Mbeya is Awesome. Hata kwenu pia ni kuzuri, kusifie huku ukisindikiza na picha za chombeza

Mbeya is Awesome. Hata kwenu pia ni kuzuri, kusifie huku ukisindikiza na picha za chombeza

Iyunga
20221022_183349.jpg
 
hili
View attachment 2484048
Kyela: hii ni wilaya iliyo kusini mwa mkoa wa Mbeya. Hii wilaya inasifika sana kwa kilimo cha mpunga,kakao,nk ...hali ya hewa na nzuri kukiwa na joto la wastani pamoja na mvua za maana kuanzia mwezi wa pili mwishaon hadi mwezi wa nne. Asilimia kubwa ya wakaaji wa hii wilaya ni wakulima hasa mpunga pmj na kakao. Pia kuna ziwa Nyasa watu wanafanya uvuvi pamoja na utalii ktk ziwa hili kuna Matema beach, mwamunyange beach nk., pia biashara kwa sana ktk wilaya ya kyela ambapo wafanya biasha kutoka Malawi hufika wilaya ya kyela kununua badhaa,,,,wakaaji wa wilaya ya kyela ni wakarimu sana.
hili daraja nilipita hapo ukifika upande wa pili unahisi bado unapa
 
Back
Top Bottom