Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
NakaziaUkiangalia utajiri wa hao mapolisi ndiyo utajua hela za wahamiaji kharamu ni "tamu"!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaUkiangalia utajiri wa hao mapolisi ndiyo utajua hela za wahamiaji kharamu ni "tamu"!
Wanawafanya vijana wawe wadadisi na kuipenda kazi hiyo.Kumbe hawajui nyuma ya pazia kuna wezi na watu wasio waadilifu.Kupora,kudhulumu,kutapeli,magendo,rushwa,biashara kharamu,hata kuua kunahusika in the name of police uniforms!Nakazia
Kua macho nipamoja na kuwanasa wanausalama wanao kiuka Sheria nakushiriki vitendo vya kiharamia.Vyombo vya usalama vinakuaje macho wakati ndo hivyo hivyo vinavyoshiriki kwenye magendo? Au huelewi maana ya kuwa macho?
Wabongo sasa, pale tukio linapotokea kuweka ujuaji... Hivi mkuu wakikuita ukaoneshe utajiri wa hao watuhumiwa usaidie upelelezi utawaonesha??Ukiangalia utajiri wa hao mapolisi ndiyo utajua hela za wahamiaji kharamu ni "tamu"!
We unadhan mpaka Askari nae anashiriki kusafirisha binadamu halafu unataka kukataa nchi haijaoza hao hadi kukamatwa unadhan wamefanya mara ngapi na wengine bado wanaendelea na mishe kiukweli nchi imeoza Askari kweli anashiriki kusafirisha binadamuImeoza je? Ukiona watu wanakamatwa , na Taarifa zinakufikia nikwa sababu, vyombo vya usalama viko macho24/7
Jibu ni rahisi.Unadhani hao "wezi" hawaku-caluculate" unachokitaka?These men are purely bandits!Elewa hivyo.Mwizi huwa anatafuta namna ya kuhalalisha umumiani wake.Usitegemee ukakuta kidhibiti.Labda uwa-outsamart!These guys are purely thieves in cardetsWabongo sasa, pale tukio linapotokea kuweka ujuaji... Hivi mkuu wakikuita ukaoneshe utajiri wa hao watuhumiwa usaidie upelelezi utawaonesha??
Na ukiona ubabaishaji mwingi na kutafuta umaarufu kwa wateule wa raisiNa ukiona mkuu wa wilaya au mwanasiasa yeyote katoa shinikizo,jua anatafuta umaarufu,zaidi ya hapo ni ubabaishaji tu.
Yeye ataachaje dili la mln 20,30We una
We unadhan mpaka Askari nae anashiriki kusafirisha binadamu halafu unataka kukataa nchi haijaoza hao hadi kukamatwa unadhan wamefanya mara ngapi na wengine bado wanaendelea na mishe kiukweli nchi imeoza Askari kweli anashiriki kusafirisha binadamu