hamna kitu hapo, CCM wameshatoa maagizo. Come what may wakija DP world tuwapige na mawe, ikibidi mabomuHii ndio taarifa ya sasa iliyotolewa Mahakamani hapo , na kwamba kuahirishwa huko kumetokana na dharula iliyompata Mwenyekiti wa Jopo la Majaji .
Usiku wa Deni hauchelewi , Alhamisi siyo mbali .