sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Wanasubiri nini!?1. Anangisye
2. Jwani Mwaikusa
3. Dkt. Ulimboka
4. Mwangosi
5. Mdude
6. Mwabukusi...
Bonus
Wanatuona manyani nae wa huko Mbeya
Mtaji wa kisiasa wanao, mkoa kama Mbeya umekuwa ukitoa vyuma na wanaharakati fierce.
Ni wakati wa Mbeya kuwa na chama chao, wahusika wakuu wawe mikoa ya nyanda za juu kusini kwa uchaguzi wa 2025😀😀
Hata wazo la kuanzisha Chadema lilianzia Mbeya kwa Mwakitwange aliyemshirikisha Tuntemeke Sanga na baadae Tuntemeke akawashirikisha Mtei na Makani
Msione vyaelea 😂😂🔥🐼🌟
1. Anangisye
2. Jwani Mwaikusa
3. Dkt. Ulimboka
4. Mwangosi
5. Mdude
6. Mwabukusi...
Bonus
Wanatuona manyani nae wa huko Mbeya
Mtaji wa kisiasa wanao,
2025 target iwe mikoa ya nyanda za juu kusini Iringa, Njombe, Mbeya, Songwe na Rukwa hasa urban areas.
Ni wakati wa Mbeya kuwa na chama chao, wahusika wakuu wawe mikoa ya nyanda za juu kusini kwa uchaguzi wa 2025
Chama Cha Wanyakyu ( ChaChaWa) 😂😂🔥Mbona hujatutajia wengine Kama Mwandosya, Mwakyembe na Tulia hao pia wanafaa kwenye chama chenu mnachotaka kuanzisha
Anachokula Tetea (ccm), vifaranga pia hula.Mbona hujatutajia wengine Kama Mwandosya, Mwakyembe na Tulia hao pia wanafaa kwenye chama chenu mnachotaka kuanzisha
Ccm inaweza kuangushwa hata na Act ila katiba na dola vinawalinda, nadhani unakumbuka hata alichofanya Jecha kule ZanzibarMnafiki mkubwa. Kwanini wasiwazidi CCM ila waendelee kuwazidi CHADEMA?. Ulipoitaja CHADEMA nikajua ni mnafiki.
Mwabukusi kakulia Arusha mjini.1. Anangisye
2. Jwani Mwaikusa
3. Dkt. Ulimboka
4. Mwangosi
5. Mdude
6. Mwabukusi...
Bonus
Wanatuona manyani nae wa huko Mbeya
Mtaji wa kisiasa wanao,
2025 target iwe mikoa ya nyanda za juu kusini Iringa, Njombe, Mbeya, Songwe na Rukwa hasa urban areas.
Tunda unaweza kulichuma ukalisafirisha hata marekani lakini bado lina asili ya mti wakeMwabukusi kakulia Arusha mjini.
Ccm inaongelea haya?? Au wanaishia kusema :;Hivi huwa wanaongelea nini majukwani.?
Kuwa na elimu ya kutengeneza vitu, tuwe na viwanda vya uhakika mpaka kufikia mwaka 20...
Kuweza kupeleka matunda ulaya na kuwalisha kuzidi majirani
Je matusi ndio kujipima na siasa
hujui sheria ya vyama vya siasa?Ni wakati wa Mbeya kuwa na chama chao, wahusika wakuu wawe mikoa ya nyanda za juu kusini kwa uchaguzi wa 2025
Hawatapata usajili milele1.Mwabukusi
2.Mdude
3.Anangisye
4. Jwani Mwaikusa
5. Dkt. Ulimboka
6. Mwangosi
Bonus
Wanatuona manyani nae wa huko Mbeya
Mtaji wa kisiasa wanao,
2025 target iwe mikoa ya nyanda za juu kusini Iringa, Njombe, Mbeya, Songwe na Rukwa hasa urban areas.
Basi tutegemee miaka 200 mingineCcm inaongelea haya?? Au wanaishia kusema :;
*Stupid.
*Ninajua kuzichapa.
*Waganga wawaroge wanaopinga DPW.
*Watu wazima fanyaneni wenyewe, Ila watoto msiwaguse.
*N.k.
Kauli matope tupu.