Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Hata wa kwako kama vipiaingie mamako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wa kwako kama vipiaingie mamako?
Haiwezi, "quorum" lazima itimie.Kwani bila ya uwepo wa mwenyekiti wa jopo la majaji hiyo hukumu haiwezi kusomwa na majaji waliopo?
Wasitake kuanza kucheza michezo yao ya kijinga.
Karibu sana MahakamaniHaiwezi, "quorum" lazima itimie.
Usifikiri kile ni kikao cha walevi, kina mbowe na slaa.
Nimemsikia Prof Shivji kuwa njia moja kubwa ya kuvunja hayo makubaliano kwa hatua yalipofikia ni bunge pekee, tayari behewa la mwisho limeshaondoka Pugu, si mahakama inaweza kuvunja huo mkataba hata kama wangetaka kufanya hivyo, bali ni bunge pekee, sasa na hawa wabunge wetu akina Musukuma na spika wao hizi ni ndoto.Upo tayari kupokea hukumu yeyote itakayo tolewa na court of law?