Mbeya Jiji la Squatters: Dkt. Tulia tunaomba shughulikia hili

Mbeya Jiji la Squatters: Dkt. Tulia tunaomba shughulikia hili

Acha ukasuku sehemu uliyotembelea Mbeya ni wapi ambako kama jalala.Kwa kuongezea maeneo aliyotaja mtoa mada;sehemu zingine zilizopimwa ni Soweto Block Q ambapo nimezaliwa na kukulia,Block T,Veta na Sae.Maeneo ambayo ni squatter kwa mujibu wa picha zake hapo nimeona maeneo ya milimani kama Simike,Mabatini,Isanga,Ilemi nk,huku wengi wanaishi lower class.Ni kama Mwanza maeneo ya Ghana,Mabatini,Igogo,Nyamanoro nk.
Wewe kwenu wapi kwanza maana naona unashupaza fuvu sana kila kitu wewe humu jamvini unajua!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Mkuu huo si utetezi kwa mji kama Mbeya wenye jina kubwa kuwa kijiji kikubwa.
Kuna maeneo leo miaka 61 baada ya uhuru kuna nyumba za tope, hakuna barabara , hakuna taa, vyoo ni vya shimo.
Pathetic.
 

"Jiji" la Mbeya ni 90" squatters.

Hata aliyekuwa mkuu wa mkoa wakati fulani Mateo Qares, aliliita jiji la Mbeya kijiji kikubwa.

Sehemu ambayo imepimwa vizuri jiji la Mbeya ni lile la mkoloni, Uzunguni, Ghana, Soko Motola(alikofikia Mandel) na Majengo n mjini kati.

Lakini sehemu ambazo kuna watu wengi zaidi kama Mwanjelwa, Mafiati,Isyesye, Mabatini , Nzovwe na sehemu nyingi hali ni mbaya sana.

Dr Tulia sasa tunakutegemea kuanzisha mpango kabambe utakao wezesha kuchonga barabara kati kati ya hizo squatters. Ofcourse lazima watakaobomolewa inabidi walipwe fidia.

Hili lazima lifanyike sasa, maana 50 years later ndio mafanikio yataonekana.

Magufuli ametuonyesha hili hapo Kimara-Kibaha.

Dr Tulia hili ukifanya litakumbkwa kwa miaka mingi.
Hivi ni mji gani kwa hapa Tanzania ambao una Mipangomiji safi angalau kwa asilimia Hamsini ya eneo lake lote??? Mji gani????Miji ktk nchi yote ya Tanzania haijapangilika kimipangomiji, Completely Unplanned Townships & Cities, ambayo haina sifa ya kuitwa Miji Bali ni Vijiji, ukianzia na Kijiji cha Dar es Salaam (Kijiji kikubwa zaidi nchini Tanzania).
 
Huoni aibu uzi wote wewe tu ndo unatetea huo uchafu uliopo hapo.

Sasa unabisha nini kuwa Kyela hapajajengwa kwa mapangilio tofauti na hapo kwenye takataka zetu Mbeya mjini?

Badilikeni. Mnajifanya wajuaji kumbe washamba tu
 
Hivi ni mji gani kwa hapa Tanzania ambao una Mipangomiji safi angalau kwa asilimia Hamsini ya eneo lake lote???
Nenda Tanga.
Mji umepangwa toka miaka ya 1890's na wajerumani.
Akili ya wajerumani ya miaka hiyo katika kupanga mji ni bora kuliko vidigree vya leo kwa maafisa mipango miji wa sasa.
 
Nenda Tanga.
Mji umepangwa toka miaka ya 1890's na wajerumani.
Akili ya wajerumani ya miaka hiyo katika kupanga mji ni bora kuliko vidigree vya leo kwa maafisa mipango miji wa sasa.
Hakuna lolote, ni hovyo kabisa. Mimi nimeshawahi kufika na kuzunguka kwenye miji yote mikubwa ya hapa Tz, huwezi kunidanganya kitu.
 
Hakuna lolote, ni hovyo kabisa. Mimi nimeshawahi kufika na kuzunguka kwenye miji yote mikubwa ya hapa Tz, huwezi kunidanganya kitu.
1701166309358.png
1701166403656.png

Tanga hujafika wewe.
Tanga mji wa zamani, mdogo lakini umepangika, siyo ma squatter ya Mbeya!
 
Mtuache Mbeya...Sisi Ni poa tuuu.. Mbeya Ndio Jiji Zuri kuliko Yote East Africa
 
Nenda Tanga.
Mji umepangwa toka miaka ya 1890's na wajerumani.
Akili ya wajerumani ya miaka hiyo katika kupanga mji ni bora kuliko vidigree vya leo kwa maafisa mipango miji wa sasa.
Sasa wa kulaumiwa ni nani? Wakaazi wa Mbeya au watu wataalamu wanaotoa vibali ili squarters zijengwe badala ya kusimamia ujenzi kwa mujibu wa mipango miji?
Wananchi wanakuwa shaped na sheria, kanuni na taratibu. Likikosekana hilo hapo lazima uholela uingilie.
Inawezekana Mbeya hakuna Serikali au si walipa Kodi na ni wategemezi kwa kila kitu hivyo wanastahili kutelekezwa maana hawana faida wala mchango kwa taifa.
 
Mimi mingi au yote Tz ni kama huo wa Mbeya ni vizuri elimu na miongozo itoke makao makuu kwenda chini ili hata watu wakiuziana sehemu kienyeji wajue upana wa barabara kuachwa kwa ajili ya maendeleo huko mbeleni
Sio elimu tu, kupanga na kusimamia makazi katika nchi inahitaji utashi wa kisiasa na watu competent sana eneo hilo, bahati mbaya sana kuna uhaba mkubwa wa vyote viwili kwa sababu nyingi sana.
 
Acha ukasuku sehemu uliyotembelea Mbeya ni wapi ambako kama jalala.Kwa kuongezea maeneo aliyotaja mtoa mada;sehemu zingine zilizopimwa ni Soweto Block Q ambapo nimezaliwa na kukulia,Block T,Veta na Sae.Maeneo ambayo ni squatter kwa mujibu wa picha zake hapo nimeona maeneo ya milimani kama Simike,Mabatini,Isanga,Ilemi nk,huku wengi wanaishi lower class.Ni kama Mwanza maeneo ya Ghana,Mabatini,Igogo,Nyamanoro nk.
Wewe kwenu wapi kwanza maana naona unashupaza fuvu sana kila kitu wewe humu jamvini unajua!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Kuwa serious mkuu hivi mabatitini ya mbeya unaweza kulinganisha na mabatini ya mwanza au Ghana ya mwanza ulinganishe na ilolo ya mbeya? Ni kweli miji yetu ya Tanzania kwa asilimia kubwa haijapangwa lakini ukianza kuangalia unafuu kwa Mbeya hali ni dhoufu na nyumba nyingi za uswahilini mbeya ni za tope.
 
Kuwa serious mkuu hivi mabatitini ya mbeya unaweza kulinganisha na mabatini ya mwanza au Ghana ya mwanza ulinganishe na ilolo ya mbeya? Ni kweli miji yetu ya Tanzania kwa asilimia kubwa haijapangwa lakini ukianza kuangalia unafuu kwa Mbeya hali ni dhoufu na nyumba nyingi za uswahilini mbeya ni za tope.
Unapoangalia mbele na mipango yako usijilinganishe na wachovu wengine, maana kwa fikra kama zako daima utakuwa masikini kichwani.
 
Mbeya nimeishi block T,jacaranda pia
Maeneo kipindi hicho yalipqngiliwa vizuri sana ....
Kwa sasa hali ikoje huko

Ova
Mkuu! Mbeya kuna block T, forest mpya, forest ya zamani, jacaranda, block Q, kuna eneo kama unaenda mbalizi nimepasahau jina mbele ya iyunga, huko Ghana, na kuna maeneo nimeyasahau majina yako vizuri sana.
 
Mkuu! Mbeya kuna block T, forest mpya, forest ya zamani, jacaranda, block Q, kuna eneo kama unaenda mbalizi nimepasahau jina mbele ya iyunga, huko Ghana, na kuna maeneo nimeyasahau majina yako vizuri sana.
1701177661784.png

Siyo kwamba sehemu zote Mbeya ni Mbaya, lakini over 90 % ni sehemu haziko kwenye kupangwa kimji.
 
Back
Top Bottom