Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mipangilio ya miji yetu mingi inareflect thinking capacity tuliyonayo wala sio vinginevyo. Na hii ni kwa Africa nzima I think wala sio kwa bahati mbaya.

Ni kweli, inareflect . Nadhani pia tuna watu wasio sahihi kwenye sehemu za kufanya maamuzi. Watu sahihi na wenye mawazo mazuri wapo na hata wakipata nafasi ya kuwa viongozi wanaishia kupigwa vita kama sio kupotezwa kabisa . Mfumo wetu unaruhusu machizi wengi kuwa viongozi. Ndio maana unaona sekta binafsi wanatoboa mambo yao, mipango yao kwa unahisi sababu nafasi kubwa huko zinatolewa based on Merit,
Mtu kama hana uwezo hawezi kuwa mkurugenzi wa Vodacom au CRDB, hawezi toboa.
Ila inawezekana kabisa mtu akawa tu na kadi ya chama ikawa ni kigezo ukaqualify kuteuliwa kuwa mkurugenzi hata wa Air Tanzania au TTCL au Bank ya Posta . Such awkward system.
 
Nimeshangaa ulivyomuita sugu clown mi nikajua watu wa mbeya sugu ndie jembe lenu

alifanya nini Miaka 10 zaidi ya kujiimarisha yeye kiuchumi?
Uongozi sio kujenga hoja pekee, uongozi sio kutoa speech nzuri na za kuvutia, au kumotivate watu pekee au kuongea kwa vina .
Uongozi ni kuchukua hatua, kufanya intitiatives, kufungua fursa…kiongozi hatakiwi kukuelezea amefanya nini , anatakiwa akuoneshe.
 
Ulivyo ongea kwa ukali utadhani kuna mtu kakulazimisha kuishi mbeya

Kila sehemu na utaratibu wao wa maisha hujapapenda sepa

Wengine tulipaona pazuri tu
Kwa hiyo vumbi ndilo linafanya mbeya pawe pazuri?
 
Usipangie watu Maisha,wewe ongea unayotamani yawe vinginevyo pita kushoto..

Mbeya ya Leo is way better than it used to be in 2010 wakati ikitangazwa kuwa Jiji..

Njoo 2025 pia kuandika utopolo wako maana by that time Barabara Kuu njia 4 itakuwa imeisha,Barabara za mitaa km 27 zitakuwa zimeisha na ujenzi wa Stand kubwa za Kisasa utakuwa unaendelea..View attachment 2656232

Njia 6 Kwa Sasa haipo sana sana Kuna mradi wa BRT mbeleni na njia ya Sasa ndio itakuwa reserved Kwa Ajili ya BRT..

Mbeya ipi ambayo watu hawajengi Makazi ya Kisasa? Wewe sema Serikali iongeze Kasi ya kupima Mji..

Kitu pekee nachokuunga mguu ni Chuo Cha Kilimo na JKT hapa Uyole wapishe waende Wilayani hayo maeneo yapimwe na yagawiwe viwanja kama ilivyo Kwa Forest au Iwambi Mpya,hakuna Cha NHC,hao NHC wakajenge Dodoma huko.
Hoja hujibiwa kwa hoja. Mleta mada ameeleza kero pamoja
Usipangie watu Maisha,wewe ongea unayotamani yawe vinginevyo pita kushoto..

Mbeya ya Leo is way better than it used to be in 2010 wakati ikitangazwa kuwa Jiji..

Njoo 2025 pia kuandika utopolo wako maana by that time Barabara Kuu njia 4 itakuwa imeisha,Barabara za mitaa km 27 zitakuwa zimeisha na ujenzi wa Stand kubwa za Kisasa utakuwa unaendelea..View attachment 2656232

Njia 6 Kwa Sasa haipo sana sana Kuna mradi wa BRT mbeleni na njia ya Sasa ndio itakuwa reserved Kwa Ajili ya BRT..

Mbeya ipi ambayo watu hawajengi Makazi ya Kisasa? Wewe sema Serikali iongeze Kasi ya kupima Mji..

Kitu pekee nachokuunga mguu ni Chuo Cha Kilimo na JKT hapa Uyole wapishe waende Wilayani hayo maeneo yapimwe na yagawiwe viwanja kama ilivyo Kwa Forest au Iwambi Mpya,hakuna Cha NHC,hao NHC wakajenge Dodoma huko.
Hoja hunibiwa kwa hoja. Mleta mada ameelezea kero kwa undani na kisha kushauri nini kifanyike.
Ukweli usemwe, ahadi kuijenga mbeya ni nyingi kuliko uhalisia wenyewe. Kama utakumbuka vizuri, uwanja wa Songwe uliahidiwa tangu mwanzoni mwa 2000, kwa. Ba ungekuja kuwa wenye hadhi ya kimataifa. Lakini wewe mwenyewe unajua umekamilika lini na upo katika kiwango gani.
Soko la uhindini lilipoungua miaka ya 2003 serikali ikasema itashusha mall pale kubwa ya hadhi ya jiji. Lakini mpaka sasa wewe unamajibu kamili nini kipo pale.
Kuna soko la mwanjelwa, baada ya kuungua, vilevile wakasema kutajengwa Soko la kisasa litakalohudumia nchi za SADC😂, bilions zimeenda na soko wewe mwenyewe unaliona lilivyo.
Stendi ya mabasi, ilikua inajengwa ya pale Sai tuliamini sasa kulingana na routes nyingi za mabasi, basi stendi hiyo itamaliza changamoto zote na itakua ya kisasa kama ya Nyegezi au Nyamongolo za Mwanza. Wewe unamajibu kamili nini kilichojengwa pale.
Turudi kwenye City Garden. Kama unakumbuka waliahidi ile garden itawakutanisha watu pale kwa ajili ya mapumziko na refreshment nyingine. Lakini nikuulize wewe kama wewe umewahi kwenda pale au kuna eneo specifically Mbeya la mapumziko ya watu kama ilivyo Mwanza? Nadhani majibu unayo.
Turudi kwenye barabara ya njia nne. Wewe kama wewe umeanza kusikia tetesi za kujengwa lini?? Kwa mimi nnchokumbuka ilikua ni kujenga njia ya mchepuko kutoka uyole mpaka Mbalizi lakini si hii ya njia nne. Sasa hivi ile mwezi wa pili au mwanzoni mwa mwezi Marxh tuliona utiwaji wa sign ujenzi wa barabara hiyo. Kwa sasa ni miezi mitatu imepita, je umeona hata maandalizi ya awali ya ujenzi huo???
MAMBO NI MENGI, lakini ukweli ni kwamba huo mkoa utauona ni mzuri kama hujafika Mwanza au Dodoma pamoja na Arusha ingawa Arusha stendi ya mabasi ndio mtihani lakini si haba mji upo clean.
Vijana wanaukimbia huo mkoa nyumba za majengo nyingi hazina watu kabisa
 
Ni kweli, inadeflect . Nadhani pia tuna watu wasio sahihi kwenye sehemu za kufanya maamuzi. Watu sahihi na wenye mawazo mazuri wapo na hata wakipata nafasi ya kuwa viongozi wanaishia kupigwa vita kama sio kupotezwa kabisa . Mfumo wetu unaruhusu machizi wengi kuwa viongozi. Ndio maana unaona sekta binafsi wanatoboa mambo yao, mipango yao kwa unahisi sababu nafasi kubwa huko zinatolewa based on Merit,
Mtu kama hana uwezo hawezi kuwa mkurugenzi wa Vodacom au CRDB, hawezi toboa.
Ila inawezekana kabisa mtu akawa tu na kadi ya chama ikawa ni kigezo ukaqualify kuteuliwa kuwa mkurugenzi hata wa Air au TTCL au Bank ya Posta. Tanzania . Such awkward system.
Me huwa naangaliaga hata criteria zetu za kupata wawakilishi wa kwenda kufanya maamuzi muhimu zaidi (wabunge) Unakuta ni za kipuuzi tu mwisho wa siku tunakuja pata mizog* kibao eti ndio inatuwakilisha kwa kufanya maamuzi muhimu na kuisimamia serikali... Inakera sana na tuna safari ndefu sana.
 
Moja kwa moja kwenye mada;

Wenyewe wanaita green city, hii sio kweli . Jina linatakiwa liwe Dusty City.
Hivi pamoja na Hali ya hewa nzuri kitu gani kinazuia halmashauri ya mji kuwa na mipango ya upandaji wa miti ?

Mji wa Mbeya ni kati ya miji mikubwa (Kwa eneo na idadi ya wakazi) Lakini maisha ya mbeya kwa ujumla in typical kijijini. No order , hakuna ustaarabu, chaotic , vumbi, makelele , watu wanapita na magari ya matangazo ya kila aina Hadi ya misiba. Hawa NEMC badala ya kudeal na kidimbwi na kitambaa cheupe kwanini huku hamuoni?

Mbeya hakuna usafiri wa Taxi , Bajaji ni nyingi kuliko abiria na hazina route yaani kokote anaenda. Daladala routes ni mbili tu Mjini Mbalizi au Mjini Uyole. Ikifika saa tatu usiku basi wewe daka boda uende uendako.

Mbeya hakuna hadhi wala mwonekano wa jiji, tofauti kabisa na Arusha au Mwanza, Mji mzima hakuna hata sehemu ya kufanya matembezi ? Mbeya nyumba za tope zimetapakaa kuanzia uyole, sae, hadi soweto makunguru hadi nzovwe na iyunga.. huko mbalizi ni balaa lingine.

Inashangaza kuona 2023 katikati ya mji serikali inajenga fremu za kupangisha. That’s so annoying.
Why not some modern Structure like a shopping mall?

Hivi mna uhakika hawa viongozi wa halmashauri ya mji wa Mbeya walienda shule kweli? Miaka kadhaa ya nyuma kulikuwa na Fursa ya kujenga Soko la kisasa au shopping mall pale mwanjelwa jamaa wa huko halmashauri ya mji wakaja na lidude la kizamani (structure nzee ya miaka ya 1700s huko) tena kwa mabilioni ya pesa, baada ya pale SIDO kuungua tukajua watakuja na kitu cha tofauti, wapi. Yaleyale.

Picha: Mwonekano wa juu wa mji wa mbeya.


Fremu za Biashara zinazojengwa na Halmashauri ya jiji la mbeya katikati ya mji (CBD)


Jengo la soko la mwanjelwa lililojengwa kwa gharama kubwa (bilioni 60+) pesa za walipakodi

Eneo la kabwe, hapa jioni hugeuka gulio.. hapa unahitaji tu kuwa na bidhaa..nenda kabwe then mwaga chini uza. Vurugumechi.

Miundombinu ni duni sana, duni mno . Barabara ni moja tu ya TAZAM Highway inayopita mjini ambayo ni chakavu sana na ni moja (Sio Dualed). Mbeya si rafiki wa watembea kwa miguu sababu utagongwa muda wowote kama sio na bajaji basi bodaboda. Hakuna jogging Mbeya.

Kwa upande wa huduma za Afya mbeya pako
emoji817.png
. Mengine ni hovyo kabisa..

Ushauri:
1. Mradi mpya wa barabara ya njia nne toka uyole hadi Uwanja wa ndege ufanyike njia sita maeneo ya Mjini kupunguza foleni, na pia kuwe na provisions za watembea kwa miguu, pale mafiati kuwe na interchange kurahisisha traffic na angalau tusifikirie kubomoa na kujenga tena kwa miaka 15 ijayo.

2. Zijengwe nyumba za kisasa za makazi sehemu kama airport ya zamani. Pia kile chuo cha kilimo kitoe yale mashamba kwa NHC na zijengwe affordable houses nk. Mashamba hayatakiwa mijini. Nchi ina mapori mengi sana

3. Upandaji wa miti iwe ni kipaumbele. Walau kupunguza lile vumbi mjini. Watoto wa shule za misingi na sekondari can easily do this bila hata gharama.

5. Think Big. Jiji linaweza kuanza kufikiria kuwa na reli nyepesi ya abiria toka uwanja wa ndege wa Songwe hadi Uyole, na kubranch pale Meta ikaenda hadi mjini na kuja kutokea mwanjelwa. Kwa Jografia ya mji wa mbeya reli hii itarahisisha usafiri kwa zaidi ya 80% ya mahitaji ya usafiri wa mjini.

6. Maeneo ya wazi yawepo. Hii in muhimu sana.
NB: Mimi sio mwandishi wa wa habari.

Upo sahihi kabisa, waa
Moja kwa moja kwenye mada;

Wenyewe wanaita green city, hii sio kweli . Jina linatakiwa liwe Dusty City.
Hivi pamoja na Hali ya hewa nzuri kitu gani kinazuia halmashauri ya mji kuwa na mipango ya upandaji wa miti ?

Mji wa Mbeya ni kati ya miji mikubwa (Kwa eneo na idadi ya wakazi) Lakini maisha ya mbeya kwa ujumla in typical kijijini. No order , hakuna ustaarabu, chaotic , vumbi, makelele , watu wanapita na magari ya matangazo ya kila aina Hadi ya misiba. Hawa NEMC badala ya kudeal na kidimbwi na kitambaa cheupe kwanini huku hamuoni?

Mbeya hakuna usafiri wa Taxi , Bajaji ni nyingi kuliko abiria na hazina route yaani kokote anaenda. Daladala routes ni mbili tu Mjini Mbalizi au Mjini Uyole. Ikifika saa tatu usiku basi wewe daka boda uende uendako.

Mbeya hakuna hadhi wala mwonekano wa jiji, tofauti kabisa na Arusha au Mwanza, Mji mzima hakuna hata sehemu ya kufanya matembezi ? Mbeya nyumba za tope zimetapakaa kuanzia uyole, sae, hadi soweto makunguru hadi nzovwe na iyunga.. huko mbalizi ni balaa lingine.

Inashangaza kuona 2023 katikati ya mji serikali inajenga fremu za kupangisha. That’s so annoying.
Why not some modern Structure like a shopping mall?

Hivi mna uhakika hawa viongozi wa halmashauri ya mji wa Mbeya walienda shule kweli? Miaka kadhaa ya nyuma kulikuwa na Fursa ya kujenga Soko la kisasa au shopping mall pale mwanjelwa jamaa wa huko halmashauri ya mji wakaja na lidude la kizamani (structure nzee ya miaka ya 1700s huko) tena kwa mabilioni ya pesa, baada ya pale SIDO kuungua tukajua watakuja na kitu cha tofauti, wapi. Yaleyale.

Picha: Mwonekano wa juu wa mji wa mbeya.


Fremu za Biashara zinazojengwa na Halmashauri ya jiji la mbeya katikati ya mji (CBD)


Jengo la soko la mwanjelwa lililojengwa kwa gharama kubwa (bilioni 60+) pesa za walipakodi

Eneo la kabwe, hapa jioni hugeuka gulio.. hapa unahitaji tu kuwa na bidhaa..nenda kabwe then mwaga chini uza. Vurugumechi.

Miundombinu ni duni sana, duni mno . Barabara ni moja tu ya TAZAM Highway inayopita mjini ambayo ni chakavu sana na ni moja (Sio Dualed). Mbeya si rafiki wa watembea kwa miguu sababu utagongwa muda wowote kama sio na bajaji basi bodaboda. Hakuna jogging Mbeya.

Kwa upande wa huduma za Afya mbeya pako
emoji817.png
. Mengine ni hovyo kabisa..

Ushauri:
1. Mradi mpya wa barabara ya njia nne toka uyole hadi Uwanja wa ndege ufanyike njia sita maeneo ya Mjini kupunguza foleni, na pia kuwe na provisions za watembea kwa miguu, pale mafiati kuwe na interchange kurahisisha traffic na angalau tusifikirie kubomoa na kujenga tena kwa miaka 15 ijayo.

2. Zijengwe nyumba za kisasa za makazi sehemu kama airport ya zamani. Pia kile chuo cha kilimo kitoe yale mashamba kwa NHC na zijengwe affordable houses nk. Mashamba hayatakiwa mijini. Nchi ina mapori mengi sana

3. Upandaji wa miti iwe ni kipaumbele. Walau kupunguza lile vumbi mjini. Watoto wa shule za misingi na sekondari can easily do this bila hata gharama.

5. Think Big. Jiji linaweza kuanza kufikiria kuwa na reli nyepesi ya abiria toka uwanja wa ndege wa Songwe hadi Uyole, na kubranch pale Meta ikaenda hadi mjini na kuja kutokea mwanjelwa. Kwa Jografia ya mji wa mbeya reli hii itarahisisha usafiri kwa zaidi ya 80% ya mahitaji ya usafiri wa mjini.

6. Maeneo ya wazi yawepo. Hii in muhimu sana.
NB: Mimi sio mwandishi wa wa habari.

Moja kwa moja kwenye mada;

Wenyewe wanaita green city, hii sio kweli . Jina linatakiwa liwe Dusty City.
Hivi pamoja na Hali ya hewa nzuri kitu gani kinazuia halmashauri ya mji kuwa na mipango ya upandaji wa miti ?

Mji wa Mbeya ni kati ya miji mikubwa (Kwa eneo na idadi ya wakazi) Lakini maisha ya mbeya kwa ujumla in typical kijijini. No order , hakuna ustaarabu, chaotic , vumbi, makelele , watu wanapita na magari ya matangazo ya kila aina Hadi ya misiba. Hawa NEMC badala ya kudeal na kidimbwi na kitambaa cheupe kwanini huku hamuoni?

Mbeya hakuna usafiri wa Taxi , Bajaji ni nyingi kuliko abiria na hazina route yaani kokote anaenda. Daladala routes ni mbili tu Mjini Mbalizi au Mjini Uyole. Ikifika saa tatu usiku basi wewe daka boda uende uendako.

Mbeya hakuna hadhi wala mwonekano wa jiji, tofauti kabisa na Arusha au Mwanza, Mji mzima hakuna hata sehemu ya kufanya matembezi ? Mbeya nyumba za tope zimetapakaa kuanzia uyole, sae, hadi soweto makunguru hadi nzovwe na iyunga.. huko mbalizi ni balaa lingine.

Inashangaza kuona 2023 katikati ya mji serikali inajenga fremu za kupangisha. That’s so annoying.
Why not some modern Structure like a shopping mall?

Hivi mna uhakika hawa viongozi wa halmashauri ya mji wa Mbeya walienda shule kweli? Miaka kadhaa ya nyuma kulikuwa na Fursa ya kujenga Soko la kisasa au shopping mall pale mwanjelwa jamaa wa huko halmashauri ya mji wakaja na lidude la kizamani (structure nzee ya miaka ya 1700s huko) tena kwa mabilioni ya pesa, baada ya pale SIDO kuungua tukajua watakuja na kitu cha tofauti, wapi. Yaleyale.

Picha: Mwonekano wa juu wa mji wa mbeya.


Fremu za Biashara zinazojengwa na Halmashauri ya jiji la mbeya katikati ya mji (CBD)


Jengo la soko la mwanjelwa lililojengwa kwa gharama kubwa (bilioni 60+) pesa za walipakodi

Eneo la kabwe, hapa jioni hugeuka gulio.. hapa unahitaji tu kuwa na bidhaa..nenda kabwe then mwaga chini uza. Vurugumechi.

Miundombinu ni duni sana, duni mno . Barabara ni moja tu ya TAZAM Highway inayopita mjini ambayo ni chakavu sana na ni moja (Sio Dualed). Mbeya si rafiki wa watembea kwa miguu sababu utagongwa muda wowote kama sio na bajaji basi bodaboda. Hakuna jogging Mbeya.

Kwa upande wa huduma za Afya mbeya pako
emoji817.png
. Mengine ni hovyo kabisa..

Ushauri:
1. Mradi mpya wa barabara ya njia nne toka uyole hadi Uwanja wa ndege ufanyike njia sita maeneo ya Mjini kupunguza foleni, na pia kuwe na provisions za watembea kwa miguu, pale mafiati kuwe na interchange kurahisisha traffic na angalau tusifikirie kubomoa na kujenga tena kwa miaka 15 ijayo.

2. Zijengwe nyumba za kisasa za makazi sehemu kama airport ya zamani. Pia kile chuo cha kilimo kitoe yale mashamba kwa NHC na zijengwe affordable houses nk. Mashamba hayatakiwa mijini. Nchi ina mapori mengi sana

3. Upandaji wa miti iwe ni kipaumbele. Walau kupunguza lile vumbi mjini. Watoto wa shule za misingi na sekondari can easily do this bila hata gharama.

5. Think Big. Jiji linaweza kuanza kufikiria kuwa na reli nyepesi ya abiria toka uwanja wa ndege wa Songwe hadi Uyole, na kubranch pale Meta ikaenda hadi mjini na kuja kutokea mwanjelwa. Kwa Jografia ya mji wa mbeya reli hii itarahisisha usafiri kwa zaidi ya 80% ya mahitaji ya usafiri wa mjini.

6. Maeneo ya wazi yawepo. Hii in muhimu sana.
NB: Mimi sio mwandishi wa wa habari.

O
Yo
Kati ya haya niliyoyaandika kuna hata moja lisilo la kweli?
Nimekuwa mbeya for years mzee tangu nipo sekondari. Kama hakutakuwa na namna tofauti ya kufikiria na kufanya mambo basi hakuna cha 2025 wala 2050 mzee.
Mji wa mbeya ni mji wa hovyo sana, mn

Kati ya haya niliyoyaandika kuna hata moja lisilo la kweli?
Nimekuwa mbeya for years mzee tangu nipo sekondari. Kama hakutakuwa na namna tofauti ya kufikiria na kufanya mambo basi hakuna cha 2025 wala 2050 mzee.
Mji wa mbeya ni mji wa hovyo sana, mno.
Ni kweli ulichozungumza, mji upo shagalabala,, yaani ni hovyo hovyo,, waanze na miundombinu ya barabara kwanza,
 
Hapo hakuna jipya uliloandika sana sana uko uninformed ,Mbeya Ina Master Plan yake ambayo ilizinduliwa na Waziri na pia Kuna kujenga upya maeneo ambayo halijengwa kama Slums and so any new developments inafanywa Kupitia hiyo..

Mojawapo ya uongo ni kusema eti Mbeya hakujengwi Nyumba za Kisasa 😁😁
Nyumba za kisasa nimeziona, iwambi na isysye.. ila humu katikati sijaona ni za kizamani sana tena ni za tofali za udongo au kuchomwa
 
Hakuna mji wa kisasa duniani usio na malls , I am wondering unasema malls ni ushamba , sema wewe ndio mshamba. Hujasafiri kuona miji ya wengine duniani ipoje.
Malls ni zaidi ya maduka ya mitumba ya kabwe, malls kuna huduma nyingi kuanzia recreations , michezo ya watoto , huduma za kifedha, cinema halls nk .
Ukute wewe ni miongoni mwa watumishi wa halmashauri ya mji wa mbeya wanaojenga fremu za kupangisha CBD.
View attachment 2656749
Najiuliza ni pabaya au Camera yako ndio inapiga picha mbaya?

Kwa sisi wageni na huo mji tunajiuliza au hii picha uliipiga mwaka 2009 BC?
 
Master plan ?, eti umesema master Plan ?
Hebu niambie Masterplan itafanya nini na Mbalizi? What will masterplan do with Iwambi na makunguru na Airport ? Uyole? Ilemi?
Ule mji ushakosewa. Hakuna kitu kitafanyika.
Nyumba za kisasa zinajengwa wapi ? Forest mpya na Iwambi?
Elewa , naijua mbeya nje ndani.
mkuu una uhakika kuwa Mbalizi ipo jiji la Mbeya?
 
Back
Top Bottom