uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
1.Mwabukusi
2.Mdude
3.Anangisye
4. Jwani Mwaikusa
5. Dkt. Ulimboka
6. Mwangosi
Bonus
Wanatuona manyani nae wa huko Mbeya
Mtaji wa kisiasa wanao,
2025 target iwe mikoa ya nyanda za juu kusini Iringa, Njombe, Mbeya, Songwe na Rukwa hasa urban areas.
Hao wote ni watu wa hisia, Hakuna kiongozi hapo, ni kelele tu za IGA, usifananishe Chadema na mambo ya ajabu.