masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
- #61
Ushamba unakusumbua.Tulia hanauwezo wakurekebisha,hili tatizo la ujenzi holela lipo tangu enzi za Nyerere na wanainchi wengi wanaona fahari kuishi mabondeni na sehemu zisizopimwa