Kati ya mji unapajua broohizo
Kwani hizo za igogo na mabatini ni pembezoni Kwa Mji? ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya mji unapajua broohizo
Kwani hizo za igogo na mabatini ni pembezoni Kwa Mji? ππ
Sasa mwanza kuna town na uswazi kama miji mingine mbeya ni uswaz na uswaziKwamba nyumba zetu zitageuka kuwa mabanda ya nguruwe ya Utalii wa slums za Mwanza au? πππππ
hata uko mlimani ukilinganisha na mbeya bado mbeya pa ovyo tuKwani Milima Iko Nje Misungwi si ipo hapo hapo Mjini πππππ
Hakuna Cha Bora tena ni hovyo 5 times than Mbeya.
Mwanza ni limji ya hovyo sana,kinachowabeba ni CBD basi
Sasa mbeya napo kuna nyumba au vibanda vya tofali mbichiKwamba nyumba zetu zitageuka kuwa mabanda ya nguruwe ya Utalii wa slums za Mwanza au? πππππ
Kusema ukweli mbeya iko hovyo sana ,kuna vibanda vingi kuliko nyumba za maana,na makazi mengi ni holela sema tu jamaa hataki kukubaliana na ukweli kisa tu anatetea mbeya.Kiufupi jamaa anajua madhaifu mengi sana ya mbeya na anaujua ukweli ,anachojaribu ni kuleta ligi tu maana post zake nyingi za nyuma kaelezea madhaifu ya mbeya kama haya tunayoyasemea.Mbeya speed yake ya ukuaji iko slow sana na pia mamlaka za mji zimelala..zinaacha watu wajenge makazi holela na nyumba za matofali mabichi mijini.Mbeya nyumba zimerundikana kama kambi za wakimbizi hii yote ni kwa sababu ya ujenzi ni rahisi sana wa kutumia matofali mabichi (matope).Ndio maana mkoa umekuwa mchafu kupita maelezo.Mbeya tunapaswa kubadirika ,tuondoke kwenye zama za mawe za kale.View attachment 3100950
Na hapo ni katikati ya mji wa mbeya hawa ndo wapo juu ya mwanza π π€£ π π
Vibanda vizuri ni hivi vya Mwanza πππππKusema ukweli mbeya iko hovyo sana ,kuna vibanda vingi kuliko nyumba za maana,na makazi mengi ni holela sema tu jamaa hataki kukubaliana na ukweli kisa tu anatetea mbeya.Kiufupi jamaa anajua madhaifu mengi sana ya mbeya na anaujua ukweli ,anachojaribu ni kuleta ligi tu maana post zake nyingi za nyuma kaelezea madhaifu ya mbeya kama haya tunayoyasemea.Mbeya speed yake ya ukuaji iko slow sana na pia mamlaka za mji zimelala..zinaacha watu wajenge makazi holela na nyumba za matofali mabichi mijini.Mbeya nyumba zimerundikana kama kambi za wakimbizi hii yote ni kwa sababu ya ujenzi ni rahisi sana wa kutumia matofali mabichi (matope).Ndio maana mkoa umekuwa mchafu kupita maelezo.Mbeya tunapaswa kubadirika ,tuondoke kwenye zama za mawe za kale.
Niletee mtaa wa Mbeya unaofansna na hizi takataka hapa ππSasa mbeya napo kuna nyumba au vibanda vya tofali mbichi
Linganisha tuone ππhata uko mlimani ukilinganisha na mbeya bado mbeya pa ovyo tu
90% ni matakataka π¬π¬Sasa mwanza kuna town na uswazi kama miji mingine mbeya ni uswaz na uswazi
Mbeya mji mzima uko hivyo sio mjini sio pembezoni sasa tutakuletea wapiNiletee mtaa wa Mbeya unaofansna na hizi takataka hapa ππView attachment 3102025View attachment 3102026View attachment 3102027View attachment 3102028View attachment 3102029View attachment 3102030
Onyesha huo Mji mzima ,hapa ni UyoleMbeya mji mzima uko hivyo sio mjini sio pembezoni sasa tutakuletea wapi
Mkuu umeamua kuidhalilisha mbeya asee.Onyesha huo Mji mzima ,hapa ni Uyole View attachment 3102045View attachment 3102046
Onyesha view ya Mwanza Nje ya CBD tuone.Mkuu umeamua kuidhalilisha mbeya asee.
Onyesha view ya Mwanza Nje ya CBD tuone.
Vipi umeona mabanda ya nguruwe kama ya Mwanza?
Onyesha view ya Mwanza Nje ya CBD tuone.
Vipi umeona mabanda ya nguruwe kama ya Mwanza?
Humo Juu vimilima Kuna nini? ππ
Zaidi ya hapo CBD ,Mwanza Kuna nini kama sio Yale mabanda ya nguruwe?View attachment 3102076
Kipande kidogo tu cha mji
Zaidi ya hapo CBD ,Mwanza Kuna nini kama sio Yale mabanda ya nguruwe?
Zaidi ya hapo CBD ,Mwanza Kuna nini kama sio Yale mabanda ya nguruwe?
Pembezoni ipi hiyo? Haina jina?View attachment 3102119
Hapa sio mjini ni pembeni ya mji ingekua mbeya ingekua ndo CBD