencourage majengo marefu tu kupungusha kasi ya mji kupanuka kusikojulikana. Vijumba vya chinichini tu na katikati ya mji ni nyumba chovu balaa. Eneo pekee lenye hadhi ni maeneo ya zunguni around kwa mkuu wa mkoa na hospitali ya rufaa, ukishuka chini ni balaa. Kulikuwa na daladala nyingi, siku hizi zimeshajifia ni boda na bajaj tu. Ukikaa nje ya mkoa for few years ukipita unaona afadhali ya last time. Vumbi ni kukosekana kwa barabara nzuri, mji ulitelekezwa sana for some years hakukuwa na uwekezaji. It's sad kwakweli.
Uchumi kk au sio ww ulisema maneno ya uchumi apo juu?Miaka ijayo kulinganisha na Jiji gani ukitoa Dar?
Kwa hiyo uchumi wa Jiji la Dom ni sawa na Uchumi wa Jiji lipi Kwa Sasa hapa Tzn ukitoa Dar?Uchumi kk au sio ww ulisema maneno ya uchumi apo juu?
Unajua Arusha inaendeshwa na Utalii...spending ni kubwa ,Apo dodoma kuna nn?[emoji2][emoji2][emoji1787]
Hivi unafikiri mji ni blocks mbili tatu za wizara peke yake?
Arusha kuna madini(mbera)...ni mkoa wa kilimo pia na ufugaji...sijui mtatokea wapi
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Mbeya Kuna jalala sawa ila Mwanza Kuna dampo just for your review ππHapo mbeya hakuna jiji kuna jalala la mji.
Naomba kukuuliza, hivi Dodoma unapatikana Mirembe...?!Dom imepiga Chini Mwanza sembuse Arusha?